1131. ITI GIKI BHULI NG’WENE UONGUZU ALING’WITEGELEJA.

Alihoyi munhu uyo wikalaga muchalo jilebhe. Umunhu ng’wunuyo agaidimila pigipigi mpaga yuduma uguja kunguno ya bhuguzu bhokwe bhunubho. Aliyo lulu, umunhu ng’wunuyo, aganoga sagala kunguno adapandikile solobho yoseyose aho oilekela guja ipigipigi yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “iti giki bhuli ng’wene uonguzu aling’witegeleja.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali na nguvu jigijigi aliyo adapandikaga solobho yoseyose umubhutumami bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agatumamaga milimo midimu na midito bho gutumila nguzu ningi aliyo adapandikaga solobho yoseyose kunguno ya gukija gwitegeleja gokwe gunuyo. Uweyi aganogelaga maduhu, nulu dalali, kunguno ya gugayiwa witegeleja bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agayidimila pigipigi mpaga yuduma uguja, kunguno nuweyi agatumilaga nguzu ningi mugutumama milimo midimu na midito bho nduhu kupandika solobho yoseyose, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “iti giki bhuli ng’wene uonguzu aling’witegeleja.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gutumama milimo yabho bho witegeleja bhutale kugiki bhadule kupandika solobho nhale umubhutumami bhobho bhunubho.

Luka 6:49.

Yoshua Bin Sira 3:22.

Mhubiri 5:15-16.

KISWAHILI: SI KILA MWENYE NGUVU NI MWEREVU.

Alikuwepo mtu aliyeishi kwenye kijiji fulani. Mtu huyo aliizuia pikipiki kwenda kwa kuishikilia na mikono yake. Lakini basi, mtu huyo alichoka bure kwa sababu hakuna faida aliyoipata baada ya kuiachia kwenda pikipiki hiyo. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “si kila mwenye nguvu ni mwerevu.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu aliye na nguvu nyingi lakini hapati faida yoyote katika kazi zake. Mtu huyo hufanya kazi ngumu na nzito zisizompatia faida yoyote kwa sababu ya kukosa umakini anapofanya kazi zake hizo. Yeye hujichosha bure kwa sababu ya kukosa huo umakini anazipofanya kazi zake hizo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeshikilia pikipiki mpaka ikashindwa kwenda, kwa sababu naye hutumia nguvu nyingi kwa kufanya kazi ngumu na ndito mpaga anachoka bila kupata faida yoyote, katika maisha yake hayo. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “si kila mwenye nguvu ni mwerevu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kufanya kazi zao kwa umakini mkubwa, ili waweze kupata faida kubwa kwenye kazi zao hizo, maishani mwao.

Luka 6:49.

Yoshua Bin Sira 3:22.

Mhubiri 5:15-16.

african-5505584__480

kigali-5256022__480

motorcycle-7221472__480

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Twitter picture

You are commenting using your Twitter account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.