Tanzania

1007. OBHASOLA ABHANAMHALA BHAKWE.

Akahayile kenako, kalolile munhu uyo agikalaga na bhabyaji bhakwe aha kaya yakwe. Olihoyi munhu umo uyo witanagwa kalyango uyo wikalaga mujiji ja Ng’watuju. Umunhu ng’wunuyo agabhasola abhabyaji bhakwe uyikala nabho kunguno akajile kaji munhu ulu ukula agabhizaga adidujije. Unkuji ng’wunuyo, agisanyaga gwambilijiwa na bhasumba kulwa nguno ya bhunamhala bhokwe.

Gashinaga lulu igelelilwe aileke ikaya yakwe na guja gujuzenga uko ali ng’wana uyo agang’wambilijaga. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki “obhasola abhanamhala bhakwe.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhalanhanaga chiza abhabyaji bhakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhinhaga jiliwa, jizwalo na numba ya gulala abhabyaji bhakwe bhenabho kunguno ya likujo lwakwe ukubhoyi. Uweyi agabhambilija chiza mpaga bhinga kuwelelo, kunguno ya bhutogwa bhokwe ukubhabyaji bhakwe bhenabho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu Kalyango uyo agabhasola abhabyaji bhakwe mpaga ha ng’wakwe, kunguno nuweyi agabhambilijaga chiza abhabyaji bhakwe, mpaga binga kuwelelo, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “obhasola abhanamhala bhakwe.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza ni kujo na bhulumbi ukubhabyaji bhabho bho gubhalab’ila chiza, kugiki bhadule kupandika mbango ja gwikala chiza, umuwelelo.

Kutoka 20:12.

Yohana 19:26-27.

1Timotheo 5:1-8.

1Timotheo 5:17.

Warumi 13:1.

 

KISWAHILI: AMEWACHUKUA WAZEE WAKE.

Msemo huo, huangalia mtu anayeishi na wazazi wake nyumbani kwake. Alikuwepo mtu aliyeitwa Kalyango aliyekuwa akiishi kwenye kijiji cha Mwatuju. Mtu huyo, aliwachukua wazazi wake akawa anaishi nao nyumbani kwake kwa sababu kiubinadamu mtu akizeeke huwa hajiwezi. Mzee huyo, hutegemea kusaidiwa na watoto wake kwa sababu ya uzee wake huo.

Kumbe basi, inafaa mzee huyo aiache familia yake na kwenda kuishi kwa mwanae anayemsaidia, katika maisha yake. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “amewachukua wazee wake.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwatunza vizuri wazazi wake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwapatia wazazi wake hao, chakula, nguo na nyumba ya kulala kwa sababu ya heshima aliyo nayo kwao. Yeye huwatunza vizuri wazazi wake hao mpaka kifo chao, kwa sababu ya upendo alionao kwao, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na Kalyango aliyewatunza wazazi wake kwa kuwachukua kuishi nao nyumbani kwake, kwa sababu naye huwatunza vizuri wazazi wake hadi kifo chao. Ndiyo maana watu walisema juu yake kwamba, “amewachukua wazee wake.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na heshima na shukrani kwa wazazi wao kwa kuwatunza vizuri, ili waweze kupata Baraka za kuishi vizuri, duniani.

Kutoka 20:12.

Yohana 19:26-27.

1Timotheo 5:1-8.

1Timotheo 5:17.

Warumi 13:1.

ENGLISH: HE HAS TAKEN HIS ELDERS.

This saying looks at a man who lives with his parents in his house. He was named Kalyango who lived in the village of Mwatuju. He took his parents and lived with them in his house because when human beings grow old they become enable to depend on themselves. The old ones, in turn, rely on the help of their children because of their old age.

Therefore, the old man should leave his family and go to stay with his son who can help him, in his life. That is why the people said, “He has taken his elders.”

This saying is applied to the person who takes good care of his or her parents, throughout his or her life. Such man, provides his parents with food, clothing, and shelter because of the respect that he has for them. He takes good care of his parents until their death, because of the true love that he has for them, in his life.

This man is like Kalyango who took care of his parents by taking them to live with them in his house, because he also took good care of his parents until their death. That is why the people said of him that “He has taken his elders.”

This saying teaches people about having respect and gratitude for their parents by taking good care of them, so that they can receive Blessings of living well on earth, in their lives.

Exodus 20:12.

John 19: 26-27

1 Timothy 5: 1-8.

1 Timothy 5:17.

Romans 13: 1.

senior-citizens-1429012__480

 

 

 

 

1006. WINA NKONO MBUPU

Imbuki ya kahayile kenako, ilolile bhubupu bho nkono go ng’wa munhu nhebhe. Olihoyi munhu umo uyo wikalaga muchalo jilebhe. Aliyo lulu umunhu ng’wunuyo oli na nkono mbupu uyo gosalaga jikolo josejose bho wangu wangu noi. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “wina nkono mbupu.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali ng’wib’i umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, atogilwe gunyembyanyembya jikolo ja b’iye bho nduhu ugwinhiwa na ng’winikili ojo. Uweyi agapandikaga makoye ga gwiduma na bhanhu abho agigalaga nabho kunguno ya wib’i bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo olina nkono mbupu uyo osolaga jinhu josejose bho wangu wangu, kunguno nu weyi agagutumilaga unkono gokwe bho ugwib’a ijikolo jabhiye, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “wina nkono mbupu.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya guleka nhungwa ja gwib’a jikolo ja bhichabho, umuwikaji bhobho, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhanhu bhabho, umubhulamu bhobho.

Mathayo 15:19.

Wakolosai 3:8-9.

KISWAHILI: ANA MKONO MWEPESI.

Chanzo cha msemo huo chaangalia wepesi wa mkono wa mtu fulani. Alikuwepo mtu mmoja aliyeishi kwenye kijiji fulani. Lakini mtu huyo, alikuwa na mkono mwepesi ulioweza kuchukua kitu chochote kwa haraka sana. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “ana mkono mwepesi.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mwizi katika maisha yake. Mtu huyo, hupenda kuchukua vitu vya watu kwa kufichaficha bila kupewa na wamiliki wa hivyo vitu. Yeye hupata matatizo mengi kwa sababu ya tabia yake hiyo mbaya ya wizi, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekuwa na mkono mwepesi wa kuchukua vitu kwa haraka, kwa sababu naye hutumia mkono wake huo kwa kuiba vitu vya watu, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “ana nkono mwepesi.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kuwaibia wenzao vitu vyao, maishani mwao, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, katika maisha yao.

Mathayo 15:19.

Wakolosai 3:8-9.

ENGLISH: HE HAS A LIGHT HAND.

This saying looks at the lightness of someone’s hand. There was one man who lived in a certain village. But he had a light hand that could take anything very quickly from others. That is why people said to him that, “He has a light hand.”

This is compared to the person who is a thief in his life. Such person likes to take people’s things in secret without being given by their owners. He gets into a lot of trouble because of his wicked habit of stealing properties of people in his life.

This person, in effect, resembles the one who has a light hand to take things of people, because he also uses his hand to steal people’s things, in his life. That is why people say to him that “He has a light hand.”

This saying imparts in people an idea of giving up the habit of robbing others of their belongings, in their lives, so that they can live in peace with each other, in their families.

Matthew 15:19.

Colossians 3: 8-9.

sand-3167368__480

 

black-2660280__480

 

map-2591759__480

1005. OZWALAGA MALOLE

Imbuki ya kahayile kenako, ilolile bhuzwaji bho malole bho ng’wa munhu nhebhe. Amalole genayo bhagagazwalaga abhanhu kumiso mu bhulingisilo bho heke bhuli ng’wene.

Abhangi bhagazwalaga amalole genayo kugiki bhinje soni ya gubhogoha abhanhu kunguno gagagabhisaga amiso gabho. Abhangi bhagagazwalaga amalole geneyo bho bhubheleji duhu. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ozwalaga malole.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agalebhagwa walwa wandya guyomba mihayo ya sagala, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agayombaga mihayo ya gubhadukile abhanhu abho agikalaga nabho kunguno ya gubhiza adina soni iyo yinjiyagwa na walwa umumahoya gakwe. Uweyi agayibhipyaga ikaya yakwe yiniyo kunguno ya nhungwa jakwe ijabhubhi jinijo, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agazwalaga malole omala isoni ukubhanhu, kunguno nuweyi agalebhagwa walwa omala isoni mpaga oyomba mihayo ya bhubhi ukubhiye. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ozwalaga malole.”

Akahayile kenako kalanga abhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja gulewa walwa umukikalile kabho, kugiki bhadule gujilanhana chiza ikaya jabho, umubhulamu bhobho.

Wagalatia 5:16-26.

KISWAHILI: AMEVAA MIWANI.

Chanzo cha msemo huo, ni uvaaji wa miwani wa mtu fulani. Miwani hiyo, watu huivaa kwa malengo mbalimbali. Wengine huivaa miwani hiyo ili kuondoa aibu kwa watu wanaotaka kuwafikishia ujumbe fulani. Lakini wengine huivaa miwani hiyo kwa lengo la kutaka kupendeza tu. Ndiyo maana watu humwambia mtu huyo kwamba, “amevaa miwani.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hulewa pombe na kuanza kusema maneno ya hovyo, maishani mwake. Mtu huyo, husema maneno ya kuwatukana watu anaoishi nao kwa sababu ya kutokuwa na aibu iliyoondolelwa na ulevi katika maongezi yake. Yeye huifaharibu familia yake hiyo, kwa sababu ya tabia yake hiyo mbaya, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyevaa miwani kwa lengo la kuondoa aibu ya kuonekana machoni mwake, kwa sababu naye hulewa mpaka anakosa aibu ya kuongea maneno mabaya katika familia yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “amevaa miwani.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kulewa pombe maishani mwao, ili waweze kuzilea vyema familia zao, katika maisha yao.

Wagalatia 5:16-26.

ENGLISH: HE HAS WON GLASSES.

The origin of the over head saying is the wearing of one’s glasses. People wear these glasses for various purposes. Some wear them to remove embarrassment from those who want to convey a message in front of people. But some wear those glasses for the sole purpose of making a showy display. That is why people say to such man, “He has won glasses.”

This saying is likened to a person who gets drunk and starts saying evil things in his life. This person, in turn, utters insults to people who live with him because of removing his shamefulness by drinking too much alcohol. He destroys his family, because of his evil behavior, in his life.

This man resembles the one who won glasses with the intention of removing his shamefulness before appearing in the eyes of people, because he also gets drunk until he lacks the shame of speaking wicked words in his family. That is why people say to him that, “He has won glasses.”

This saying teaches people to stop drinking too much alcohol in their lives, so that they can better raise their families, in their daily lives.

Galatians 5: 16-26.

sunglasses-3311181__480

1004. JIGUGUMALA MUKAYA

Imbuki ya kahayile kenako ingilile kutujimi uto tuli mukaya ya ng’wa munhu uyo wikalaga muchalo jilebhe. Aliyo munhu uyo ali na kaya yakwe umu chalo jinijo. Aliyo lulu, umukaya yakwe yiniyo, jalihoyi ng’hung’uni, nhundwa, ngino na mbu. Ijilumi jinijo, jamanaga junhuma bhuli makanza unhunhu ng’wunuyo. Nose mpaga wandwa gugeha umili gokwe bho gukonda. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “jigugumala mukaya.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga na miganikio gabhubhi, umu nholo yakwe. Amiganiko genayo gagang’wenhelejaga gubhawilaga mihayo ya bhubhi abhanhu abho agikalaga nabho aha kaya yakwe yiniyo. Agoyi gagaikenagulaga ikaya yakwe kunguno ya gung’heleja gwiduma na bhanhu bhakwe bhenabho mpaga bhampela aha kaya yakwe yiniyo.

Amiganiko agabhubhi genayo, gagikolaga nu tujilumi uto tonumaga umunhu uyo oli nakaya yakwe mpaga ukonda, kunguno nago gagaibalasanya ikayaya yakwe umunhu ng’wunuyo. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “jigugumala mukaya.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka gwikala na miganiko gabhabhi umu ng’holo jabho, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhanhu umukaya jabho, umuwikaji bhobho.

Zaburi 34:13-14.

Mithali 15:4-5.

Yohane 1:23.

Marko 1:3-5.

Mithali 17:20.

KISWAHILI: WATAKUMALIZA NDANI YA NYUMBA.

Chanzo cha msemo huo, ni uwepo wa wadudu waliokuwa ndani ya nyumba ya mtu mmoja aliyeishi katika kijiji fulani. Alikuwepo mtu mmoja aliyekuwa na mji wake kwenye kijiji hicho. Lakini basi, ndani ya nyumba yake mtu huyo, walikuwepo kunguni, kupe, funza na mbu. Wadudu hao, walikuwa wakumuuma mtu huyo kila wakati. Mwishowe alipungua mwili wake kwa kukonda. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “watakumaliza ndani ya nyumba.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufikiria mawazo maovu, katika moyo wake. Mawazo hayo, humpelekea mtu huyo, kuwaambia maneno mabaya watu anaoishi nao kwenye familia yake. Mawazo hayo, huisambalatisha familia yake, kwa sababu ya kumsababisha kukosana na watu wake mpaka wanafikia hatua ya kumuacha peke yake kwenye familia yake hiyo.

Mawazo hayo maovu, hufananishwa na wale wadudu waliomuuma yule mtu aliyekuwa na familia mpaga mwishowe agakonda, kwa sababu nayo yaliisambalatisha familia yake, mtu aliyekuwa nayo mawazo hayo maovu. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “watakumaliza ndani ya nyumba.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha kukaa na mawazo maovu ndani ya mioyo yao, ili waweze kuishi kwa amani na watu kwenye familia zao, maishani mwao.

Zaburi 34:13-14.

Mithali 15:4-5.

Yohane 1:23.

Marko 1:3-5.

Mithali 17:20.

ENGLISH: THEY WILL FINISH YOU INSIDE THE HOUSE.

The origin of the above saying is the presence of insects in the house of a man who lived in a certain village. Such man had his own family in the village. But then, inside his house, there were bedbugs, ticks, worms, and mosquitoes. Those insects were biting him all the time. Eventually he lost weight because of being bitten by them. That is why people told him that, “They will finish you inside the house.”

This saying is compared to the person who thinks evil thoughts, in his heart. These thoughts, in turn, lead such person to say evil things about the people who live with him in his family. These thoughts, in turn, shatter his family, causing him to quarrel with his people until they reach the point of leaving him alone in his family.

These evil thoughts are likened to the insects that bit the man who eventually lost his weight, because he also destroyed his family by thinking those evil thoughts. That is why people told him that, “they will finish you inside the house.”

This saying imparts in people an idea on how to stop living with evil thoughts in their hearts, so that they can live peacefully with others in their families in the daily lives.

Psalm 34: 13-14.

Proverbs 15: 4-5.

John 1:23.

Mark 1: 3-5.

Proverbs 17:20.

 

 

tick-2371827__480

1003. NH’ONGA MBELE IGANG’WAGA MINZE MILU (MATENGEKU)

Ulusumo lunulo luhoyelile higulya ya kikalile kabhasuguma abho bhali bhamo bha makabhila ayo galihoyi umu Si ya Tanzania. Abhanhu bhenabho bhagatumilaga Sumo ijinagwiigwilija nhulu jabho. Abhoyi bhagasugaga mitugo guti ng’ombe ijo bhagajitumililaga ugudebha kajile kabhichabho.

 Abhanhu bhenabho bhagafunyaga bhulangwa kubhanhu bhabho munzila jinijo. Kunguno yiniyo lulu, ulusumo lunulo lulolile ng’ombe iyo igatongelaga ugujung’wa aminzi umulitabha, nulu umu mongo. Ing’ombe yiniyo igang’waga minzi milu kunguno gagikalaga giyingile bho gusaga higulya ya bhulolo ubho bhugabhizaga hasi.

 Aliyo lulu, iyoyi igang’waga amingi genayo ukunhu ipandile amagulu gayo  mumo litabha linilo, nulu mumo mongo gunuyo. Kunguno yiniyo lulu, ing’ombe yiniyo igagayugulaga amingi genayo mpaga gisangilija na bhulolo, aliyo iyoyi yang’waga minzi masoga. Ijingi jigusanga minze mayugiku. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “ng’honga mbele igang’waga minzi milu.”

Usulumo lunulo lugalenganijiyagwa kubhanhu abho bhajaga nulu ha nimo guti kujumuiya abho bhagipangaga nsitali kuja gujupandika ginhu guti jiliwa. Kuyiniyo lulu, uyo agatongelaga ugusola ijiliwa jinijio agapandikaga jiliwa jisoga gulebha abho bhagashigaga nhuma. Hunagwene abhanhu abhagayombaga giki, “nhonga mbele igang’waga minzi milu.”

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gwangusha gujutumama imilimo yabho bho gwanguha ugushiga uko bhitanililagwa.

 Lulilanga bhanhu higulya ya gwanguha kuhoyela mihayo ya sinodi ya bhamusenyere, kugiki bhadule gulumana na gutumama kihamo umugugutananhya umhayo go ng’wa Sebha.

Mathayo 18:19-20.

1Yohana 5:14.

Zaburi 133:1.

KISWAHILI: ANAYETANGULIA MBELE HUNYWA MAJI SAFI.

Methali hiyo huongelea maisha ya wasukuma ambao ni miongoni mwa makabila yanayoishi nchini Tanzania. Watu hao hutumia methali katika kufikisha ujumbe walionao kwa wenzao. Wao hufuga mifugo kama vile ng’ombe watumikao kueleza mienendo yao.

 Watu hao hutoa malezi mbalimbali kwa watu wao kupitia mazingira hayo. Huo ndiyo mwanzo wa methali hiyo, ambayo huangalia ng’ombe atanguliae kwenda kunywa maji kwenye lambo au mtoni. Ng’ombe huyo, hunywa maji masafi kwa sababu huwa yamejichuja kwa kubakia juu na matope kwenda chini.

 Lakini ng’ombe huyo, hunywa maji hayo huku amekanyaga miguu yake ndani ya maji hayo au lambo hilo. Hivyo yeye huyavuluga maji hayo wakati anapokunywa yale yaliyo mazuri au masafi. Wale wanaofika kunywa baada yake, hunywa machafu. Ndiyo maana watu husema kwamba, “Inayotangulia kufika (kwa kawaida katika kundi la ng’ombe) hunywa maji safi.”

Methali hiyo,  hufundisha watu juu ya kuwahi kufika kwenye sehemu ya tukio walioalikwa ili wakafaidike vizuri kupata ujumbe uliondaliwa. Kwa hiyo, yule atakayewahi kufika atafaidika kupata yale yote yaliyoandaliwa hapo. Lakini yule atakayechelewa atakosa. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mtu anayeongoza (kwa kawaida katika kundi la ng’ombe) hunywa maji safi.”

Siku moja nikiwa na uzoefu wa uchungaji katika jumuiya fulani ndogo ya wakristo, baada ya kumaliza maombi ya jumuiya na kushiriki tulipanga foleni kwa ajili ya chakula cha mchana, kwenye mstari nilikuwa mtu wa tano, ndipo mzee mmoja akaniambia, mbona unachelewa, huwezi kupata chakula kizuri  unajua kwamba “mtu anayeongoza (kwa kawaida katika kundi la ng’ombe) hunywa maji safi”.

Matumizi ya methali hii katika muktadha wa Kiafrika yanasaidia sana kwa mfano juu ya ushiriki wa mapema katika Sinodi ya Maaskofu ambayo Papa ametoa wito wa ushiriki wa watu wote katika sinodi. Kupitia sakramenti ya ubatizo, sisi sote ni ushirika wa watu walio sawa kwa hadhi na katika wito wa ufuasi huku tukitofautiana katika karama na ofisi. Tumeitwa kushiriki katika ukuaji wa Kanisa kwa njia ya sinodi kwa kauli mbiu ya sinodi “ushirika, ushiriki na umisionari”. Kwa hivyo, kama mchungaji anayepeleka ng’ombe zake mtoni akijua kwamba zote zitapaswa kunywa maji. Lakini wale walio mstari wa mbele wana uwezekano wa kunywa maji safi kama methali isemavyo.

Methali hiyo inatukumbusha kushiriki kwa wakati ufaao, ili tuweze kutoa ufahamu unaofaa kwa maswali yaliyoulizwa, badala ya kungoja hadi mwingine ajadili ndipo aje na kusema “baada ya yote niliyozungumza”.

Kutokana na methali yetu ya Wasukuma, ng’ombe wote hunywa maji lakini walio mstari wa mbele hunywa sio maji tu bali maji safi. Kama swali nililoulizwa na mzee katika jumuiya ndogo ya Kikristo, tunapaswa kuulizana “kwa nini ninakawia kushiriki katika sinodi?” siwezi kujua kwamba “mtu anayeongoza (kwa kawaida katika kundi la ng’ombe) hunywa maji safi”.

Mathayo 18:19-20 “Tena nawaambia, wawili wenu watakapopatana duniani katika jambo lolote watakaloliomba, watafanyiwa na Baba yangu aliye mbinguni. Kwa kuwa walipo wawili watatu wamekusanyika kwa jina langu, nami nipo papo hapo katikati yao”

1Yohana 5:14 “Na huu ndio ujasiri tulio nao kwake, ya kuwa tukiomba kitu sawasawa na mapenzi yake, atusikia.”

Zaburi 133:1 “Tazama, jinsi ilivyo vema na kupendeza Ndugu wakaapo kwa umoja!”

ENGLISH: THE ONE WHICH LEADS (USUALLY IN A HERD OF CATTLE) DRINKS CLEAN WATER.

The Sukuma, as one among the ethnic groups found in Tanzania, uses proverbs, sayings, songs and riddles in conveying some important and contractive messages to a particular person or group of people in the community, depending on the certain circumstances.

Traditionally, the Sukuma are pastoralists, hence sometimes use the animals’ behavior in portraying or identifying some useful behavior observed from these animals and apply them to the people in order to shape their living in their respective community.

From this detail we come to the proverb “Nh’onga mbele igang’waga minze milu(matengeku)”. Thus when leading cattle to the river for drinking water, it very interesting experience that those in the fore line are likely to enjoy the water, because in order to drink water they must enter in the river or pond. In so doing they found water is still clean compared to those behind them.

One day during my pastoral experience in a certain small Christian community, after finishing the communal prayer and sharing we lined up for lunch, in the line I was the fifth person, then an old man told me, why are you delaying, can’t you know that “the one which leads(usually in a herd of cattle) drinks clean water”.

The use of this proverb in African context help much on the instance on the early participation in Synod of the bishops which the Pope has called for the universal participation in the synod. Through the sacrament of baptism, we are all the communion of people who are equal in dignity and in the call to discipleship while differing in charism and office. We are called to participate in the growth of the Church through the synod by the synodal  motto “communion, participation and mission”. Therefore as the shepherd who takes his held to the river knowing that all will have to drink water, but those in the fore line are likely to drink clean water as the proverbs says. The proverb remind us to participate in due time, so that we may give suitable insight to the questions asked, rather than waiting till the other have discussed then coming up and saying “after all I have discussed”. From our Sukuma proverb, the whole held of cattle drink water but those in fore line drink not only water but clean water. Like the question I was asked by the old man in small Christian community, we should ask one another “why am I delaying to participate in the synod?” can’t I know that “the one which leads(usually in a herd of cattle) drinks clean water”.

Mathew 18:19-20 “Again I say to you, if two of you agree on earth about anything they ask, it will be done for them by my Father in heaven. For where two or three are gathered in my name, there am I in the midst of them”

1John 5:14 “And this is the confidence we have in him, that if we ask anything according to his will he hears us”

Psalm 133:1 “Behold, how good and pleasant it is when brothers dwell in unity!”