1134. AGENAYO GAJISUJI.

Majikolo gajisuji gali majikolo ga ng’wa munhu uyo uzumalika ugaleka. Amajikolo genayo gali kihamo na jizwalo, jilatu, sabho na jingi ijo jikolile na jinijo ijo olinajo unjimiji. Abhanhu abho obhaleka bhagajitanaga giko jikolo jinijo kunguno ulubhajibhona bhagisuzukaga jililo jabho ija ha likanza ilo agazumalika umunhu obho ng’wunuyo. Hunagwene bhagayombaga giki “agenayo gajisuji.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagalolaga jikolo ja ndugu obho uyo uzumalika kugiki bhadule gung’wizuka umukikalile kabho. Abhanhu bhanebho bhagabhizukaga abhadugu bhabho abho bhazumalika bho gubhalombela kuli Mulungu abhanukule ng’wigulu kunguno bhali na bhutogwa ukubhoyi. Abhoyi bhagabhalelaga abhanhu bhabho bho gwitogwa kunguno ya nhungwa jabho ijawiza jinijo, umuwikaji bhobho.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga nabho bhajibhonaga ijikolo ja njimiji obho bhizuka umo bhanhilililaga, kunguno nabho bhagajisolaga ijikolo ja ndugu obho unjimi kugiki bhuyung’wizuka bho gunombela ukuli Mulungu ashige ung’wigulu. Hunagwene bhagajitanaga ijikolo jakwe giki, “agenabho gajisuji.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhizuka bho gubhalombela kuli Mulungu abhadugu bhabho abho bhazumalika, kugiki bhadule gushiga ng’wigulu.

Yoshua Bin Sira 44:7-15.

Yoshua Bin Sira 44:21-23.

KISWAHILI: HIVYO NI VYA MACHOZI.

Vitu vya machozi ni vitu vya mtu aliyefariki. Vitu hivyo ni pamoja na nguo, viatu, mali na vingine vinavyofanana na hivyo ambavyo viliachwa na marehemu. Watu wale aliowaacha huyo marehemu huviita hivyo kwa sababu wanapoviona huukumbuka wakati wa kilio chao alipofariki huyo ndugu yao.  Ndiyo maana husema juu ya vitu hivyo kwamba, “hivyo ni vya machozi.”

Msemo huo hulinganishwa kwa watu wale ambao huvichukua vitu vya ndugu yao aliyefariki ili waweze kumkumbuka katika maisha yao. Watu hao, huwakumbuka ndugu zao marehemu kwa kuwaombea kwa Mungu ili wapokelewe mbinguni kwa sababu ya maadili yao hayo mema, maishani mwao.

Watu hao hufanana na wale walioviona vitu vya marehemu wao na kukumbuka wakati wa kumlilia ndugu yao huyo alipofariki, kwa sababu nao huvichukua vitu vya marehemu ndugu zao kwa lengo la kuwakumbuka kwa kuwaombea kwa Mungu ili wafike mbinguni. Ndiyo maana hao huviita vitu hivyo kwamba “hivyo ni vya machozi.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwakumbuka ndugu zao marehemu kwa kuwaombea kwa Mungu ili waweze kufika mbinguni.

Yoshua Bin Sira 44:7-15.

Yoshua Bin Sira 44:21-23.

old-shoes-3499409__480

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Twitter picture

You are commenting using your Twitter account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.