Akahayile kenako kalolile bhushemi bho mbogo bho ng’wa munhu nhebhe. Imbogo ili ndimu nhaale iyo igikalaga ng’wipolu niyo ili nhali gete.
Olihoyi munhu uyo oli ngagaja ogwita mihayo midamu umuwikaji bhokwe kunguno ya bhuguzu bhokwe. Umunhu ng’wunuyo agagema uguishema imbogo yiniyo mpaga yumfuganja gumulaga kunguno ya bhugagaja bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagankumwa bho bhogung’wila giki “munhu ntale alishema mbogo!”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumamaga milimo iyo yinkilile ubhudula bhokwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo adiganikaga chiza haho atali ugwandya uguitumama imilimo yakwe yiniyo kunguno ya gwigimba bho bhuguzu bhokwe bhunubho. Uweyi agadumaga uguimala chiza imilimo yakwe kunguno ya guyandya guitumama bho nduhu ugwiganika chiza gokwe gunuyo.
Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agagema guishema mbogo uiduma, kunguno nuweyi agadumaga uguyimala chiza imilimo yakwe iyo agayandyaga guitumama bho nduhu ugwiganika chiza chiniko, umubhutumami bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagankumwaga bho gung’wila giki, “munhu ntale alishema mbogo!”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gutumama milimo iyo bhaidulile bho gwiganika chiza hayo bhatali uguyandya iguitumama, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.
Mathayo 24:13.
Waroma 12:11.
KISWAHILI: MTU MKUBWA ANAMKAMUA NYATI!
Msemo huo huongelea ukamuaji wa nyati wa mtu fulani. Nyati ni myama mkubwa anayeishi porini tena ni mkali sana. Alikuwepo mtu aliyekuwa akijaribu kufanya mambo makubwa maishani mwake, kwa sababu ya nguvu zake. Mtu huyo alijaribu kumkamua huyo Nyati ambaye alimkurupusha mwanadamu huyo mpaga karibu ya kumuua kwa sababu ya uthubutu wake huo wa kujaribu hata kile kinachozidi uwezo wake. Ndiyo maana watu walimshangaa kwa kumwambia kwamba, “mtu mkubwa anamkamua nyati!”
Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huanza kufanya kazi ambazo hana uwezo nayo, katika maisha yake. Mtu huyo, huanza kufanya kazi zake bila kufikiria vizuri kwanza kabla hajaanza kuzitekeleza kwa sababu ya kujidai kwake kuwa na nguvu. Yeye hushindwa kuzimaliza kazi zake kwa sababu ya kuanza kuzitekeleza kwake huko bila kufikiria vizuri kwanza, maishani mwake.
Mtu huyo hufanana na yule aliyejaribu kumkamua nyati akashindwa, kwa sababu naye hushindwa kuzimaliza kazi anazozianzisha bila kufikiri kwanza vizuri, katika utekelezaji wa majukumu yake hayo. Ndiyo maana watu humshangaa kwa kumwambia kwamba, “mtu mkubwa anamkamua nyati!”
Msemo huo hufundisha watu juu ya kutekeleza kazi wanazoziweza kwa kufikiria vizuri kwanza kabla hawajanza kuzifanya, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.
Mathayo 24:13.
Waroma 12:11.