Ikalagu yiniyo, ilolile Si. Isi yiniyo, igabhabhuchaga abhanhu ulu bhabyalwa umusi munumu, na igabhamilaga ulu bhagaya bho gujikwa. Abhanhu bhagachaga bhuli makanza bhajikwa aliyo idigutaga. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “dina mayu duganishaga aliyo adigutaga – Si.”
Ikalagu yiniyo, igatumilagwa kuli munhu uyo agitilagwa ya wiza na nina aliyo uweyi adayimanile, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adabhumagana uwiza bho gubyalwa nu mayu okwe ng’wunuyo, kunguno ya gwiganiga giki weng’hwa gupandika makoye duhu umusi munumu. Uweyi olalaga mumagulu ga ng’wa mayu okwe na gub’uchiwa kungungo, aliyo agalilaga duhu ulu omisha kunguno ya guduma ugubhudebha uwiza ubho agang’witilaga, umayu okwe ng’wunyo.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo oyidukaga Isi giki igamilaga bhanhu aliyo bhagayipandagilaga iyo igafunyaga na wasa bho gubhabhika ulu bhalijikwa, kunguno nuweyi adabhumanile uwiza bho ng’wa nina uyo omyala na gunkuja, umukikalile kakwe. Hunagwene aganhalamikilaga bho guyomba giki, “dina mayu duganishaga aliyo adigutaga – Si.”
Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya kubhudebha uwiza ubho bhitilwa na bhabyaji bhobho, ubho bhulikihamo nubho gubhenha kuwelelo na kubhalanhana mpaga bhugakula chiniko, kugiki bhadule gubhalumba abhabyaji bhenabho bho gubhakuja na gulanghana chiza, umuwikaji bhobho.
Luka 12:15.
Kumbukumbu la Torati 30:15.
Marko 16:1-8.
1Wakorintho 15:20-22.
KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.
TUNA MAMA TUNAMLISHA LAKINI HASHIBI – ARDHI.
Kitendawili hicho, huangalia Ardhi. Ardhi hiyo, huwabeba watu wanapozaliwa duniani humu, na wanapofariki huwameza kwa njia ya kuzikwa. Wanaokufa na kuzikwa ni wengi lakini yenyewe haishibi. Ndiyo maana watu husema kwamba, “tuna mama tunamlisha lakini hashibi – Ardhi.”
Kitendawili hicho, hutumiwa kwa mtu yule ambaye hutemdewa wema na mama yake mzazi lakini hautaumbui wema huo, katika maisha yake. Mtu huyo, hautambui wema wa mama yake ambao ni pamoja na ule wa kumzaa na kumkuza, kwa kumlaumu kwamba, alimleta duniani kuteseka tu. Yeye alilala kwenye magoti ya mama na kubebwa mgongoni ng’wa mama yake, bila kusahau kumlaza aliposinzia, lakini yeye aliamuka na kulia, kwa sababu ya kushindwa kuutambua wema huo wa mama yake huyo mzazi, katika maisha yake.
Mtu huyo, hufanana na yule aliyeilaumu Ardhi akidai kwamba inameza watu wakati kuwazika, kwa kutokufahamu kuwa hilo ni tendo la upendo, kwa sababu naye hautambui wema wa mama yake mzazi aliyemzaa na kumkuza, katika maisha yake. Ndiyo maana humlaumu kwa kusema kwamba, “tuna mama tunamlisha lakini hashibi – Ardhi.”
Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuutambua wema waliotendewa na wazazi wao, ambao ni pamoja na ule wa kuwaleta duniani, na kuwatunza mpaga wakawa watu wazima, ili waweze kuwashukuru kwa kuwaheshimu na kuwatunza vizuri, maishani mwao.
Luka 12:15.
Kumbukumbu la Torati 30:15.
Marko 16:1-8.
1Wakorintho 15:20-22.
ENGLISH: I HAVE A RIDDLE- LET IT COME.
I HAVE A MOTHER WHOM WE FEED BUT SHE IS NEVER SATISFIED – LAND.
This riddle looks at the Land. This land carries people when they are born on this earth, and when they die it swallows up them during their burial. The people who die and be buried are many but it does get satisfied. That is why people say that, “I have a mother whom we feed but she is never satisfied – land.”
This riddle is applied to the person who is treated kindly by his or her mother but he does not realize that kindness in his or her life. This person does not recognize the goodness of his mother which includes the birth and rearing of his/her. He/she lay on her mother’s knees and was carried on her mother’s back. This mother made this person sleep well who fails to recognize the goodness of his/her mother, in life.
This man is like the one who blamed the Earth by claiming that it swallows people when they are buried, not realizing that it is an act of love, because he also does not recognize the goodness of his biological mother, in his life. That is why he/she blames her by saying that, “I have a mother whom we feed but she is never satisfied – land.”
This riddle imparts in people a clue on how to recognize the good deeds which were done by their parents, which include bringing them into the world, and caring for them as adults, so that they can thank them by respecting and taking good care of them, in their lives.
Luke 12:15.
Deuteronomy 30:15.
Mark 16: 1-8.
1 Corinthians 15: 20-22.