Iligembe jili jitumamilo ja gulimila ukuli nimi. Iligembe linilo, ligamanyikaga ubhudamu bholyo ahikanza ilya gulilimila ingese, kunguno ilidimu lidakolokaga. Aliyo lulu, iligembe ilinegu ligakokolokaga nulu wandya duhu unimi ugulilimila ingese yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “b’udimu b’o ligembe gulindila gu ngese.”
Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agiyitilaga bhukengeji bhutale imilimo na mihayo hayo atali uguyandya nulu uguitumamila, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agitakaga bhukengeji bho kujilola chiza, inhungwa ja bhanhu abho bhali nhomela, kunguno ya gutogwa gubhudebha chiza ubhumhana bho milimo nulu imihayo yiniyo. Uweyi agayombaga mihayo ya nhana na kupatandika matwajo mingi umumilimo yakwe, kunguno ya gutumama milimo iyo wiyitilaga bhukengeji bhunubho, umukikalile kakwe.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni ligembe ili ligikalaga na bhudamu ahikanza ilya gulilimila ingese, kunguno nuweyi agapandikaga matwajo mingi umumilimo yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe. Uweyi agabhalangaga abhanhu bhakwe inzila ja guyidebha chiza imilimo yabho, haho bhatali uguyandya uguitumama. Hunagwene agabhawilaga giki, “b’udimu b’o ligembe gulindila gu ngese.”
Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya guyitila bhukengeji bhutale imilimo yabho haho bhatali uguyandya uguyitumama, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umubhutumami bhobho.
Mathayo 7:15-20.
Mathayo 12:33-37.
KISWAHILLI: UGUMU WA JEMBE KUSUBIRI KWENYE PALIZI.
Jembe ni kitendea kazi cha kulimia kwa mkulima. Jembe hilo, hujulikana ugumu wake wa kulilimia wakati huo wa kulifanyia kazi, kwa sababu lile lililo gumu huwa halikongoloki. Lakini lile lililolegea hukongoloka pale mkulima anapoanza tu kulilimia. Ndiyo maana watu husema kwamba, “ugumu wa jembe kusubiri kwenye palizi.”
Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huzifanyia utafiti mkubwa kazi zote kabla hajaanza kuzifanya, katika maisha yake. Mtu huyo, hufanya utafiti wa kufahamu tabia za wale anaoongea nao kabla ya kuyapokea maneno yao, kwa sababu ya kutaka kuufahamu ukweli wa kazi hizo na maneno hayo. Yeye huongea ukweli na hupata mafanikio mengi katika utekelezaji wa majukumu yake, kwa sababu ya kufanya kazi njema alizozifanyia utafiki wa kina, kabla ya kuzianza, maishani mwake.
Mtu huyo, hufanana na lile jembe lililoendelea kuwa gumu hata wakati wa kulilimia, kwa sababu naye hupata mafanikio mengi katika kazi zake, maishani mwake. Yeye huwafundisha pia watu wake namna ya kuzifanyia utafiti wa kina kazi zao, kabla ya hawajaanza kuzitekeleza. Ndiyo maana huwaambia watu hao kwamba, “ugumu wa jembe kusubiri kwenye palizi.”
Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuzifanyia utafiti wa kina kazi zao, kabla ya kuanza kuzitekeleza, ili waweze kupata mafanikio mengi, katika utekelezaji wa majukumu yao, maishani mwao.
Mathayo 7:15-20.
Mathayo 12:33-37.
ENGLISH: THE DIFFICULTY OF THE HOE IS TO WAIT FOR WEEDING TIME.
A hoe is a farming tool for the farmer. It is known to have a hard time in cultivating at the time of working, because the hard one does not bend. But the loose ends when the farmer begins to week. That is why people say that, “The difficulty of the hoe is to wait for weeding time.”
This proverb is likened to a man who conducts a thorough study of all the works before he begins to do them, in his life. This person, in turn, conducts research that is good enough to understand the behavior the people to whom he is speaking before accepting their words, out of an aim of understanding the truth of their works and words. He speaks the truth and finds great success in the discharge of his duties, because of the good works that he has done in-depth research, before starting to work them out, in his life.
This person is like the hoe that continues to be difficult even when it is weeding, because he also finds great success in his work, in his life. He also teaches his people on how to do their research thoroughly, before they start doing their works. That is why he tells them that, “The difficulty of the hoe is to wait for weeding time.”
This proverb imparts in people a clue on how to do a thorough research on their works, before they start implementing them, so that they can be more successful in fulfilling their responsibilities, in their societies.
Matthew 7: 15-20.
Matthew 12: 33-37.