Oliyohi ntemi uyo agajikomya nzuki ijo jalitelile bihi na aha kaya yakwe. Inzuki jinijo jigandya gunuma untemi ng’unuyo wandya gupela mpaga ujishiga kunguno agamala gete iki, jidulile gumulaga ulu witimbilija. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “kaginhu kadoo kamfulamya ntemi – kayuki.”
Ikalagu yiniyo igalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagajidalahijaga iginhu ijidoo bho gujikorosha ijo jigabhalemelaga, umuwikaji bhobho. Abhanhu bhenabho bhagabhikoroshaga abhibhabho abho bhagikalaga bhalyehile kunguno ya libhengwe lyabho linilo ukubhichabho bhenabho. Abhoyi bhagalipishiyagwa majikolo mingi kunguno ya wikorosha bhobho bhunubho, umuwikaji bhobho.
Abhanhu bhenabho bhagikolaga nu ntemi uyo agajikomya nzuki junuma wandya kupela mpaga ujishiga, kunguno nabhoyi bhagabhikoroshaga abhanhu abhalyehu abho bhagabhakanyaka mpaga bhalipishiwa majikolo mingi, umukikalile kabho. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki, “kaginhu kadoo kamfulamya ntemi – Kayuki.”
Ikalagu yiniyo yalanga bhanhu higulya ya guleka lib’engwe lya gujikorosha sagala ijisumva ijo jilyehile, kugiki bhadule gwikala bho mholele umuwikaji bhobho.
Isaya 5: 16 -17.
KITENDAWILI – TEGA.
MDUDU MDOGO AMEMHANGAISHA MTEMI – NYUKI.
Alikuwepo Mfalme aliyewachokoza nyuki waliokuwa wamejenga mzinga karibu na nyumbani mwake. Nyuki hao walianza kumuuma, naye akimbia mpaga akawaacha kwa sababu alielewa kabisa kwamba akibaki pale wanaweza kumuua. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “mdudu mdogo amemhangaisha mfalme – Nyuki.”
Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa watu wale ambao huvidharau vitu vidogo kwa kuvichokoza ambavyo huwashinda katika maisha yao. Watu hao huwachokoza wenzao ambao huishi kwa upole, kwa sababu ya dharau zao hizo kwa wenzao. Wao hupewa faini ya kulipa mali nyingi baada ya kushindwa kesi, kwa sababu ya ukorofi wao huo kwa wenzao, maishani mwao.
Watu hao, hufanana na yule mfalme aliyewachokoza nyuki wakamuuma mpaga akakimbia, kwa sababu nao huwachokoza watu walio wapole ambao huwashinda kesi na kuwalipisha mali nyingi, katika maisha yao. Ndiyo maana watu huwaambia kwamba, “mdudu mdogo amemhangaisha mfalme – nyuki.”
Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuachana na dharau ya kuvichokoza viumbe vilivyotulia, ili waweze kuishi kwa amani, maishani mwao.
Isaya 5: 16 -17.