958. NG’WAGUMANUHAYA NG’WANAMINZA BHULIBHULI.

Olihoyi munhu umo uyo witanagwa Ng’wanaminza. Umunhu ng’wunuyo, oyombaga mihayo ya nhana, kunguno bhuli yene iyo uyiyombaga uku bhanhu, yidebhaga chiza. Aliyo lulu, bhalihoyi bhanhu abho bhang’ung’ulaga giki ali nomolomo. Hunagwene agabhawila giki, “ng’wagumanuhaya ng’wanaminza bhuli bhuli.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adabhuzunyaga wangu ubhunhana, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agamanaga uhalalika kulo gubhulema ubhunhana kunguno ya libhengwe lyakwe, na kugaiya guzunya ukumihayo ya bhiye. Uweyi agagayiyagwa uwasa bho gupandika ililange lya guyibheja chiza ikaya yakwe, kunguno ya libhengwe lyakwe linilo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nabho bhagabhulema ubhunhana bho mihayo ya ng’wanaminza, kunguno nabhoyi bhagabhulemaga ubhunhana ubho bhudulile gubhenhela matwajo mingi, umuwikaji bhobho. Unagwene abhanhu bhagabhawilaga giki, “ng’wagumanuhaya ng’wanaminza bhuli bhuli.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhuleka ubhudamu bho gubhuzunya ubhunhana ubho bhagawilaga na bhichabho, kugiki bhudule gubhenhela matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Zaburi 139:1-2.

Luka 12:5.

1Wakorintho 4:5.

 

KISWAHILI: KILA MARA MNASEMA NG’WANAMINZA NINI NINI.

Alikuwepo mtu mmoja aliyeitwa Ng’wanaminza. Mtu huyo, alikuwa msema ukweli katika maisha yake, kiasi kwamba kile alichowaambia watu, kilikuwa kweli. Lakini kulikuwepo na baadhi ya watu waliokuwa wakimsema pembeni kwamba ni muongo. Ndiyo maana yeye aliwaambia kwamba, “kila mara mnasema ng’wanaminza nini nini.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule asiyeukubali ukweli katika maisha yake. Mtu huyo, huwa anabisha kwa lengo la kuupinga ukweli kwa sababu ya dharau na kutokuwa na imani na wengazake. Yeye hukosa nafasi ya kufanikiwa katika maisha yake, kwa sababu ya kuukataa ukweli unaoweza kumpatia mafanikio mengi maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na wale watu waliokataa kuukubali ukweli aliousema Ng’wanaminza, kwa sababu naye hukataa kuupokea ukweli unaoweza kumletea maendeleo maishani mwake. Ndiyo maana watu huwaambia kwamba, “kila mara mnasema ng’wanaminza nini nini.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kutokuwa wagumu wa kuyapokea maneno ya ukweli katika maisha yao, ili waweze kuyatumia katika kujiletea maendeleo mengi, maishani mwao.

Zaburi 139:1-2.

Luka 12:5.

1Wakorintho 4:5.

zanzibar-12

men-

africans-

 

ENGLISH: YOU ALWAYS SAY THIS AND THAT NG’WANAMINZA.

 There was a man who was called Ng’wanaminza. He was telling the truth in his life, so much so that what he told the people, was true. But there were some people who were speaking against about him, that he was a liar. That is why he told them that, “you always say this and that Ng’wanaminza.”

This saying is compared to the person who does not accept the truth in his life. This person tends to challenge the truth because of his/her contempt and distrust towards others. He/she misses a chance of succeeding in life, because of rejecting the truth that can give him/her so much success in life.

This person is like those people who refused to accept the truth that Ng’wanaminza said, because he/she also refuses to accept the truth that can bring him/her progress in life. That is why people tell him/her, “You always say this and that Ng’wanaminza.”

This saying teaches people on how to accept the words of truth in their lives, so that they can apply them in bringing about more progress to their societies.

Psalm 139: 1-2.

Luke 12: 5.

1 Corinthians 4: 5.

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.