Akahayile kenako, kahoyelile munhu uyo abyalwa aliheke na bhiye akahaya yiniyo. Munhu ng’wunuyo, adikolile na bhiye aliyo bhali bha myaji umo, kunguno uweyi alina ndili yape yiyene kutinda abhiye. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ng’wenuyo witalwa.”
Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo, agabhakomanyaga abhanhu bho gulola ndili jabho, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga na bhudoshi bho gubhadalaha abhanhu abho bhali na ndili iyo adaitogilwe uweyi. Uweyi agadumaga uguyilela chiza ikaya yakwe kunguno ya bhudoshi bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga na bhanhu abho bhamonaga witalilwe uyo obyalwa ope iyine akaya yiniyo, kunguno nuweyi agabhakomanyaga abhanhu bho gulola ndili jabho. Hunagwene agayombaga giki, “ng’wenuyo witalwa.”
Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja gubhakomanya abhanhu kunguno ya rangi jabho, kugiki bhadule gwikala kihamo na bho mholele, umuwikaji bhobho.
Wagalatia 6:10.
Yakobo 5:19-20.
Mathayo 9:9-13.
KISWAHILI: HUYO YUKO TOFAUTI NA WENZAKE.
Msemo huo, huongelea juu ya mtu aliyezaliwa akiwa tofauti na wenzake walioko kwenye familia hiyo. Mtu huyo, hafanani na wenzake waliozaliwa na mzaji mmoja, kwa sababu yeye ana ngozi nyeupe kuliko wenzake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “huyo yuko tofauti na wenzake.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwabagua watu kwa kuangalia rangi zao, katika maisha yake. Mtu huyo, ana majivuno ya kuwadharau watu walio rangi tofauti na yake. Yeye hushindwa kuilea vizuri familia yake, kwa sababu ya majivuno yake hayo, maishani mwao.
Mtu huyo, hufanana na watu wale waliomuona ametofautina na wenzake yule aliyezaliwa na akiwa na ngozi nyeupe pekee yake, kwa sababu naye huwabagua watu kwa sababu ya rangi zao. Ndiyo maana husema kwamba, “huyo yuko tofauti na wenzake.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuachana na tabia ya kubagua watu kwa sababu ya rangi zao, ili waweze kuishi kwa umoja na amani, maishani mwao.
Wagalatia 6:10.
Yakobo 5:19-20.
Mathayo 9:9-13.
ENGLISH: HE/SHE IS DIFFERENT FROM HIS/HER FELLOWS.
The overhead saying refers to a person who is born different from his or her family members. This man is not like his fellow children who are born by the same parents, because of having whiter skin than his fellows. That is why people say to him that, “he/she is different from his/her fellows.”
This saying is likened to a person who discriminates against people on the basis of their race or ethnic background. This man is proud of looking down on people who have different race. He fails to raise his family well, because of his pride in lives.
This person is like those people who saw such white skin child as different from his fellows, because he also discriminates against people because of their color. That is why they say that, “he/she is different from his/her fellows.”
This saying teaches people about stopping the habit of discriminating against people because of their race, so that they can live in unity and peace, in their societies.
Galatians 6:10.
James 5: 19-20.
Matthew 9: 9-13.