Akahayile kenako kahoyelile higulya ya bhanhu abho bhahehaga mandege. Abhanhu bhenabho bhinjaga mapumba na mapalala umumandege gabho genayo bho gugaheha kunguno gali na mapalala mingi noyi. Hunagwene abhanhu bhagabhitana giki “abhenabho bhahehi.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agajidililaga chiza ijiliwa ijo aginhiyagwa nu Mulungu, umubhutumami bhokwe. Umunhu ng’wunuyo agajikumingaga pye ijiliwa jakwe jinijo na gujingija amapalala mpaga jela chiza kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho. Uweyi agikalaga na majiliwa mingi aha kaya yakwe kunguno ya gujilanhana chiza ijiliwa ijo aginhiyagwa nu Mulungu, umubhutumami bhokwe.
Umunhu ng’winuyo agikolaga na bhahehi bha mandege kunguno nuweyi agijingijaga amapalala ijiliwa jakwe na ojituula chiza lulu. Uweyi agabhalanjaga abhanhu bhakwe nzile ja gujingija amapalala ijiliwa jabho. Hugwenene bhagabhitanaga giki, “abhenabho bhahehi.”
Akahayile kenako kalanga bhanhu bhigulya ya gujidilila chiza ijiliwa jabho bho gujingija amapalala pye agose, kugiki bhadule kujituula chiza umukaya jabho.
Mathayo 3:12.
KISWAHILI: HAO WAPEPETAJI.
Msemo huo, huongelea juu ya watu waliokuwa wakipepeta mahindi. Watu hao walikuwa wakiya ondoa makapi yote kutoka kwenye chakula chao hicho kwa kuyapepeta hayo mahindi mpaka takataka zote zinaisha ndani yake kwa sababu yalikuwa na uchafu mwingi sana. Ndio maana watu waliwaambia kwamba, “hao wapepetaji.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa watu wale ambao hukijali vizuri chakula wanachopewa na Mungu. Watu wao hukiondolea takataka zote zilizomo kwenye nafaka zao mpaga chakula hicho kinakuwa kizuri kwa sababu ya umakini wao huo katika maisha yao. Wao hupata chakula kingi sana katika famlia kwa sababu ya kukitunza vizuri, katika utumishi wao.
Watu hao hufanana na wale waliopepeta mahindi yao mpaka takakaka zote zikaisha kwa sababu naye huziondoa takataka zote kwenye mahindi yao hayo. Ndiyo maana watu huwaambia kwamba, “Ndiyo maana watu huwaaita kwamba, “hao wapepeji.”
Msemo huo hufundisha watu juu ya kukijali vizuri chakula wanachopata kwa kukiondolea takataka zote, ili waweze kukitunza vizuri, kwenye familia zao.
Mathayo 3:12.