1154. IGUMA NGOB’O.

Iguma ngob’o bhuli bhugwishi bho ng’wenda bho ng’wa mayu umo uyo oli halibhilinga lya bhanhu bhingi. Umayu ng’wunuyo agaguguma ung’wenda gokwe gunuyo bho nduhu ugumana kunguno bhali bhanhu bhingi noyi aha lubhanza lunulo. Hunagwene abhanhu bhagalwitana ulubhanza lunulo giki, “iguma ngob’o.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adina witegekeleza bhutale ubho gujilanhana chiza ijikolo jakwe. Umunhu ng’wunuyo agajilekanijaga sagala duhu ijikolo jakwe jinijo, kunguno ya gugaiya uwitegeleja ubho gujilanhana chiza isabho jakwe jinijo. Uweyi agajilekanijaga mpaga jajimila ijikolo jakwe jinijo kunguno ya bhulekanija bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nu mayu uyo agaguma ng’wenda gokwe halibhilinga mpaga gujimila, kunguno nuweyi agajilekanijaga sagala ijikolo jakwe, mpaga jajimila, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witana giki, “iguma ngob’o.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gujilabhila chiza ijikolo jabho, kugiki jidule gubhambilija chiza, umuwikaji bhobho.

Kutoka 16: 2-3.

Mathayo 21: 8-9.

KISWAHILI: IDONDOSHA NGUO.

Indodosha nguo ni uangushaji wa nguo uliotokea kwa mama mmoja aliyekuwa kwenye mkusanyiko wa watu. Mama huyo, aliidondosha nguo yake hiyo bila kuelewa kwa sababu ya wingi wa watu waliokusanyika kwenye mkutano huo. Ndiyo maana watu waliuita mkutano huo kuwa ni “idondosha nguo.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hana umakini wa kuvitunza vizuri vitu vyake katika maisha yake. Mtu huyo, huvitelekeza hovyo mali zake kwa kuziacha bila uangalizi mzuri, kwa sababu ya kuukosa huo umakini wa kuzitunza vizuri mali zake hizo. Yeye huviacha kwa kuvisahau sehemu fulani mali zake hizo, mpaka zinapotea kwa sababu ya kutokuzijali vizuri kwake mali zake hizo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule mama aliyeangusha nguo yake kwenye mkusanyiko wa watu mpaka ikapotea, kwa sababu naye huvitelekeza vitu vyake mpaka vinapotea, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humuita jila la “idondosha nguo.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuwawezesha kuzitunza vizuri, mali zao, ili ziweze kuwasaidia vizuri, maishani mwao.

Kutoka 16: 2-3.

Mathayo 21: 8-9.

cloth-1088911__480

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Twitter picture

You are commenting using your Twitter account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.