1136. ULUGOYE LUGATINIKILAGA AHO LOTELELAGA.

Ulusumo lunulo luhoyelile bhutiniki bho lugoye aho lutelelile. Lolihoyi lugoye ulo bhalututilaga bhanhu ginhu jabho. Aliyo lulu ulugoye lunulo lulilolegela mpaga lunenela gutunika kunguno ya gudutwa bho nguzu ningi. Aho bhaluduta bho nguzu chiniko lugatinikila haho lulitela gutinika. Hunagwene abhanhu bhanebho bhagayomba giki, “ulugoye lugatinikilaga aho lotelelaga.”

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumamaga milimo yakwe bho nyakogolo, umukikalile kakwe. Umunhu ung’wunuyo agatumamaga milimo yakwe bho hadohado noyi kunguno ya bhukogolo bhakwe bhunubho. Uweyi agapandikaga makoye ga gugayiwa jiliwa aha kaya yakwe yiniyo kunguno ya bhugokolo bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nu lugoye ulo lugatinikila haho lolilotelela, kunguno nuweyi agatumama milimo nyakogolo mpaga ogayiwa ijiliwa aha kaya yakwe yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ulugoye luganikilaga haho lotelelaga.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higullya ya guleka winogolelwa bho bhutumama milimo yabho bho gwigulambija gutuitmama chiza, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

1Petro 5:8-9.

KISWAHILI:  KAMBA HUKATIKIA PALE ILIPOLEGEA.

Methali hiyo huongelea juu ya ukatikaji wa kamba pale ilipokuwa imelegea. Walikuwepo watu waliokuwa wakiitumia kamba hiyo kuvutia vitu vyao. Lakini basi kamba hiyo, ilikuwa imelegea kiasi cha kukaribia kukatika kwa sababu ya kuvutwa sana na watu hao. Walipoivuta kwa nguvu hivyo kamba hiyo ilikanitikia pale ilipokuwa imelegea. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “kamba hukatikia pale ilipolegea.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufanya kazi zake kivivu, katika maisha yake. Mtu huyo hufanya kazi kizembe kwa pole pole kama amelazimishwa kwa sababu ya uvivu wake huo. Yeye hukumbwa na matatizo ya kukosa chakula katika familia yake kwa sababu ya uzembe wake huo katika kazi zake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na ile kamba iliyokatikia pale ilipokuwa imelegea, kwa sababu naye huzembea kufanya kazi zake mpaka anapata matatizo ya njaa kutokana na kukosa chakula kwenye familia yake hiyo. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “kamba hukatikia pale ilipolegea.”

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuachana na tabia ya uvivu katika kazi zao kwa kujibidisha kuyatekeleza vizuri majukumu yao hayo, ili waweze kupata mafanikio mengi maishani mwao.

1Petro 5:8-9.

the-fishermen-3322323__480

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Twitter picture

You are commenting using your Twitter account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.