mother tongue

958. NG’WAGUMANUHAYA NG’WANAMINZA BHULIBHULI.

Olihoyi munhu umo uyo witanagwa Ng’wanaminza. Umunhu ng’wunuyo, oyombaga mihayo ya nhana, kunguno bhuli yene iyo uyiyombaga uku bhanhu, yidebhaga chiza. Aliyo lulu, bhalihoyi bhanhu abho bhang’ung’ulaga giki ali nomolomo. Hunagwene agabhawila giki, “ng’wagumanuhaya ng’wanaminza bhuli bhuli.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adabhuzunyaga wangu ubhunhana, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agamanaga uhalalika kulo gubhulema ubhunhana kunguno ya libhengwe lyakwe, na kugaiya guzunya ukumihayo ya bhiye. Uweyi agagayiyagwa uwasa bho gupandika ililange lya guyibheja chiza ikaya yakwe, kunguno ya libhengwe lyakwe linilo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nabho bhagabhulema ubhunhana bho mihayo ya ng’wanaminza, kunguno nabhoyi bhagabhulemaga ubhunhana ubho bhudulile gubhenhela matwajo mingi, umuwikaji bhobho. Unagwene abhanhu bhagabhawilaga giki, “ng’wagumanuhaya ng’wanaminza bhuli bhuli.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhuleka ubhudamu bho gubhuzunya ubhunhana ubho bhagawilaga na bhichabho, kugiki bhudule gubhenhela matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Zaburi 139:1-2.

Luka 12:5.

1Wakorintho 4:5.

 

KISWAHILI: KILA MARA MNASEMA NG’WANAMINZA NINI NINI.

Alikuwepo mtu mmoja aliyeitwa Ng’wanaminza. Mtu huyo, alikuwa msema ukweli katika maisha yake, kiasi kwamba kile alichowaambia watu, kilikuwa kweli. Lakini kulikuwepo na baadhi ya watu waliokuwa wakimsema pembeni kwamba ni muongo. Ndiyo maana yeye aliwaambia kwamba, “kila mara mnasema ng’wanaminza nini nini.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule asiyeukubali ukweli katika maisha yake. Mtu huyo, huwa anabisha kwa lengo la kuupinga ukweli kwa sababu ya dharau na kutokuwa na imani na wengazake. Yeye hukosa nafasi ya kufanikiwa katika maisha yake, kwa sababu ya kuukataa ukweli unaoweza kumpatia mafanikio mengi maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na wale watu waliokataa kuukubali ukweli aliousema Ng’wanaminza, kwa sababu naye hukataa kuupokea ukweli unaoweza kumletea maendeleo maishani mwake. Ndiyo maana watu huwaambia kwamba, “kila mara mnasema ng’wanaminza nini nini.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kutokuwa wagumu wa kuyapokea maneno ya ukweli katika maisha yao, ili waweze kuyatumia katika kujiletea maendeleo mengi, maishani mwao.

Zaburi 139:1-2.

Luka 12:5.

1Wakorintho 4:5.

zanzibar-12

men-

africans-

 

ENGLISH: YOU ALWAYS SAY THIS AND THAT NG’WANAMINZA.

 There was a man who was called Ng’wanaminza. He was telling the truth in his life, so much so that what he told the people, was true. But there were some people who were speaking against about him, that he was a liar. That is why he told them that, “you always say this and that Ng’wanaminza.”

This saying is compared to the person who does not accept the truth in his life. This person tends to challenge the truth because of his/her contempt and distrust towards others. He/she misses a chance of succeeding in life, because of rejecting the truth that can give him/her so much success in life.

This person is like those people who refused to accept the truth that Ng’wanaminza said, because he/she also refuses to accept the truth that can bring him/her progress in life. That is why people tell him/her, “You always say this and that Ng’wanaminza.”

This saying teaches people on how to accept the words of truth in their lives, so that they can apply them in bringing about more progress to their societies.

Psalm 139: 1-2.

Luke 12: 5.

1 Corinthians 4: 5.

957. KALAGU – KIZE. DINA MAYU DUGANISHAGA ALIYO ADIGUTAGA – SI.

Ikalagu yiniyo, ilolile Si. Isi yiniyo, igabhabhuchaga abhanhu ulu bhabyalwa umusi munumu, na igabhamilaga ulu bhagaya bho gujikwa. Abhanhu bhagachaga bhuli makanza bhajikwa aliyo idigutaga. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “dina mayu duganishaga aliyo adigutaga – Si.”

Ikalagu yiniyo, igatumilagwa kuli munhu uyo agitilagwa ya wiza na nina aliyo uweyi adayimanile, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adabhumagana uwiza bho gubyalwa nu mayu okwe ng’wunuyo, kunguno ya gwiganiga giki weng’hwa gupandika makoye duhu umusi munumu. Uweyi olalaga mumagulu ga ng’wa mayu okwe na gub’uchiwa kungungo, aliyo agalilaga duhu ulu omisha kunguno ya guduma ugubhudebha uwiza ubho agang’witilaga, umayu okwe ng’wunyo.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo oyidukaga Isi giki igamilaga bhanhu aliyo bhagayipandagilaga iyo igafunyaga na wasa bho gubhabhika ulu bhalijikwa, kunguno nuweyi adabhumanile uwiza bho ng’wa nina uyo omyala na gunkuja, umukikalile kakwe. Hunagwene aganhalamikilaga bho guyomba giki, “dina mayu duganishaga aliyo adigutaga – Si.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya kubhudebha uwiza ubho bhitilwa na bhabyaji bhobho, ubho bhulikihamo nubho gubhenha kuwelelo na kubhalanhana mpaga bhugakula chiniko, kugiki bhadule gubhalumba abhabyaji bhenabho bho gubhakuja na gulanghana chiza, umuwikaji bhobho.

Luka 12:15.

Kumbukumbu la Torati 30:15.

Marko 16:1-8.

1Wakorintho 15:20-22.

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

TUNA MAMA TUNAMLISHA LAKINI HASHIBI – ARDHI.

Kitendawili hicho, huangalia Ardhi. Ardhi hiyo, huwabeba watu wanapozaliwa duniani humu, na wanapofariki huwameza kwa njia ya kuzikwa. Wanaokufa na kuzikwa ni wengi lakini yenyewe haishibi. Ndiyo maana watu husema kwamba, “tuna mama tunamlisha lakini hashibi – Ardhi.”

Kitendawili hicho, hutumiwa kwa mtu yule ambaye hutemdewa wema na mama yake mzazi lakini hautaumbui wema huo, katika maisha yake. Mtu huyo, hautambui wema wa mama yake ambao ni pamoja na ule wa kumzaa na kumkuza, kwa kumlaumu kwamba, alimleta duniani kuteseka tu. Yeye alilala kwenye magoti ya mama na kubebwa mgongoni ng’wa mama yake, bila kusahau kumlaza aliposinzia, lakini yeye aliamuka na kulia, kwa sababu ya kushindwa kuutambua wema huo wa mama yake huyo mzazi, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeilaumu Ardhi akidai kwamba inameza watu wakati kuwazika, kwa kutokufahamu kuwa hilo ni tendo la upendo, kwa sababu naye hautambui wema wa mama yake mzazi aliyemzaa na kumkuza, katika maisha yake. Ndiyo maana humlaumu kwa kusema kwamba, “tuna mama tunamlisha lakini hashibi – Ardhi.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuutambua wema waliotendewa na wazazi wao, ambao ni pamoja na ule wa kuwaleta duniani, na kuwatunza mpaga wakawa watu wazima, ili waweze kuwashukuru kwa kuwaheshimu na kuwatunza vizuri, maishani mwao.

Luka 12:15.

Kumbukumbu la Torati 30:15.

Marko 16:1-8.

1Wakorintho 15:20-22.

cemetery-

 

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE- LET IT COME.

I HAVE A MOTHER WHOM WE FEED BUT SHE IS NEVER SATISFIED – LAND.

This riddle looks at the Land. This land carries people when they are born on this earth, and when they die it swallows up them during their burial. The people who die and be buried are many but it does get satisfied. That is why people say that, “I have a mother whom we feed but she is never satisfied – land.”

This riddle is applied to the person who is treated kindly by his or her mother but he does not realize that kindness in his or her life. This person does not recognize the goodness of his mother which includes the birth and rearing of his/her. He/she lay on her mother’s knees and was carried on her mother’s back. This mother made this person sleep well who fails to recognize the goodness of his/her mother, in life.

This man is like the one who blamed the Earth by claiming that it swallows people when they are buried, not realizing that it is an act of love, because he also does not recognize the goodness of his biological mother, in his life. That is why he/she blames her by saying that, “I have a mother whom we feed but she is never satisfied – land.”

This riddle imparts in people a clue on how to recognize the good deeds which were done by their parents, which include bringing them into the world, and caring for them as adults, so that they can thank them by respecting and taking good care of them, in their lives.

Luke 12:15.

Deuteronomy 30:15.

Mark 16: 1-8.

1 Corinthians 15: 20-22.

956. NG’HINGI YANEGA ITAB’ANYA B’ASIMBIJI.

Ulusumo lunulo, luhoyelile ng’hingi iyo yanega. Ing’hingi yiniyo, igamanaga yusimbililwa na bhasimbiji bhayo, yandra gunega duhu hangi. Iyoyi igabhanojaga nose abhanhu abho bhagayisimbilaga kunguno, ulu bhayisimbila yanega duhu hangi. Hunagwene bhagayombaga giki, “ng’hingi yanega itab’anya b’asimbiji.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa ku kaya iyo yigayogaga bhuli makanza umukikalile kayo. Ikaya yiniyo, yigamanaga yuyoga bhuli makanza kunguno abhanhu bhayo bhadishibhaga ulu bhalilomela. Abhoyi bhagabhizaga bhuli ng’wene nkali duhu uyo alemile ugubhadegeleka abhiye. Iyoyi ikabhakoyaga nose abhayanguji bhayo, kunguno ulu bhayiyangula yayoga duhu hangi, kunguno ya bhikaji bhayo gugayiwa wiyumilija, umukikalile kabho.

Ikaya yiniyo igikolaga ni ng’hingi iyi inegile iyo igatabhanya bhasimbiji, kunguno niyoyi igabhatabhanyaga abhayanguji bhayo. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagiyombaga giki, “ng’hingi yanega itab’anya b’asimbiji.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhitoji higulya ya gubhiza na wiyumilija bho gwitogwa na gwilekeja ulu bhidumaga, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, umuwikiji bhobho.

1Yohane 3:18.

Marko 10:5-8.

Wakolosai 3:18-19

Mathayo 18:15.

KISWAHILI: NGUZO ILIYOLEGEA HUTATANISHA WACHIMBIAJI.

Methali hiyo, huongelea juu ya nguzo iliyolegea. Nguzo hiyo, huwa inachimbiwa na wachimbiaji wake, lakini huanza kulegea tena. Yenyewe mwishawe huwachosha wale wanaoichimbia, kwa sababu ya kuendelea kulegea kila wanapoichimbia. Ndiyo maana watu huisema kwamba, “nguzo iliyolegea hutatanisha wachimbiaji.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwenye familia ile ambayo huwa inazozana kila wakati, katika maisha yake. Familia hiyo, huzozana kila wakati kwa sababu ya wakazi wake kutokuwa na hali ya kusikilizana wanapoongea. Watu hao, huwa ni wakali wasiokubali kuwasikiliza wenzao, kwa sababu ya kutokuwa na uvumilivu katika maisha yao. Yenyewe huwachosha waamuzi wake kwa sababu ya kuendelea kuzozana tena kila wanapomaliza kuwapatanisha, maishani mwao.

Familia hiyo, hufanana na ile nguzo iliyolegea ambayo iliwashinda wachimbiaji wake, kwa sababu nayo huendelea kuzozana kila inapopatanishwa mwishowe huwashinda wale wapatanishi wake. Ndiyo maana watu hao huisema kwamba, “nguzo iliyolegea hutatanisha wachimbiaji.”

Methali hiyo, hufundisha wana ndoa juu ya kuwa na uvumilivu wa kupendana na kusameheana wanapokoseana, ili waweze kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.

1Yohane 3:18.

Marko 10:5-8.

Wakolosai 3:18-19

Mathayo 18:15.

zanzibar-11

ENGLISH: A POST THAT HAS BECOME LOOSE CONFUSES THE DIGGERS.

This proverb speaks of a loose post. This post is dug by its diggers, but it begins to loosen again. It eventually exhausts those who dig its hole for strengthening it, because it continues to falter every time after being fixed. That is why people say that, “a post that has become loose confuses the diggers.”

This proverb is compared to the family that is constantly at misunderstanding, in its life. This family is continually at conflict because of its lack of listening ability to its members. These people are harsh and unwilling to listen to one another, because of their impatience in their lives. It exhausts its judges because of such constantly arguing with them every time after reconciling them, in their lives.

This family resembles the loose pillar that overcame its diggers, because it also continues to quarrel with each other and eventually overcomes its mediators. That is why people say that “a post that has become loose confuses the diggers.”

This proverb teaches married couples on how to have patience that is strong enough to love and forgive each other when they offend each other, so that they can nicely raise well their families, in their lives.

1 John 3:18.

Mark 10: 5-8.

Colossians 3: 18-19.

Matthew 18:15.

955. B’USUMBA B’UDAKOMANIJIE AMALIKA.

Ulihoyi munhu uyo widimamaga bhunwani na bhanhu abho bhadi bhilika lyake. Umunhu ng’wunuyo, olina bhanwani bhingi, kunguno ya bhujidakomanya bho malika bhokwe bhunubho. Abhanhu bhagamuja, “nibhuli uguhoyaga na bhanhu abho bhadi bhilika lyako?” Uweyi agashosha giki, “b’usumba b’udakomanije amalika.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agidimaga bhunwani na bhabhu bho gulola nhungwa ja wiza, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, aganwanaga na bhanhu bhingi abho bhali na nhungwa ja wiza, bho nduhu gudilila malika gabho, kunguno abho bhali na nhungwa ijawiza jinijo, bhalihoyi umu malika gose. Uweyi agapandikaga bhanwani bhingi abho bhali na nhungwa ja wiza, kunguno ya bhudebhi bhokwe bhunubho ubho guchola abhanwani bhakwe, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo ohoyaga na bhanhu bha malika gose, kunguno nuweyi agidimaga bhunwani na bhanhu bha malika gose, abho bhali na nhungwa jawiza, umukikalile kabho. Uweyi agabhatongelaga abhanhu bhakwe nzila za kubhacholela abhanwani bhabho bhenabho. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, “b’usumba b’udakomanije amalika.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya guchola bhanwani abho bhali na nhungwa jawiza umukakilile kabho, kugiki bhadule gujilela chiza, ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Yohane 15:9-15.

Wagalatia 6:9.

Yakobo 5:19-20.

 

KISWAHILI: URAFIKI HAUCHAGUI UMRI.

Alikuwepo mtu mmoja aliyeshikana urafiti na watu ambao siyo wa umri wake. Mtu huyo, alipata marafiki wengi kwa sababu ya kutobagua umri huo. Watu walimuuliza, “kwa nini unapenda kuongea na watu wasio wa lika lako?” Yeye alijiku kwa kusema kwamba, “urafiki hauchagui umri.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hushikana urafiki na watu kwa kuangalia tabia njema, katika maisha yao. Mtu huyo hupata marafiki wengi wenye tabia njema hizo, ambao wamo kwenye kila rika. Yeye hupata marafiki wenye tabia hiyo njema, kwa sababu ya uelewa wake huo wa kutumia kugezo hicho cha kutafuta marafiki, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeongea na watu wa rika zote, kwa sababu naye hushikana urafiki na watu wa rika zote, katika maisha yake. Yeye huwaongoza watu wake katika kuzifahamu njia za kujipatia marafiki bora. Ndiyo maana huwaambia watu kwamba, “urafiki hauchagui umri.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kutafuta maraki wenye tabia njema, ili waweze kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.

Yohane 15:9-15.

Wagalatia 6:9.

Yakobo 5:19-20.

drums-1

 

ENGLISH: FRIENDSHIP DOES NOT CONSIDER AGE.

There was one person who had friends who were not of his age. This man made many friends because he did not tell apart against those of his own age group. People asked him, “Why do you like to talk to people who are not of your own age?” He asserted that “friendship does not consider age.”

This saying is likened to a person who makes friends with people by looking for those who have good habits in their lives. This person finds many friends with similar qualities, who are in every age group. He gets friends of good characters, because of his understanding of using a criterion of finding them in life.

This person is like the one who spoke to people of all ages, because he also develops friendships with people of all ages, throughout his life. He leads his people in knowing ways for making good friends. That is why he tells people that “friendship does not consider age.”

This saying instills in people a clue on how to find friends of good morals, so that they can better raise their families in their lives.

John 15: 9-15.

Galatians 6: 9.

James 5: 19-20.

954. KENAKO KAJINONELEJA NG’HONGE.

Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile kajinoneleja ng’ombe. Ing’honge kali kajigabho kabhugali ako kagatumilagwa gulija makubhi na bhali bha bhugali bhunubho. Akajinoneleja ng’honge kenako, kali kakumbi kadololo ako kagikilaga na maguta mingi.

Akakumbi kenako, ulu munhu ukabada na gukakalanga kagajifujaga maguta ing’honge ja bhanhu abho bhagalijaga moyi. Hunagwene abhanhu bhagakitanaga giki, “kenako kajinoneleja ng’honge.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu o mili ndololo uyo agatumamaga milimo mitale, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agalimaga mamigunda matale ayo gagabishaga majiliwa mingi, kunguno ya nguzu jakwe na bhukamu bho gutumama milimo yakwe yiniyo. Uweyi, agabhambilijaga bhanhu bhingi umubhutumami bhokwe bhunubho, kunguno ya matwajo mingi ayo gagenhagwa na nguzu za gwigulambija gutumama milimo yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga na kajinoneleja ng’ombe ako kali na maguta ga gujifuja ng’honge ja bhali bha bhugali, kunguno nuweyi alina nguzu ja gwambilija bhanhu bhingi, umukikalile kakwe kenako. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki “kenako kajinoneleja ng’honge.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka gubhadalaha bhanhu kunguno ya mimili yabho gubhiza midololo, kugiki bhadule gwiyambilija chiza, ugwiyenhela matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Yohane 17:21.

1Petro 4:7-11.

1Wakorintho 1:10.

Waefeso 2:13-14.

KISWAHILI: HAKA NI KAKOLEZA TONGE.

Chanzo cha msemo huo, huongelea kikoleza tonge. Tonge ni kapande cha ugali kinachotumiwa kuchotea mboga na mlaji. Kikoleza tonge ni panzi mwenye umbo dogo ambaye huwa na mafuta mengi sana. Panzi huyo, mtu akimkamata na kumkaanga, mafuta yake huzikoleza tonge za walaji. Ndiyo maana watu hukaita kwamba, “haka ni kakoleza tonge.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu mwenye mwili mdogo ambaye ana nguvu za kufanya kazi kubwa, katika maisha yake. Mtu huyo, hulima mashamba makubwa ya mazao mbali mbali ambayo humpatia mavuno mengi, kwa sababu ya nguvu zake hizo na bidii yake hiyo ya kufanya kazi. Yeye huwasaidia watu wengi, katika kazi zake hizo, kwa sababu ya mavuno mengi yanayoletwa na nguvu zake hizo za kujibidisha kufanya kazi, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule panzi mwenye mafuta ya kukoleza tonge za walaji, kwa sababu naye ana nguvu za kujitapatia maendeleo yanayosaidia watu wengi, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humuita kwamba, “haka ni kakoleza tonge.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia za kuwadharau watu kwa sababu ya miili yao kuwa midogo, ili waweze kusaidiana vizuri katika kijiletea maendeleo, maishani mwao.

Yohane 17:21.

1Petro 4:7-11.

1Wakorintho 1:10.

Waefeso 2:13-14.

african-child-1

ENGLISH: THIS IS SOMETHING THAT MAKES A LUMP OF UGALI SWEET.

The above saying speaks of a sweet taste giver to a lump of ugali. This lump of Ugali is a piece of porridge which is used to pick vegetables from a container by eaters.

The taste giver is a small grasshopper that has a lot of fat enough to make the eater enjoy eating their food. That is why people call it that, “this is something that makes a lump of ugali sweet.”

This saying is likened to a man with small body who has the power to do great work, in his life. This man cultivates large fields of various crops that give him a good harvest, because of his strength and hard work. He helps many people, in his work, because of the great harvest that comes with his hard work, in life.

This man is like the grasshopper that has the ability to absorb the saliva of the consumer, because he also has the power to make progress in helping people, in his life. That is why people call him, “this is something that makes a lump of ugali sweet.”

This saying teaches people on how to stop the habit of despising people because of their small bodies, so that they can nicely help each other in the developmental process, in their lives.

John 17:21.

1 Peter 4: 7-11.

1 Corinthians 1:10.

Ephesians 2: 13-14.