Ulihoyi munhu uyo widimamaga bhunwani na bhanhu abho bhadi bhilika lyake. Umunhu ng’wunuyo, olina bhanwani bhingi, kunguno ya bhujidakomanya bho malika bhokwe bhunubho. Abhanhu bhagamuja, “nibhuli uguhoyaga na bhanhu abho bhadi bhilika lyako?” Uweyi agashosha giki, “b’usumba b’udakomanije amalika.”
Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agidimaga bhunwani na bhabhu bho gulola nhungwa ja wiza, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, aganwanaga na bhanhu bhingi abho bhali na nhungwa ja wiza, bho nduhu gudilila malika gabho, kunguno abho bhali na nhungwa ijawiza jinijo, bhalihoyi umu malika gose. Uweyi agapandikaga bhanwani bhingi abho bhali na nhungwa ja wiza, kunguno ya bhudebhi bhokwe bhunubho ubho guchola abhanwani bhakwe, umuwikaji bhokwe.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo ohoyaga na bhanhu bha malika gose, kunguno nuweyi agidimaga bhunwani na bhanhu bha malika gose, abho bhali na nhungwa jawiza, umukikalile kabho. Uweyi agabhatongelaga abhanhu bhakwe nzila za kubhacholela abhanwani bhabho bhenabho. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, “b’usumba b’udakomanije amalika.”
Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya guchola bhanwani abho bhali na nhungwa jawiza umukakilile kabho, kugiki bhadule gujilela chiza, ikaya jabho, umuwikaji bhobho.
Yohane 15:9-15.
Wagalatia 6:9.
Yakobo 5:19-20.
KISWAHILI: URAFIKI HAUCHAGUI UMRI.
Alikuwepo mtu mmoja aliyeshikana urafiti na watu ambao siyo wa umri wake. Mtu huyo, alipata marafiki wengi kwa sababu ya kutobagua umri huo. Watu walimuuliza, “kwa nini unapenda kuongea na watu wasio wa lika lako?” Yeye alijiku kwa kusema kwamba, “urafiki hauchagui umri.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hushikana urafiki na watu kwa kuangalia tabia njema, katika maisha yao. Mtu huyo hupata marafiki wengi wenye tabia njema hizo, ambao wamo kwenye kila rika. Yeye hupata marafiki wenye tabia hiyo njema, kwa sababu ya uelewa wake huo wa kutumia kugezo hicho cha kutafuta marafiki, maishani mwake.
Mtu huyo, hufanana na yule aliyeongea na watu wa rika zote, kwa sababu naye hushikana urafiki na watu wa rika zote, katika maisha yake. Yeye huwaongoza watu wake katika kuzifahamu njia za kujipatia marafiki bora. Ndiyo maana huwaambia watu kwamba, “urafiki hauchagui umri.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kutafuta maraki wenye tabia njema, ili waweze kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.
Yohane 15:9-15.
Wagalatia 6:9.
Yakobo 5:19-20.
ENGLISH: FRIENDSHIP DOES NOT CONSIDER AGE.
There was one person who had friends who were not of his age. This man made many friends because he did not tell apart against those of his own age group. People asked him, “Why do you like to talk to people who are not of your own age?” He asserted that “friendship does not consider age.”
This saying is likened to a person who makes friends with people by looking for those who have good habits in their lives. This person finds many friends with similar qualities, who are in every age group. He gets friends of good characters, because of his understanding of using a criterion of finding them in life.
This person is like the one who spoke to people of all ages, because he also develops friendships with people of all ages, throughout his life. He leads his people in knowing ways for making good friends. That is why he tells people that “friendship does not consider age.”
This saying instills in people a clue on how to find friends of good morals, so that they can better raise their families in their lives.
John 15: 9-15.
Galatians 6: 9.
James 5: 19-20.