1130. NENE NASHOLWA MBITI NAJILE.

Ulusumo lunulo lwandija kuli munhu uyo agajilecha mbiti ntugo uyo jalijagudima. Imbiti jinijo jigikalaga ng’wipolu ahikanza ilya limi ibhujiku jigajaga munzengo gujicholela jiliwa. Ijoyi jigadima ntugo huna wiza munhu uyo oliajile mulugendo lokwe ujilecha na jandwa kuyunshola ukunu uweyi ajile duhu bho nduhu ugujidilila. Hunagwene umunhu ng’wunuyo agayomba giki, “nene nsholwa mbiti najile.”

Ulusumo lununo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agandyaga gugutumama nimo bho gudalahijiwe nabhiye umubhutumami bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, agigulambilaga gugutumama unimo gunuyo bho nduhu uguyudilila imihayo ya bhanhu abho bhalindalahija kunguno aimanile isolobho ya nimo gunuyo umuwikaji bhokwe. Uweyi apandikala matwajo mingi mpaka bhoya gundalahija abhanhu bhenabho, kunguno ya wiyumilija bhokwe bhunubho, umubhutumami bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agasholwa na mbiti ukunu ajile bho nduhu ugujidililila, kunguno nuweyi agikomejaga gutumama milimo yakwe bho nduhu ugubhadilila abho bhalindalahija umubhutumami bhokwe bhunubho. Hunagwene uweyi agayombaga giki, “nene nasholwa mbiti najile.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gwiyumilija gutumama milimo yabho bho nduhu ugubhadilila abho bhalibhadalahija umubhutumami bhobho bhunubho, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Ayubu 1:20:

2Thimotheo 2:3-7.

2Thimotheo 2:15-19.

2Thimotheo 4:7-8.

KISWAHILI: MIMI NIMEFYONZWA FISI NIKIWA NAENDA.

Methali hiyo ilianzia kwa mtu yule aliwaachisha fisi mfugo waliokuwa wameukamata. Fisi hao huishi polini wakati wa mchana lakini usiku huingia kwenye makazi ya watu ili kujitafutia chakula.

Fisi hao walimkamata mfugo kwa bahati akaja akapita pale mtu aliyekuwa katika safari zake akawanyanhanya mfuyo huo ndipo wakaanza kumfronza yeye akiwa anaenda bila kuwajali. Ndiyo maana yeye alisema kwamba, “mimi nimefyonzwa fisi nikiwa naenda.”

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hudharauliwa na baadhi ya watu anapoanza kufanya kazi mpya katika utumishi wake. Mtu huyo, hujibidisha kufanya kazi kwa nguvu bila kuwajali wale wanaomdharau kwa sababu anazifahamu faida za kazi hiyo maishani mwake. Yeye hupata mafakinikio mengi mpaga wanaacha kumdharau wale waliokuwa wakifanya hivyo mwanzoni kwa sababu ya uvumilivu wake huo, katika utekelezaji wa majukumu yake hayo.

Mtu huyo hufanana na yule aliyefyonzwa na fisi bila kuwajali, kwa sababu naye hujibidisha kuyatekeleza majukumu yake bila kuwajali wale wanaomdharau, katika utumishi wake. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, “mimi nimefyonzwa fisi nikiwa naenda.”

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuvumilia kufanya kazi zao bila kuwajali wale wanaowadharau katika utekelezaji wa majukumu yao hayo, ili waweze kupata mafanikio mengi maishani mwao.

Ayubu 1:20:

2Thimotheo 2:3-7.

2Thimotheo 2:15-19.

2Thimotheo 4:7-8.

hyena-175086__480

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Twitter picture

You are commenting using your Twitter account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.