Imbuki ya kahayile kenako ilolile munhu uyo alib’eja b’ugota. Umunhu ng’winuyo agab’ub’ejaga ub’ugota bhunubho, ukunu alibhudimagula bho makono gakwe, kugiki b’ub’ele chiza.
Aliyo lulu, ub’ugota bhunub’o makanza gangi b’ugab’izaga b’ululu; kunguno yiniyo, adilamba amakono gakwe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘meja o b’ugota adilambaga makono.’
Akahayile kenako kagatumamilagwa kubhanhu abho b’agab’ejaga ginhu jab’o na witegeleja. Abhanhu bheneb’o bhadeb’ile igiki, ijo bhalijib’eja jidulile gwenha solobho ukubhanhu ulub’ujitumamila chiza, aliyo lulu, ulubhujitumamila shib’i, jidulile gwenha makoye ukubhanhu bhenabho.
Akahayile kenako kalolile kulanga bhanhu gubhiza na witegeleja bhutale ulu bhalib’eja ginhu josejose, kugiki iginhu jinijo, jidule gubhenhela solob’o umuwikaji b’ob’o.
1Petro 5:8.
KISWAHILI: MTENGENEZA DAWA HAJILAMBI MIKONO.
Chanzo cha msemo huo huangalia mtu yule atengenezaye dawa. Mtu huyo hutengeneza dawa hiyo huku akiishika kwa mikono yake ili aweze kuhakikisha kwamba dawa hiyo inakuwa nzuri.
Lakini basi, dawa hiyo wakati mwingine huwa chungu, kwa sababu hiyo, mtu huyo huhakikisha kwamba hajilambi mikono yake. Ndiyo maana watu husema, ‘mtengeneza dawa hajilambi mikono.’
Msemo huo hutumiwa kwa watu wale wafanyao kazi au watengenezao kitu fulani kwa umakini wa hali ya juu. Watu hao waelewa kwamba, kile watengenezacho huweza kuleta faida kwa watu kikitumiwa vizuri, lakini kikitumiwa vibaya, chaweza kuleta matatizo kwa watu hao.
Msemo huo hufundisha watu kuwa makini sana wakati watengenezapo kitu chochote, ili kitu hicho kiweze kuleta faida katika maisha yao na wenzao.
1Petro 5:8.
ENGLISH: A MEDICINE MAKER DOES NOT LIK ONE’S PALMS.
The origin of this saying is based on a person who makes medicines, especially herbals. The person does that using his or her bare hands to ensure that they are of good quality.
But then, the medicines sometimes become bitter; as such, the person makes sure he or she is cautious enough not to lik his/her palms. That is why people say, ‘a medicine maker does not lik one’s palms.’
The saying is used to those people who work or make something with extra care. These people understand that their products can be of good use to people when used properly. However, if misused, they can cause serious problems to them.
The saying teaches people to be extra careful when they do something, so that it can bring benefits to their lives and to their peers.
1 Peter 5: 8.