1005. OZWALAGA MALOLE

Imbuki ya kahayile kenako, ilolile bhuzwaji bho malole bho ng’wa munhu nhebhe. Amalole genayo bhagagazwalaga abhanhu kumiso mu bhulingisilo bho heke bhuli ng’wene.

Abhangi bhagazwalaga amalole genayo kugiki bhinje soni ya gubhogoha abhanhu kunguno gagagabhisaga amiso gabho. Abhangi bhagagazwalaga amalole geneyo bho bhubheleji duhu. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ozwalaga malole.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agalebhagwa walwa wandya guyomba mihayo ya sagala, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agayombaga mihayo ya gubhadukile abhanhu abho agikalaga nabho kunguno ya gubhiza adina soni iyo yinjiyagwa na walwa umumahoya gakwe. Uweyi agayibhipyaga ikaya yakwe yiniyo kunguno ya nhungwa jakwe ijabhubhi jinijo, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agazwalaga malole omala isoni ukubhanhu, kunguno nuweyi agalebhagwa walwa omala isoni mpaga oyomba mihayo ya bhubhi ukubhiye. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ozwalaga malole.”

Akahayile kenako kalanga abhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja gulewa walwa umukikalile kabho, kugiki bhadule gujilanhana chiza ikaya jabho, umubhulamu bhobho.

Wagalatia 5:16-26.

KISWAHILI: AMEVAA MIWANI.

Chanzo cha msemo huo, ni uvaaji wa miwani wa mtu fulani. Miwani hiyo, watu huivaa kwa malengo mbalimbali. Wengine huivaa miwani hiyo ili kuondoa aibu kwa watu wanaotaka kuwafikishia ujumbe fulani. Lakini wengine huivaa miwani hiyo kwa lengo la kutaka kupendeza tu. Ndiyo maana watu humwambia mtu huyo kwamba, “amevaa miwani.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hulewa pombe na kuanza kusema maneno ya hovyo, maishani mwake. Mtu huyo, husema maneno ya kuwatukana watu anaoishi nao kwa sababu ya kutokuwa na aibu iliyoondolelwa na ulevi katika maongezi yake. Yeye huifaharibu familia yake hiyo, kwa sababu ya tabia yake hiyo mbaya, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyevaa miwani kwa lengo la kuondoa aibu ya kuonekana machoni mwake, kwa sababu naye hulewa mpaka anakosa aibu ya kuongea maneno mabaya katika familia yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “amevaa miwani.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kulewa pombe maishani mwao, ili waweze kuzilea vyema familia zao, katika maisha yao.

Wagalatia 5:16-26.

ENGLISH: HE HAS WON GLASSES.

The origin of the over head saying is the wearing of one’s glasses. People wear these glasses for various purposes. Some wear them to remove embarrassment from those who want to convey a message in front of people. But some wear those glasses for the sole purpose of making a showy display. That is why people say to such man, “He has won glasses.”

This saying is likened to a person who gets drunk and starts saying evil things in his life. This person, in turn, utters insults to people who live with him because of removing his shamefulness by drinking too much alcohol. He destroys his family, because of his evil behavior, in his life.

This man resembles the one who won glasses with the intention of removing his shamefulness before appearing in the eyes of people, because he also gets drunk until he lacks the shame of speaking wicked words in his family. That is why people say to him that, “He has won glasses.”

This saying teaches people to stop drinking too much alcohol in their lives, so that they can better raise their families, in their daily lives.

Galatians 5: 16-26.

sunglasses-3311181__480

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Twitter picture

You are commenting using your Twitter account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.