Ikalagu yiniyo ilolile bhubheja bho kaya bho bhanhu bhabhili. Ikaya yiniyo igabhejiyagwa na nkima na ngosha abho bhagilomelaga mpaga bhiyiigwa chiza. Abhanhu bhenabho bhalemile ugulembwa na munhu uyo agakenagulaga kaya ja bhanhu. Hunagwene bhagabhujaga giki, “ikaya igalembejiyagwa na bhanhu bhanga? – bhabhili.”
Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kubhitoji abho bhidebhile chiza umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho bhagahoyagwa mpaga bhizunilija chiza umubhutumami bho milimo ya ha kaya yabho kunguno bhitogilwe noyi, umuwitoji bhobho bhunubho. Abhoyi bhagayibheleja ikaya yabho bho gubhalela chiza abhanhu bhabho kunguno ya nhungwa jabho ijawiza jinijo, umuwikaji bhobho.
Abhanhu bhenabho bhagikolaga na bhanhu abhabhili abho bhalibhalembeja kaya yabho, kunguno nabho bhagikalaga chiza mpaga bhabhabhela chiza abhanhu bhabho, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagabhabhuja giki, “ikaya igalembejiyagwa na bhanhu bhanga? – bhabhili.”
Ikalagu yiniyo, yalanga bhitogi higulya ya gubhiza na ng’wigwano gu witogwi bho gutumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.
Waefeso 5:21-25.
Mathayo 19:3-6.
KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.
FAMILIA HUIMARISHWA NA WATU WANGAPI? – WAWILI.
Kitendawili hicho huangalia juu ya umarishaji wa familia ya watu wawili. Familia hiyo ni ya mme na mke ambao hujadiliana kwa pamoja mpaka wanaelewaja juu ya namna ya kuijenga vizuri familia yao hiyo. Watu hao hukataa kudanganywa na mtu yeyote ambaye huvuruga familia za watu. Ndiyo maana wao huuliza kwamba “familia huimarisha na watu wangapi? – Wawili.”
Kitendawili hicho hulinganishwa kwa wana ndoa wale waanaoelewana vizuri katika maisha yao. Watu hao hupanga mipango yao vizuri na kukubaliana vizuri juu ya utekelezaji wa majukumu ya familia yao kwa sababu wanapendana sana. Wao huiimarisha familia yao kwa kuwalea vyema watoto wao kwa sababu ya maadili yao hayo mema, maishani mwao.
Watu hao, hufanana na wale wana ndoa walioiimarisha vizuri familia yao, kwa sababu nao hujadiliana vizuri mpaga wanakubalina juu ya kuwalea vizuri watu wao, maishani mwao. Ndiyo maana huwauliza watu wao kwamba, “familia huimarisha na watu wangapi? – Wawili.”
Kitendawili hicho, hufundisha wana ndoa juu ya kuwa na uelewano wenye upendo wa kuyatekeleza majukumu yao vizuri, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.
Waefeso 5:21-25.
Mathayo 19:3-6.

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.
IS THE FAMILY STRENGTHENED BY HOW MANY PEOPLE? – TWO.
The overhead puzzle looks at a strengthening of a family of two people. This is family of a husband and wife who discuss together until they understand and agree on how to build it well. These people refuse to be deceived by anyone who disrupts people’s families. That is why they ask that “Is the family strengthened by how many people? – two.”
This paradox is related to married couples who understand each other well in their lives. These people make their plans well and nicely agree on the implementation of their family responsibilities because they love each other very much. They strengthen their family by raising their children well because of their good values in their lives.
Those people, are similar to those who are married and have strengthened their family well, because they also discuss well until they agree on raising their people, in their lives. That is why they ask their people that, “Is the family strengthened by how many people? – two.”
This riddle teaches married couples to have a loving understanding enough to carry out their duties well, so that they can nicely raise their families, in their lives.
Ephesians 5:21-25.
Matthew 19:3-6.