1118. NSHISHI NULU.

Akahayile kenako kahoyelile bhululu bho nshishi. Imishishi ili habhili, iyingi ili mipolo alii yingi igikalaga milulu. Abhanhu ulu bhuja gujuyotona bhushishi bhagabhonjaga tamu kugiki bhadule guyidebha imishishi iminonu na guyiyob’a lulu. Aliyo lulu ulu bhuyibhona giki ili milulu bhagalekaga ugubhutona ubhushishi bhunubho kunguno ya ubhululu bhogo bhunubho. Hunagwene bhagwitanaga unshishi gunuyo giki, “nshishi nulu.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo obhalemela abhiye kunguno ya nhinda jakwe umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga abhatab’anije abhiye umunhungwa jakwe kunguno ya nhani ya kashokeje kakwe ukubhiye. Uweyi agadumaga ugwikala chiza na bhanhu kunguno ya bhulambu na libhengwe lwakwe linilo ukubhiye, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nu nshishi unulu uyo gubhalemelile abhanhu ugubhung’wa ubhushishi bhogo, kunguno nuweyi abhalemelile abhiye umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “nshishi nulu.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guleka nhungwa ja bhulambu, na nhani umubhutumami bho milimo yabho, kugiki bhadule gwikala chiza na bhichabho umukaya jabho.

Warumi 13: 10.

Mathayo 5:43-45.

KISWAHILI: MCHAJU MCHUNGU.

Msemo huo, huongelea uchungu wa mkwaju. Mikwaji iko katika aina mbili, mingine ni mtamu lakini mingine ni michungu. Watu wakitaka kuchuma ukwaju huuonja kwanza ili waweze kufahamu kama ule mti ni mtamu kwa ajili ya kuyachuma matunda yake. Lakini watu hao wakionja na kuona kwamba ule mkwaju ni mchungu, huacha kuyachuma matunda ya mti huo.  Ndiyo maana watu hao huuita mti huo kuwa ni “mkwaju mchungu.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ameshindikana kwa wenzake kwa sababu ya kiburi chake katika maisha yake. Mtu huyo, hukataa kutungwa na wenzake kwa sababu ya kiburi chake hicho, katika utekelezaji wa kazi zake.  Yeye hushindwa kuishi na watu kwa sababu ya dharau zake hizo kwa wenzake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na ule mkwaju mchungu uliowashinda watu kuyatumia matunda yake, kwa sababu naye ana kiburi cha kukataa kutumwa na wenzake katika maisha yake. Ndiyo maana watu humuita kwamba ni “mkwaju mchungu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuachana na kiburi na dharau katika utekelezaji wa majukumu yao, ili waweze kuishi vizuri na wenzao katika familia zao.

Warumi 13: 10.

Mathayo 5: 43-45.

tamarind-tree-324023__480

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Twitter picture

You are commenting using your Twitter account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.