Tanzania

1136. ULUGOYE LUGATINIKILAGA AHO LOTELELAGA.

Ulusumo lunulo luhoyelile bhutiniki bho lugoye aho lutelelile. Lolihoyi lugoye ulo bhalututilaga bhanhu ginhu jabho. Aliyo lulu ulugoye lunulo lulilolegela mpaga lunenela gutunika kunguno ya gudutwa bho nguzu ningi. Aho bhaluduta bho nguzu chiniko lugatinikila haho lulitela gutinika. Hunagwene abhanhu bhanebho bhagayomba giki, “ulugoye lugatinikilaga aho lotelelaga.”

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumamaga milimo yakwe bho nyakogolo, umukikalile kakwe. Umunhu ung’wunuyo agatumamaga milimo yakwe bho hadohado noyi kunguno ya bhukogolo bhakwe bhunubho. Uweyi agapandikaga makoye ga gugayiwa jiliwa aha kaya yakwe yiniyo kunguno ya bhugokolo bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nu lugoye ulo lugatinikila haho lolilotelela, kunguno nuweyi agatumama milimo nyakogolo mpaga ogayiwa ijiliwa aha kaya yakwe yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ulugoye luganikilaga haho lotelelaga.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higullya ya guleka winogolelwa bho bhutumama milimo yabho bho gwigulambija gutuitmama chiza, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

1Petro 5:8-9.

KISWAHILI:  KAMBA HUKATIKIA PALE ILIPOLEGEA.

Methali hiyo huongelea juu ya ukatikaji wa kamba pale ilipokuwa imelegea. Walikuwepo watu waliokuwa wakiitumia kamba hiyo kuvutia vitu vyao. Lakini basi kamba hiyo, ilikuwa imelegea kiasi cha kukaribia kukatika kwa sababu ya kuvutwa sana na watu hao. Walipoivuta kwa nguvu hivyo kamba hiyo ilikanitikia pale ilipokuwa imelegea. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “kamba hukatikia pale ilipolegea.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufanya kazi zake kivivu, katika maisha yake. Mtu huyo hufanya kazi kizembe kwa pole pole kama amelazimishwa kwa sababu ya uvivu wake huo. Yeye hukumbwa na matatizo ya kukosa chakula katika familia yake kwa sababu ya uzembe wake huo katika kazi zake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na ile kamba iliyokatikia pale ilipokuwa imelegea, kwa sababu naye huzembea kufanya kazi zake mpaka anapata matatizo ya njaa kutokana na kukosa chakula kwenye familia yake hiyo. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “kamba hukatikia pale ilipolegea.”

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuachana na tabia ya uvivu katika kazi zao kwa kujibidisha kuyatekeleza vizuri majukumu yao hayo, ili waweze kupata mafanikio mengi maishani mwao.

1Petro 5:8-9.

the-fishermen-3322323__480

 ENGLISH: THE ROPE IS BREAKS WHERE IT IS LOOSE.

The above proverb talks about getting cut of a rope where it was loose. There were people who were using the rope to tie their things. But then the rope was so loose that it almost was cut because of being pulled so hard by those people. When they pulled it so hard, the rope was cut where it was loose. That is why people said that, “the rope breaks where it is loose.”

This proverb is compared to a person who does his work lazily, in his life. Such person works carelessly as if he is forced to do so because of his laziness. He suffers from problems of lacking food in his family because of his negligence in doing his daily activities.

This person is like the rope that got cut where it was loose, because he also neglects to do his works until he gets problems of lacking food in his family. That is why people tell him that, “the rope breaks where it is loose.”

This proverb teaches people about abandoning habits of laziness in their works by forcing themselves to carry out their duties well, so that they can get a lot of success in their lives.

1 Peter 5:8-9.

 

1135. SWI, SWI SWI, UNA ULAB’ULA.

Akahayile kenako kahoyelile munhu uyo agigwa nuli ulab’ula. Umunhu ng’wunuyo agatulilwa nulu na ng’wiye aho asiminzaga umulenga lokwe na ulab’ula kunguno ya kuhaya kumana inguno ya bhutuji bho nulu gunuyo. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “swi, swi, swi una ulab’ula.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhadililaga chiza abhiye umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agikalaga ubhambilija abhanhu abho bhali na makoye bho guhoya nabho chiza kunguno ya bhutogwa bhokwe ubho gubhadilila abhiye bhunubho. Uweyi agikalaga uyega na bhanhu bhingi aha kaya yakwe kunguno alina nhungwa niza ija gwikala na bhanhu, umuwikaji bhokwe bhunubho.

Munhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agalab’ula aho otolilwa nuli na ng’wiye ng’wunuyo, kunguno nuweyi agabhadililaga bho gubhambilija chiza abhanhu abho bhali na makoye, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “swi, swi, swi, una ulab’ula.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kubhiza na nhungwa ja kutogwa gubhadilila bho gubhambilija chiza abhanhu abho bhali na makoye umuchalo jabho, kugiki bhadule gwikala na bhuyegi bhutale umuwikaji bhobho bhunubho.

Mathayo 3:3.

Yona 3:4-5.

Yohana 10:3-4, 16.

Ufunuo 14:13.

KISWAHILI: MLUZI NDOGO MDOGO UNAGEUKA.

Msemo huo huongelea juu ya mtu aliyesikia mluzi mdogo akageuka nyuma ili kuangalia. Mtu huyo alipigiwa mluzi na mtu aliyekuwa nyuma yake alipokuwa akitembea katika safari yake akageuka nyuma kwa sababu ya kutaka kufahamu sababu ya mluzi huo ili aweze kumsaidia zaidi. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “mluzi mdogo mdogo unageuka.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwajali wenzake katika maisha yake. Mtu huyo, huwa anawasaidia watu wale ambao wana matatizo kwa kuongea nao vizuri kwa sababu ya upendo wake  huo wa kuwajali wenzake. Yeye huishi kwa furaha na watu wengi katika familia yake kwa sababu ana tabia njema ya kuishi vizuri na watu, maishani mwake.

Mtu huyo hufanana na yule aliyegeuka nyuma kumwangalia mwenziye aliyempigia mluzi, kwa sababu naye huwajali kwa kuwasaidia watu wale ambao wana matatizo mbalimbali, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mluzi mdogo mdogo unageuka.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na tabia ya kupenda kuwajali kwa kuwsaidia watu wale ambao wana matatizo mbalimbali katika vijiji vyao, ili waweze kuishi kwa furaha kubwa, maishani mwao.

Mathayo 3:3.

Yona 3:4-5.

Yohana 10:3-4, 16.

Ufunuo 14:13.

 

ENGLISH: THE LITTLE WHISTLER YOU TURN BACK.

This saying speaks of a person who heard a whistle and turned back to look. There was man was whistled by the person behind him while he was walking on his journey. He turned back because he wanted to know the reason of such whistle so that he could help him. That is why people told him that, “a little whistle you turn back.”

This saying is paralleled to the person who cares about his companions in his life. Such person, always helps people who have problems by talking to them well because of his love to care for his colleagues. He lives happily with many people in his family because he has good habit of living well with people, in his life.

This person is similar to the one who turned back to look at his partner who whistled at him, because he also cares about helping people who have various problems in his life. That is why people tell him that, “a little whistle you turn back.”

This saying teaches people to have a caring attitude by helping people who have various problems in their villages, so that they can live happily in their lives.

Matthew 3:3.

Jonah 3:4-5.

John 10:3-4, 16.

Revelation 14:13.

 

child-1565202__480

1134. AGENAYO GAJISUJI.

Majikolo gajisuji gali majikolo ga ng’wa munhu uyo uzumalika ugaleka. Amajikolo genayo gali kihamo na jizwalo, jilatu, sabho na jingi ijo jikolile na jinijo ijo olinajo unjimiji. Abhanhu abho obhaleka bhagajitanaga giko jikolo jinijo kunguno ulubhajibhona bhagisuzukaga jililo jabho ija ha likanza ilo agazumalika umunhu obho ng’wunuyo. Hunagwene bhagayombaga giki “agenayo gajisuji.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagalolaga jikolo ja ndugu obho uyo uzumalika kugiki bhadule gung’wizuka umukikalile kabho. Abhanhu bhanebho bhagabhizukaga abhadugu bhabho abho bhazumalika bho gubhalombela kuli Mulungu abhanukule ng’wigulu kunguno bhali na bhutogwa ukubhoyi. Abhoyi bhagabhalelaga abhanhu bhabho bho gwitogwa kunguno ya nhungwa jabho ijawiza jinijo, umuwikaji bhobho.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga nabho bhajibhonaga ijikolo ja njimiji obho bhizuka umo bhanhilililaga, kunguno nabho bhagajisolaga ijikolo ja ndugu obho unjimi kugiki bhuyung’wizuka bho gunombela ukuli Mulungu ashige ung’wigulu. Hunagwene bhagajitanaga ijikolo jakwe giki, “agenabho gajisuji.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhizuka bho gubhalombela kuli Mulungu abhadugu bhabho abho bhazumalika, kugiki bhadule gushiga ng’wigulu.

Yoshua Bin Sira 44:7-15.

Yoshua Bin Sira 44:21-23.

KISWAHILI: HIVYO NI VYA MACHOZI.

Vitu vya machozi ni vitu vya mtu aliyefariki. Vitu hivyo ni pamoja na nguo, viatu, mali na vingine vinavyofanana na hivyo ambavyo viliachwa na marehemu. Watu wale aliowaacha huyo marehemu huviita hivyo kwa sababu wanapoviona huukumbuka wakati wa kilio chao alipofariki huyo ndugu yao.  Ndiyo maana husema juu ya vitu hivyo kwamba, “hivyo ni vya machozi.”

Msemo huo hulinganishwa kwa watu wale ambao huvichukua vitu vya ndugu yao aliyefariki ili waweze kumkumbuka katika maisha yao. Watu hao, huwakumbuka ndugu zao marehemu kwa kuwaombea kwa Mungu ili wapokelewe mbinguni kwa sababu ya maadili yao hayo mema, maishani mwao.

Watu hao hufanana na wale walioviona vitu vya marehemu wao na kukumbuka wakati wa kumlilia ndugu yao huyo alipofariki, kwa sababu nao huvichukua vitu vya marehemu ndugu zao kwa lengo la kuwakumbuka kwa kuwaombea kwa Mungu ili wafike mbinguni. Ndiyo maana hao huviita vitu hivyo kwamba “hivyo ni vya machozi.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwakumbuka ndugu zao marehemu kwa kuwaombea kwa Mungu ili waweze kufika mbinguni.

Yoshua Bin Sira 44:7-15.

Yoshua Bin Sira 44:21-23.

old-shoes-3499409__480

ENGLISH: THOSE ARE OF TEARS.

Tears things are those which have been left by a deceased person. These items include clothes, shoes, property and other similar things that were left by the deceased one. The people whom the deceased left behind call them that way because when they see them, they remember the time whey they cried during death of their relative. That is why they refer to those things as, “those are of tears.”

This saying is equated to people who take belongings of their deceased relatives so that they can remember them in their lives. These people remember their deceased relatives by praying for them to God so that they can be received in heaven because of putting into practice their good values in their lives.

These people are similar to those who saw belongings of their deceased ones and remembered when they cried for them after death, because they also take belongings of their deceased relatives with the aim of remembering them by praying for them to God so that they can reach heaven. That is why they call those things as “those are of tears.”

This saying imparts in people an idea of remembering their deceased relatives by praying for them to God so that they can reach heaven.

Joshua Bin Sirach 44:7-15.

Joshua Bin Sirach 44:21-23.

1133. ABHENABHO BHAHEHI.

Akahayile kenako kahoyelile higulya ya bhanhu abho bhahehaga mandege. Abhanhu bhenabho bhinjaga mapumba na mapalala umumandege gabho genayo bho gugaheha kunguno gali na mapalala mingi noyi. Hunagwene abhanhu bhagabhitana giki “abhenabho bhahehi.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agajidililaga chiza ijiliwa ijo aginhiyagwa nu Mulungu, umubhutumami bhokwe. Umunhu ng’wunuyo agajikumingaga pye ijiliwa jakwe jinijo na gujingija amapalala mpaga jela chiza kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho. Uweyi agikalaga na majiliwa mingi aha kaya yakwe kunguno ya gujilanhana chiza ijiliwa ijo aginhiyagwa nu Mulungu, umubhutumami bhokwe.

Umunhu ng’winuyo agikolaga na bhahehi bha mandege kunguno nuweyi agijingijaga amapalala ijiliwa jakwe na ojituula chiza lulu. Uweyi agabhalanjaga abhanhu bhakwe nzile ja gujingija amapalala ijiliwa jabho. Hugwenene bhagabhitanaga giki, “abhenabho bhahehi.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu bhigulya ya gujidilila chiza ijiliwa jabho bho gujingija amapalala pye agose, kugiki bhadule kujituula chiza umukaya jabho.

Mathayo 3:12.

KISWAHILI: HAO WAPEPETAJI.

Msemo huo, huongelea juu ya watu waliokuwa wakipepeta mahindi. Watu hao walikuwa wakiya ondoa makapi yote kutoka kwenye chakula chao hicho kwa kuyapepeta hayo mahindi mpaka takataka zote zinaisha ndani yake kwa sababu yalikuwa na uchafu mwingi sana. Ndio maana watu waliwaambia kwamba, “hao wapepetaji.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa watu wale ambao hukijali vizuri chakula wanachopewa na Mungu. Watu wao hukiondolea takataka zote zilizomo kwenye nafaka zao mpaga chakula hicho kinakuwa kizuri kwa sababu ya umakini wao huo katika maisha yao. Wao hupata chakula kingi sana katika famlia kwa sababu ya kukitunza vizuri, katika utumishi wao.  

Watu hao hufanana na wale waliopepeta mahindi yao mpaka takakaka zote zikaisha kwa sababu naye huziondoa takataka zote kwenye mahindi yao hayo. Ndiyo maana watu huwaambia kwamba, “Ndiyo maana watu huwaaita kwamba, “hao wapepeji.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kukijali vizuri chakula wanachopata kwa kukiondolea takataka zote, ili waweze kukitunza vizuri, kwenye familia zao.

Mathayo 3:12.

 

ENGLISH: THOSE ARE WINDERS.

This saying talks about people who were sifting corns. Those people used to remove all the chaffs from their food by sifting the corns until all trashes end up in it because they were were very dirty. That is why people told them that, “those are winders.”

This saying is compared to people who take good care of the food given to them by God. These people remove all the garbage from their grains and the food becomes good because of their attention in their lives. They get a lot of food in their family because of taking good care of it, in their service.

These people are like those who sifted their corns until all the garbage were gone, because they also remove all the garbage from their food. That is why people call them that, “those are winders.”

This saying instills in people an idea of taking good care of the food which they get by removing all garbage from it, so that they can take good care of it, in their families.

Matthew 3:12.

 

indonesia-1203250__480

1132. KALAGU – KIZE. IKAYA IGALEMBEJIYAGWA NA BHANHU BHANGA? – BHABHILI.

Ikalagu yiniyo ilolile bhubheja bho kaya bho bhanhu bhabhili. Ikaya yiniyo igabhejiyagwa na nkima na ngosha abho bhagilomelaga mpaga bhiyiigwa chiza. Abhanhu bhenabho bhalemile ugulembwa na munhu uyo agakenagulaga kaya ja bhanhu. Hunagwene bhagabhujaga giki, “ikaya igalembejiyagwa na bhanhu bhanga? – bhabhili.”

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kubhitoji abho bhidebhile chiza umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho bhagahoyagwa mpaga bhizunilija chiza umubhutumami bho milimo ya ha kaya yabho kunguno bhitogilwe noyi, umuwitoji bhobho bhunubho. Abhoyi bhagayibheleja ikaya yabho bho gubhalela chiza abhanhu bhabho kunguno ya nhungwa jabho ijawiza jinijo, umuwikaji bhobho.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga na bhanhu abhabhili abho bhalibhalembeja kaya yabho, kunguno nabho bhagikalaga chiza mpaga bhabhabhela chiza abhanhu bhabho, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagabhabhuja giki, “ikaya igalembejiyagwa na bhanhu bhanga? – bhabhili.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhitogi higulya ya gubhiza na ng’wigwano gu witogwi bho gutumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Waefeso 5:21-25.

Mathayo 19:3-6.

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

FAMILIA HUIMARISHWA NA WATU WANGAPI? – WAWILI.

Kitendawili hicho huangalia juu ya umarishaji wa familia ya watu wawili. Familia hiyo ni ya mme na mke ambao hujadiliana kwa pamoja mpaka wanaelewaja juu ya namna ya kuijenga vizuri familia yao hiyo. Watu hao hukataa kudanganywa na mtu yeyote ambaye huvuruga familia za watu. Ndiyo maana wao huuliza kwamba “familia huimarisha na watu wangapi? – Wawili.”

Kitendawili hicho hulinganishwa kwa wana ndoa wale waanaoelewana vizuri katika maisha yao. Watu hao hupanga mipango yao vizuri na kukubaliana vizuri juu ya utekelezaji wa majukumu ya familia yao kwa sababu wanapendana sana. Wao huiimarisha familia yao kwa kuwalea vyema watoto wao kwa sababu ya maadili yao hayo mema, maishani mwao.

Watu hao, hufanana na wale wana ndoa walioiimarisha vizuri familia yao, kwa sababu nao hujadiliana vizuri mpaga wanakubalina juu ya kuwalea vizuri watu wao, maishani mwao. Ndiyo maana huwauliza watu wao kwamba, “familia huimarisha na watu wangapi? – Wawili.”

Kitendawili hicho, hufundisha wana ndoa juu ya kuwa na uelewano wenye upendo wa kuyatekeleza majukumu yao vizuri, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Waefeso 5:21-25.

Mathayo 19:3-6.

engagement-7129147__480

 

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

IS THE FAMILY STRENGTHENED BY HOW MANY PEOPLE? – TWO.

The overhead puzzle looks at a strengthening of a family of two people. This is family of a husband and wife who discuss together until they understand and agree on how to build it well. These people refuse to be deceived by anyone who disrupts people’s families. That is why they ask that “Is the family strengthened by how many people? – two.”

This paradox is related to married couples who understand each other well in their lives. These people make their plans well and nicely agree on the implementation of their family responsibilities because they love each other very much. They strengthen their family by raising their children well because of their good values in their lives.

Those people, are similar to those who are married and have strengthened their family well, because they also discuss well until they agree on raising their people, in their lives. That is why they ask their people that, “Is the family strengthened by how many people? – two.”

This riddle teaches married couples to have a loving understanding enough to carry out their duties well, so that they can nicely raise their families, in their lives.

Ephesians 5:21-25.

Matthew 19:3-6.