1152. KALAGU – KIZE. MUNHU NG’WENUYU YAMFULAMYAGA – NZALA.

Inzala bhuligayiwa bho jiliwa ja gulya ukuli munhu nhebhe. Inzala yiniyo iganendeejaga umunhu uyo adalile kunguno agamalaga inguzu ijo agajipandikaga ulu ulya jiliwa. Iyoyi igamajaga ulubhango umunhu uyo adalile kuli likanza lilihu. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “munhu ng’wenuyu yamfulamyaga – nzala.”

Ikalagu yinihyo igalenganijiyagwa kuli munhu uyo alingokolo ugutumama imilimo yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo aginogolelagwa ugutumama imilimo yakwe yiniyo kunguno ya bhugokolo bhokwe bhunubho. Uweyi agakoyiyagwa na nzala bhuli makanza aha kaya yakwe, kunguno ya bhugokolo bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agagayiwa ijiliwa uyukoyiwa na nzala, kunguno nuweyi agakoyiyagwa na nzala ya kugayiwa jiliwa ja gulya aha kaya yakwe yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “munhu ng’wenuyu yamfulamyaga – nzala.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya kuleka bhugokolo bho gwigumbija kutumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule gupandika jiliwa ja gumalila ikoye lya nzala umukaya jabho.

Mathayo 5:6.

Mathayo 11:28.

Marko 8:1- 4.

 

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

MTU HUYO IMEMHUZUNISHA  – NJAA.

Njaa ni ukosefu wa chakula cha kula kwa mtu fulani. Njaa hiyo humhudhunisha mtu yule ambaye hajala chakula hicho kwa muda mrefu kwa sababu ya kukosa nguvu ambazo huletwa na chakula anapokila. Yenyewe humsosesha raha mtu ambaye hajala chakula kwa kipindi kirefu. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mtu huyo imemhuzunisha – njaa.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mvivu kufanya kazi, katika maisha yake. Mtu huyo, hufanya kazi zake kwa unyonge huo kwa sababu ya uvivu wake. Yeye husumbuliwa na tatizo la njaa kwenye familia yake kwa sababu ya kushindwa kupata chakula cha kutosha kula maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyehudhunishwa na njaa kwa sababu naye hukosa chakula cha kula kwenye familia yake, katika maisha yake hayo. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mtu huyo imemhuzunisha – njaa.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuachana na tabia ya uvivu kwa kujibidisha kufanya kazi zao vizuri, ili waweze kupata chakula cha kutosha kulimaliza tatizo hizo la njaa, katika familia zao.

Mathayo 5:6.

Mathayo 11:28.

Marko 8:1- 4.

kid-6772300__480

 

 

 

 

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Twitter picture

You are commenting using your Twitter account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.