sayings

944. IB’I LYANE.

Akahayile kenako, kahoyelile bhub’i bho ng’wa munhu. Olihoyi munhu uyo oliob’yala ng’wana olihanga lib’i. Abhanhu bhali bhadantogagwa ung’wana ng’wunuyo, kunguno ya lihanga lyakwe linilo. Aliyo lulu, umyaji okwe wikalaga nang’hwe duhu. Hunagwene uweyi agayomba giki, “ib’i lyane.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabokelaga iyo igenhagwa kuli weyi na Mulungu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, alina guzunya kutale ukuli Mulungu okwe, kunguno abhudebhile chiza ubhudula bhokwe ubho bhukililile pye ubho bhanhu. Uweyi agambilijiyagwa na Mulungu umumilimo yakwe kunguno ya guzunya gokwe gunuyo ukuli weyi, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu myaji o ng’wana wi hanga lib’i uyo agambokela ung’wana okwe ahakaya yakwe, kunguno nu weyi agabokelaga chiza iyo agitilagwa nu Mulungu, umukikalile kakwe. Hunagwene agayombaga giki, “ib’i lyane.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gub’iza na guzunya gutale ukuli Mulungu bho gujibokela chiza ijo abhabhinhaga, kugiki bhadule gupandika mbango ja gub’iza na matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Mwanzo 2: 22-24.

I Wakorintho 7:1-16.

Waefeso 6:1-4.

Mithali 4:1-10.

KISWAHILI: BAYA LANGU.

Msemo huyo, huongelea ubaya wa mtu. Alikuwepo mtu aliyezaa mtoto mwenye sura mbaya. Watu hawakumpenda mtoto wake huyo kutokana na muonekano wake huo mbaya. Lakini mzaji wake huyo, aliishi naye kama kawaida. Ndiyo maana alisema kwamba ni “baya langu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule apokeaye mapenzi ya Mungu katika maisha yake. Mtu huyo, ana imani kubwa kwa Mungu wake kwa sababu anaufahamu uwezo wake unaopita ule wa wanadamu wote. Yeye hupata msaada kutoka kwa Mungu katika utekelezaji wa majukumu yake, kwa sababu ya imani yake hiyo kubwa kwake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule mzazi aliyekubali kuishi na mtoto wake mwenye sura mbaya, kwa sababu naye pia huyapokea vizuri mapenzi ya Mungu, katika maisha yake. Ndiyo maana yeye husema kwamba ni ‘baya langu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na imani kubwa kwa Mungu kwa kuyapokea mapenzi yake kwao, ili waweze kupata Baraka za kuwaletea mafanikio mengi, maishani mwao.

Mwanzo 2: 22-24.

I Wakorintho 7:1-16.

Waefeso 6:1-4.

Mithali 4:1-10.

lesotho-12

lesotho-11

ENGLISH: MY BAD ONE.

This saying looks at a woman’s wickedness. There was a woman who gave birth to an ugly child. People did not like her baby because of her ugly appearance. But her mother lived with her as usual. That is why she said that she is “my bad one.”

This saying is compared to a person who receives God’s will in his life. This man has great faith in God because he knows his great power which is beyond what is normal. He receives God’s help in carrying out his responsibilities, because of his great faith in Him, in his life.

This man is like the parent who agrees to live with her ugly child, because he also receives the will of God, in his life. He lived with others even the ugly ones. That is why he says that each one is “my bad one.”

This saying teaches people of having great faith in God by accepting His will to them, so that they can receive the blessings of bringing them great success, in their lives.

Genesis 2: 22-24.

I Corinthians 7: 1-16.

Ephesians 6: 1-4.

Proverbs 4: 1-10.

943. NINALYO ILIB’ANGILO.

Akahayile kenako, kalolile ginhu ijo jidulile gunhanghana munhu uyo ajisanije, umukikalile kakwe. Iginhu jinijo jigang’winhaga nguzu uyo alijo. Hunagwene agayombaga giki, “ninalyo ilib’angilo.”

Akahahile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agalanghanagwa na Mulungu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’winuyo, agatumamaga milimo yakwe bho gung’wisanya Mulungu kunguno uweyhi huyo alina nguzu kulebha pye abhanhu. Uweyi agapandikaga matwajo mingi umumilimo yakwe, kunguno ya mbango ijo aginhagwa na Mulungu, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo oliwisanya ginhu ja nguzu, kunguno nuweyi ang’wisanije Mulungu uyo alina nguzu gukila pye abhanhu, ijo jigananghanaga, umukikalile kakwe. Hunagwene agayombaga giki, “nali nalyo ilib’angilo.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kunzunya na gung’wisanya Mulungu umubhutumami bhobho, kugiki bhadule gupandika mbango ja gubhiza na matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Zaburi 61:2-4.

Zaburi 66:5-9.

Mathayo 14:34-38.

Mathayo 11:27-30.

KISWAHILI: NINAYO KINGA.

Msemo huo, huangalia kitu kinachoweza kumlinda mtu anayekitegemea, katika maisha yake. Kitu hicho, humpatia nguvu aliye nacho. Ndiyo maana mtu huyo, husema kwamba, “ninayo kinga.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule anayelindwa na Mungu, katika maisha yake. Mtu huyo, huyatekeleza majukumu yake kwa kumtegemea Mungu, kwa sababu huyo ndiyo mwenye uwezo mkubwa kupita watu wote. Yeye hupata maendeleo mengi katika kazi zake, kwa sababu ya Baraka anazopewa na Mungu, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyetegemea kitu chenye nguzu, kwa sababu naye humtegemea Mungu aliye na uwezo wa kuwapita watu wote, ambao humlinda katika maisha yake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “ninayo kinga.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kumwamini Mungu na kumtegemea Yeye katika kazi zao, ili waweze kupata Baraka za kuwa na mafanikio mengi, maishani mwao.

Zaburi 61:2-4.

Zaburi 66:5-9.

Mathayo 14:34-38.

Mathayo 11:27-30.

worship-

ENGLISH: I HAVE A PROTECTION.

The overhead saying looks at something that can protect a person who depends on it, in life. This protection gives the power to him which he believes to have. That is why this person says that, “I have a protection.”

This saying is equaled to the person who is protected by God, in his life. This person, in turn, fulfills his role by relying on God, who is is the most powerful one in the universe. He makes great progresses in his works by giving thanks to the blessings of God which have been to him, in his life.

This person resembles the one who relies on something supernatural, because he also relies on God who is able to transcend all human beings by protecting him in his life. That is why he says that, “I have a protection.”

This saying imparts in people an idea of believing in God and relying on Him in their works, so that they can receive blessings of being very successful in their lives.

Psalm 61: 2-4.

Psalm 66: 5-9.

Matthew 14: 34-38.

Matthew 11: 27-30.

942. NENE NG’WENUYU NALYA WIYAB’I.

Olihoyi munhu uyo wigalulaga bho gutumila wiyab’i bhutale. Nzenganwa okwe agamuja, “nibhuli ugusiminzaga ugambalile chiniko?” Uweyi agashosha, “nagutumilaga wiyabhi bhone.” Unzenganwa okwe agashosha, “ulu ubhutumila shib’i uwiyabhi bhoko bhunubho ugupandika makoye, umukikalile kako.” Uweyi agashosha, “nene ng’wenuyu nalya wiyab’i.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhutumilaga shib’i uwiyab’i bhokwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agiyagalulaga bho gubhaluhya abhiye kunguno ya libhengwe lyakwe ubhuyi. Uweyi agidumaga na bhiye kunguno ya wiyagaluji bhokwe bhunubho, ubho bhugenhaga makoye ukubhanhu bhakwe, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo olyaga wiyabhi bho gusiminza agimbalile, umukikalile kakwe, kunguno nu weyi agiyagalulaga mpaga obhenhela makoye obhiye, umukikalile kakwe. Hunagwene agayombaga giki, “nene ng’wenuyu nalya wiyab’i.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza ni kujo lya gubhutumia chiza uwiyab’i bhobho, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Mwanzo 3:1-16.

Yohana 8:31-36.

KISWAHILI: MIMI HUYU NIMEKULA UHURU.

Alikuwepo mtu mmoja aliyeishi kwa kutumia uhuru mkubwa. Jirani yake alimuuliza, “kwa nini unatembea kwa kujipanga hivyo?” Yeye alijibu, “nautumia uhuru wangu.” Jirani yake akajibu, “ukiutumia vibaya uhuru wako utapata matatizo katika maisha yako.” Yeye alijibu, “mimi huyu nimekula uhuru.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huutumia vibaya uhuru wake, katika maisha yake. Mtu huyo, hufurahia kwa kuwatesa wenzake kwa sababu ya dharau yake kwao. Yeye hukosana na wenzake kwa sababu ya kuutumia vibaya huo uhuru wake, unaoleta matatizo kwa watu wake hao, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekula uhuru wake kwa kutembea kwa majigambo, katika maisha yake, kwa sababu naye huutumia vibaya uhuru wake mpaka unaleta matatizo kwa wenzake, katika maisha yake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “mimi huyu nimekula uhuru.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na busara ya kuutumia vizuri uhuru wao, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, maishani mwao.

Mwanzo 3:1-16.

Yohana 8:31-36.

african-woman1

underground-

 

boy-1

 

ENGLISH: I HAVE EATEN FREEDOM.

There was one man who lived by enjoying great freedom. His neighbor asked him, “Why are you walking all the way?” He replied, “I exercise my freedom.” His neighbor replied, “If you abuse your freedom you will have problems in your life.” He replied, “I have eaten freedom.”

This saying is compared to a person who abuses his freedom, in his life. This man, however, rejoices in torturing his fellow men because of his contempt for them. He quarrels with his colleagues because he abuses his freedom, which causes him problems to his people, in his life.

This person is like the one who ate his freedom by walking proudly, in his life, because he also abuses his freedom by causing problems to his fellows, in his life. That is why he says that, “I have eaten freedom.”

This saying teaches people on how to be wise enough to make the best use of their freedom, so that they can live in peace with each other, in their lives.

Genesis 3: 1-16.

John 8: 31-36.

847. KABULA GUDEMA.

Akahayile kenako, kalolile bhulumbazu bho malunde ga mbula. Imbula ulu yuhaya gutula igabhejaga malunde ayo gagalumbelaga na yandya ugutula. Ubhulumbazu bho malunde genayo hubho bhugitanagwa “kabula gudema.” Hunagwene abhanhu ulu bhubhona malunde galumbalaga bhagamanaga giki imbula yahaya gutula bhaja kaya kunguno ya “kabula gudema.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhonaga mbeng’ho ja jidiku wandya gulima migunda yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga alidebhile ilikanza lya gwandya ugulima, kunguno ya gujibhona imbeng’ho jinijo ija gwandya go likanza lya mbula. Uweyi agalimaga migunda mitale iyo igampandikilaga majiliwa mingi, ayo gagadulaga uguyilisha chiza ikaya yakwe, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agabhalangaga abhanhu bhakwe ahigulya ya gulidebha ilikanza lya mbula na gulima migunda mitale iyo idulile gubhapandikila majiliwa mingi umukaya jabho. Hunagwene agabhawilaga abhanhu bhenabho giki, bhandye gulima ahikanza lya “kabula gudema.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gulidebha ilikanza lya guitumama imilimo yabho na gulitumila chiza, umukikalile kabho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Kutoka 24:15-18.

Luka 12:54-55.

Mhubiri 11:3a.

KISWAHILI: MVUA KUTANDA.

Msemo huo, huangalia giza la mawingu ya mvua. Mvua ikitaka kunyesha huwa inatengeneza mawingu ambayo huleta giza fulani ndipo inaanza kunyesha.  Giza hilo la mawingu ndilo linaloitwa “mvua kutanda.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule mbaye huona dalili za kuanza kwa masika, na kuanza kulima mashamba yake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa anazielewa vizuri dalili za kuanza kwa kipindi hicho cha kulima, kwa sababu ya uchaga kazi wake. Yeye huwa analima mashamba makuwa ambayo humpatia mazao mengi ya kutoka kuilisha vizuri familia yake, katika maisha yake.

Mtu huyo, huwa anawafundisha pia watu wake namna ya kuyaelewa vizuri majira hayo ya mvua na kuanza kulima mashamba makubwa, ili waweze kupata mazao mengi kwenye familia zao. Ndiyo maana, huwa anawaambia waanze kulima wakati wa “mvua kutanda.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuyaelewa vizuri majira ya kuanza kuyatekeleza majukumu yao na kuutumia vizuri muda huo, katika maisha yao, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Kutoka 24:15-18.

Luka 12:54-55.

Mhubiri 11:3a.

umbrella-

rain-1

woman--1

ENGLISH: HEAVY RAIN CLOUDS.

This saying looks at the darkness of the rain clouds. When it is about to rain clouds appear on the sky which bring darkness to the point of starting to rain. Those dark clouds are what people call “heavy rain clouds.”

This saying is likened to a man who sees the signs of the onset of spring, and begins to cultivate his fields in his lifetime. This person is well aware of the signs of the onset of the growing season, due to his or her hard working. He cultivates the fertile fields that provide him with plenty of harvest enough to feed his family throughout the year.

This man also teaches his people on how to understand the rainy season enough to start cultivating large fields, so that they can get more products from their farms. That is why he tells them to start plowing during the “heavy rain clouds.”

This saying teaches people on how to properly understand when to start fulfilling their responsibilities for making the best use of that time in their lives, so that they can have more successes in their families.

Exodus 24: 15-18

Luke 12: 54-55.

Ecclesiastes 11: 3a.

846. GUBHINZA LUGIKO.

Akahayikle Kenako, kalolile bhubhinzi bho lugiko lo bhanhu bhalebhe. Ulugiko lunulo, lililibhilinga lya bhanhu abho bhali na bhulingisilo bho guhoyela mihayo yabho. Abhanhu bhenabho ulu bhumala uguyihoyela imihayo yabho yiniyo, bhagabhizaga ni kanza lya gubhinza lugiko. Hunagwene bhagalitanaga likanza lya “gubhinza lugiko.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhali na g’wigwano go guhoyela mihayo yabho na guyimala bhali halumo, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho, bhagiyigwilijaga chiza imihayo iyo igigelaga umukaya jabho kunguno ya bhutogwa bhobho ubho bhugabhambilijaga uguyimama bho ng’wigwano gutale imihayo yabho yiniyo. Abhoyi bhagatumamaga milimo yabho bho gwiyambilija halumo, umuwikaji bhobho.

Abhanhu bhenabho, bhagikolaga na bhabhinzi bha lugiko, kunguno nabho bhagibhilingaga bhayimala chiza imihayo yabho, umukikalile kabho. Hunagwene ulu bhayihoyela imihayo yabho bhagabhizaga ni kanza lya “gubhinza lugiko.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na ng’wigwano go gwibhilinga na guyimala halumo imihayo yabho, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Marko 6:45-46.

KISWAHILI: KUVUNJA BARAZA.

Msemo huo huangalia uvunjaji wa baraza walio nao watu fulani. Baraza hilo, ni mkusanyiko wa watu wenye malengo ya kuongelea masuala yao. Watu hao wakizimaliza kuziongelea hoja hizo huwa wana muda wa kuvunja baraza. Ndiyo maana huwa wanaamua “kuvunja baraza.”

Mesemo huo, hulinganishwa kwa watu wale walio na uelewano wa kuyaongelea masuala yao wakiwa pamoja, katika maisha yao. Watu hao, huwa wanajulishana vizuri masuala yaliyotokea kwenye familia zao, kwa sababu ya upendo wao unaowasaidia kuyaweka vizuri kwa ushirikiano huo wa pamoja.Wao huyatekeleza majukumu yao kwa ushirikiano huo, maishani mwao.

Watu hao, hufanana na wale wavunjaji wa Baraka, kwa sababu nao huwa wanakusanyika pamoja wanapotaka kuyaongelea masuala yao, katika maisha yao. Ndiyo maana wakimaliza kuyaongelea masuala hao huwa wana kuwa na muda wa “kuvunja baraza.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na ushirikiano wa kukusanyika kwa ajili ya kuyaongelea hadi kuyamaliza masuala yao hayo wakiwa pamoja, katika maisha yao, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, maishani mwao.

Marko 6:45-46.

botswana--

people---

people2

ENGLISH: TO DISSOLVE THE MEETING.

This saying looks at the breach of the council that certain people have. This council is a gathering of people who aim at talking about their issues. When these people have finished talking about those issues, they set a time for breaking up their council. That is why they often decide “to dissolve the meeting.”

This saying is compared to people who have time for talking about their issues together in their lives. These people are well acquainted with the issues that have arisen in their families, because of their true love for each other that helps them enough to keep them well in their partnership. They fulfill their daily responsibilities because of maintaining nicely such partnership in their lives.

These people are like those who had time for dissolving their council after solving their problems, because they also gather together when they want to talk about their issues in their lives. That is why when they finish talking about those issues they have time “to dissolve the meeting.”

This saying imparts in people an idea on having a co-operative gathering for talking together about various issues until they finish them, so that they can live in peace with each other in their lives.

Mark 6: 45-46.