Tanzania

1156. BHENABHO BHAKINDI BHA B’UGONDO.

Imbuki ya lusumo lunulo ihoyilile bhayob’i bha bhugondo. Abhayob’i bha b’ugondo bhenabho bhagikalaga na lilanha lilihu lya gukindila b’ugondo kunguno amanti agangi galimalihu. Abhoyi ulu bhagashiga aha linti ililihu bhagabhukindaga ub’ugondo bho lilanha linilo bhogwa hasi. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki, “bhenabho bhakindi bha b’ugondo.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagawangalaga bho gubhucha pye ijitumamilo ja milimo yabho umubhutumami bhobho bhunubho. Abhanhu bhenabho bhagibhegelejaga bho gwita bhukengeji bho gupandika jitumamilo ja milimo yabho ijawiza kunguno ya witegeleja bhobho bhunubho umubhutumami bho milimo yabho yiniyo. Abhoyi bhagapandikaga matwajo mingi umu kaya jabho kunguno ya gutumila jitumamilo jawiza umumilimo yabho yiniyo, umuwikaji bhobho.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga na bhayob’i bha b’ugondo abho bhatumilaga malanha malihu ugubhuyob’a ub’ugondo bhunubho, kunguno nabhoyi bhagatumilaga jitumimamilo jawiza umumilimo yabho. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki, “bhenabho bhakindi bha b’ugondo.”

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gutumila jitumamilo jawiza umumilimo yabho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, agagujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 22:8-14.

Mathayo 25:11-12.

Luka 13:24-26.

KISWAHILI: HAO WATUNGUAJI WA SANDARUSI.

Chanzo cha methali hiyo chaongelea juu ya watunguaji wa Sandarusi. Watunguaji hao wa sandarusi huwa na fimbo ndefu ya kuvunia Sandarusi kwa sababu miti mingine huwa mirefu. Hivyo basi, wao wakifika kwenye miti hiyo mirefu hutungulia mazao yao hayo kwa kutumia miti hiyo. Ndiyo maana watu huwaambia kwamba, “hao watunguaji wa sandarusi.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa watu wale ambao hujiandaa kwa kubeba vitendea kazi vyao vyote vinavyotakiwa katika utekelezaji wa majukumu yao. Watu hao hujiandaa kwa kufanya utafiti wa kuvipata vitendea kazi vyote vinavyotakiwa katika kazi zao, kwa sababu ya umakini wao huo katika utekelezaji wa kazi zao hizo. Wao hupata maendeleo makubwa kwenye familia zao kwa sababu ya kutumia vitendea kazi vizuri, katika kazi zao hizo, maishani mwao.

Watu hao hufanana na watunguaji wa Sandarusi waliotumia fimbo ndefu katika kutungulia mavuno hayo, kwa sababu nao hutumia vitendea kazi vizuri katika utekelezaji wa majukumu yao. Ndiyo maana watu huwaambia kwamba, “hao watunguaji wa Sandarusi.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kutumia vitendea kazi vizuri katika utekelezaji wa majukumu yao, ili waweze kupata maendeleo makubwa ya kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Mathayo 22:8-14.

Mathayo 25:11-12.

Luka 13:24-26.

african-traditional-dance-2934852__480

1155. KALAGU – KIZE. NTOLWA ALILAB’AGILA MUNGUNDA – LIZETI.

Imbuki ya kalagu yiniyo, ililola lizeti. Ilizeti yiniyo, lilinti ilo ulu giki lyuhola ligafunyaga wilab’u b’ulab’agizu guti ntolwa uyo alifumanija kunguno nang’hwe agazwalaga jizwalo jilab’agizu chiza. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “ntolwa alilab’agila mungunda –  lizeti.”

Ikalagu yiniyo, igalenganiyagwa kuli ntolwa uyo agayilelaga chiza ikaya yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agatumamaga milimo yakwe chiza na gubhalanga bhanhu bhakwe nzila ja gwika chiza na bhanhu kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho. Uweyi abhalumanyaga chiza abhanhu abho bhidumaga bho guhoya nabho chiza kunguno ya nhungwa jakwe ijawiza jinijo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga ni lizeti iyo igalab’agilaga mungunda, kunguno nuweyi alina nhungwa niza ijo jigang’wambilijaga ugubhalela chiza abhanhu bhakwe, umukikalile kakwe kenako. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ntolwa alilab’agila mungunda –  lizeti.”

Ikalagu yiniyo yalanga bhitoji higulya ya gubhiza na nhungwa ja gubhalela chiza abhanhu bhabho, kugiki bhadule gwikala chiza, umu kaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

Wimbo ulio bora 3:11.

Wimbo ulio bora 4:1.

Wimbo ulio bora 5:1’

Isaya 61:10-11.

 

KISWAHILI: KITENDAWILI –  TEGA.

BIBI HARUSI ANAMEREMETA SHAMBANI – ALIZETI.

Chanzo cha kitendawili hicho kinaangalia alizeti. Alizeti hiyo, ni mti ule ambao ukichanua hutoa maua ya kumeremereta kama bibi harusi anayeolewa kwa sababu naye huvaa mavazi ya kumetameta vizuri. Ndiyo maana watu husema kwamba, “bibi harusi anameremeta shambani – alizeti.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa bibi harusi yule ambaye huilea vizuri familia yake, katika maisha yake. Mtu huyo, hujibidisha kufanya kazi zake vizuri na kuwafundisha watu wake njia za kuishi vizuri na watu, kwa sababu ya uaminifu wake huo. Yeye huwapatanisha watu waliokosana kwa kuongea nao vizuri, kwa sababu ya tabia hiyo njema aliyo nayo, maishani mwake.

Mtu huyo hufanana na ile alizeti iliyokuwa ikimeremeta shambani, kwa sababu naye ana tabia njema ambayo humsaidia katika kuwalea vizuri watu wake, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “bibi harusi anameremeta shambani – alizeti.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuwa na tabia njema ya kuwalea vizuri watu wao, ili waweze kuishi vizuri katika familia zao, maishani mwao.

Wimbo ulio bora 3:11.

Wimbo ulio bora 4:1.

Wimbo ulio bora 5:1’

Isaya 61:10-11.

sunflower-1627179__480

 

 

 

1154. IGUMA NGOB’O.

Iguma ngob’o bhuli bhugwishi bho ng’wenda bho ng’wa mayu umo uyo oli halibhilinga lya bhanhu bhingi. Umayu ng’wunuyo agaguguma ung’wenda gokwe gunuyo bho nduhu ugumana kunguno bhali bhanhu bhingi noyi aha lubhanza lunulo. Hunagwene abhanhu bhagalwitana ulubhanza lunulo giki, “iguma ngob’o.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adina witegekeleza bhutale ubho gujilanhana chiza ijikolo jakwe. Umunhu ng’wunuyo agajilekanijaga sagala duhu ijikolo jakwe jinijo, kunguno ya gugaiya uwitegeleja ubho gujilanhana chiza isabho jakwe jinijo. Uweyi agajilekanijaga mpaga jajimila ijikolo jakwe jinijo kunguno ya bhulekanija bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nu mayu uyo agaguma ng’wenda gokwe halibhilinga mpaga gujimila, kunguno nuweyi agajilekanijaga sagala ijikolo jakwe, mpaga jajimila, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witana giki, “iguma ngob’o.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gujilabhila chiza ijikolo jabho, kugiki jidule gubhambilija chiza, umuwikaji bhobho.

Kutoka 16: 2-3.

Mathayo 21: 8-9.

KISWAHILI: IDONDOSHA NGUO.

Indodosha nguo ni uangushaji wa nguo uliotokea kwa mama mmoja aliyekuwa kwenye mkusanyiko wa watu. Mama huyo, aliidondosha nguo yake hiyo bila kuelewa kwa sababu ya wingi wa watu waliokusanyika kwenye mkutano huo. Ndiyo maana watu waliuita mkutano huo kuwa ni “idondosha nguo.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hana umakini wa kuvitunza vizuri vitu vyake katika maisha yake. Mtu huyo, huvitelekeza hovyo mali zake kwa kuziacha bila uangalizi mzuri, kwa sababu ya kuukosa huo umakini wa kuzitunza vizuri mali zake hizo. Yeye huviacha kwa kuvisahau sehemu fulani mali zake hizo, mpaka zinapotea kwa sababu ya kutokuzijali vizuri kwake mali zake hizo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule mama aliyeangusha nguo yake kwenye mkusanyiko wa watu mpaka ikapotea, kwa sababu naye huvitelekeza vitu vyake mpaka vinapotea, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humuita jila la “idondosha nguo.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuwawezesha kuzitunza vizuri, mali zao, ili ziweze kuwasaidia vizuri, maishani mwao.

Kutoka 16: 2-3.

Mathayo 21: 8-9.

cloth-1088911__480

1153. KALAGU – KIZE. KAGINHU KADOO KAMFULAMYA NTEMI – KAYUKI.

Oliyohi ntemi uyo agajikomya nzuki ijo jalitelile bihi na aha kaya yakwe. Inzuki jinijo jigandya gunuma untemi ng’unuyo wandya gupela mpaga ujishiga kunguno agamala gete iki, jidulile gumulaga ulu witimbilija. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “kaginhu kadoo kamfulamya ntemi – kayuki.”

Ikalagu yiniyo igalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagajidalahijaga iginhu ijidoo bho gujikorosha ijo jigabhalemelaga, umuwikaji bhobho. Abhanhu bhenabho bhagabhikoroshaga abhibhabho abho bhagikalaga bhalyehile kunguno ya libhengwe lyabho linilo ukubhichabho bhenabho. Abhoyi bhagalipishiyagwa majikolo mingi kunguno ya wikorosha bhobho bhunubho, umuwikaji bhobho.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga nu ntemi uyo agajikomya nzuki junuma wandya kupela mpaga ujishiga, kunguno nabhoyi bhagabhikoroshaga abhanhu abhalyehu abho bhagabhakanyaka mpaga bhalipishiwa majikolo mingi, umukikalile kabho. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki, “kaginhu kadoo kamfulamya ntemi – Kayuki.”

Ikalagu yiniyo yalanga bhanhu higulya ya guleka lib’engwe lya gujikorosha sagala ijisumva ijo jilyehile, kugiki bhadule gwikala bho mholele umuwikaji bhobho.

Isaya 5: 16 -17.

 

KITENDAWILI – TEGA.

MDUDU MDOGO AMEMHANGAISHA MTEMI – NYUKI.

Alikuwepo Mfalme aliyewachokoza nyuki waliokuwa wamejenga mzinga karibu na nyumbani mwake. Nyuki hao walianza kumuuma, naye akimbia mpaga akawaacha kwa sababu alielewa kabisa kwamba akibaki pale wanaweza kumuua. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “mdudu mdogo amemhangaisha mfalme – Nyuki.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa watu wale ambao huvidharau vitu vidogo kwa kuvichokoza ambavyo huwashinda katika maisha yao. Watu hao huwachokoza wenzao ambao huishi kwa upole, kwa sababu ya dharau zao hizo kwa wenzao. Wao hupewa faini ya kulipa mali nyingi baada ya kushindwa kesi, kwa sababu ya ukorofi wao huo kwa wenzao, maishani mwao.

Watu hao, hufanana na yule mfalme aliyewachokoza nyuki wakamuuma mpaga akakimbia, kwa sababu nao huwachokoza watu walio wapole ambao huwashinda kesi na kuwalipisha mali nyingi, katika maisha yao. Ndiyo maana watu huwaambia kwamba, “mdudu mdogo amemhangaisha mfalme – nyuki.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuachana na dharau ya kuvichokoza viumbe vilivyotulia, ili waweze kuishi kwa amani, maishani mwao.

Isaya 5: 16 -17.

bee-4913122__480

 

 

 

1152. KALAGU – KIZE. MUNHU NG’WENUYU YAMFULAMYAGA – NZALA.

Inzala bhuligayiwa bho jiliwa ja gulya ukuli munhu nhebhe. Inzala yiniyo iganendeejaga umunhu uyo adalile kunguno agamalaga inguzu ijo agajipandikaga ulu ulya jiliwa. Iyoyi igamajaga ulubhango umunhu uyo adalile kuli likanza lilihu. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “munhu ng’wenuyu yamfulamyaga – nzala.”

Ikalagu yinihyo igalenganijiyagwa kuli munhu uyo alingokolo ugutumama imilimo yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo aginogolelagwa ugutumama imilimo yakwe yiniyo kunguno ya bhugokolo bhokwe bhunubho. Uweyi agakoyiyagwa na nzala bhuli makanza aha kaya yakwe, kunguno ya bhugokolo bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agagayiwa ijiliwa uyukoyiwa na nzala, kunguno nuweyi agakoyiyagwa na nzala ya kugayiwa jiliwa ja gulya aha kaya yakwe yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “munhu ng’wenuyu yamfulamyaga – nzala.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya kuleka bhugokolo bho gwigumbija kutumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule gupandika jiliwa ja gumalila ikoye lya nzala umukaya jabho.

Mathayo 5:6.

Mathayo 11:28.

Marko 8:1- 4.

 

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

MTU HUYO IMEMHUZUNISHA  – NJAA.

Njaa ni ukosefu wa chakula cha kula kwa mtu fulani. Njaa hiyo humhudhunisha mtu yule ambaye hajala chakula hicho kwa muda mrefu kwa sababu ya kukosa nguvu ambazo huletwa na chakula anapokila. Yenyewe humsosesha raha mtu ambaye hajala chakula kwa kipindi kirefu. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mtu huyo imemhuzunisha – njaa.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mvivu kufanya kazi, katika maisha yake. Mtu huyo, hufanya kazi zake kwa unyonge huo kwa sababu ya uvivu wake. Yeye husumbuliwa na tatizo la njaa kwenye familia yake kwa sababu ya kushindwa kupata chakula cha kutosha kula maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyehudhunishwa na njaa kwa sababu naye hukosa chakula cha kula kwenye familia yake, katika maisha yake hayo. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mtu huyo imemhuzunisha – njaa.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuachana na tabia ya uvivu kwa kujibidisha kufanya kazi zao vizuri, ili waweze kupata chakula cha kutosha kulimaliza tatizo hizo la njaa, katika familia zao.

Mathayo 5:6.

Mathayo 11:28.

Marko 8:1- 4.

 

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

IT HAS MADE THAT PERSON SAD – HUNGER.

Hunger is the lack of food for someone to eat. It saddens a person who has not eaten that food for a long time because he/she lacks energy that is brought by the food after eating it. It makes such person who has not eaten for a long time feel uncomfortable. That is why people tell him that, “It has made that person sad – hunger.”

This enigma is compared to a person who is lazy to works in his life. Such person does his works with such weakness because of his laziness. He suffers from hunger problem in his family because of not being able to get enough food to eat in his family.

This person resembles the one who suffered from hunger problem, because he also lacks food in his family. That is why people tell him that, “It has made that person sad – hunger.”

This riddle teaches people about abandoning laziness by forcing themselves to do their daily jobs well, so that they can get enough food to end up the problem of hunger in their families.

Matthew 5:6.

Matthew 11:28.

Mark 8:1-4.

 

 

kid-6772300__480