1156. BHENABHO BHAKINDI BHA B’UGONDO.

Imbuki ya lusumo lunulo ihoyilile bhayob’i bha bhugondo. Abhayob’i bha b’ugondo bhenabho bhagikalaga na lilanha lilihu lya gukindila b’ugondo kunguno amanti agangi galimalihu. Abhoyi ulu bhagashiga aha linti ililihu bhagabhukindaga ub’ugondo bho lilanha linilo bhogwa hasi. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki, “bhenabho bhakindi bha b’ugondo.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagawangalaga bho gubhucha pye ijitumamilo ja milimo yabho umubhutumami bhobho bhunubho. Abhanhu bhenabho bhagibhegelejaga bho gwita bhukengeji bho gupandika jitumamilo ja milimo yabho ijawiza kunguno ya witegeleja bhobho bhunubho umubhutumami bho milimo yabho yiniyo. Abhoyi bhagapandikaga matwajo mingi umu kaya jabho kunguno ya gutumila jitumamilo jawiza umumilimo yabho yiniyo, umuwikaji bhobho.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga na bhayob’i bha b’ugondo abho bhatumilaga malanha malihu ugubhuyob’a ub’ugondo bhunubho, kunguno nabhoyi bhagatumilaga jitumimamilo jawiza umumilimo yabho. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki, “bhenabho bhakindi bha b’ugondo.”

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gutumila jitumamilo jawiza umumilimo yabho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, agagujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 22:8-14.

Mathayo 25:11-12.

Luka 13:24-26.

KISWAHILI: HAO WATUNGUAJI WA SANDARUSI.

Chanzo cha methali hiyo chaongelea juu ya watunguaji wa Sandarusi. Watunguaji hao wa sandarusi huwa na fimbo ndefu ya kuvunia Sandarusi kwa sababu miti mingine huwa mirefu. Hivyo basi, wao wakifika kwenye miti hiyo mirefu hutungulia mazao yao hayo kwa kutumia miti hiyo. Ndiyo maana watu huwaambia kwamba, “hao watunguaji wa sandarusi.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa watu wale ambao hujiandaa kwa kubeba vitendea kazi vyao vyote vinavyotakiwa katika utekelezaji wa majukumu yao. Watu hao hujiandaa kwa kufanya utafiti wa kuvipata vitendea kazi vyote vinavyotakiwa katika kazi zao, kwa sababu ya umakini wao huo katika utekelezaji wa kazi zao hizo. Wao hupata maendeleo makubwa kwenye familia zao kwa sababu ya kutumia vitendea kazi vizuri, katika kazi zao hizo, maishani mwao.

Watu hao hufanana na watunguaji wa Sandarusi waliotumia fimbo ndefu katika kutungulia mavuno hayo, kwa sababu nao hutumia vitendea kazi vizuri katika utekelezaji wa majukumu yao. Ndiyo maana watu huwaambia kwamba, “hao watunguaji wa Sandarusi.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kutumia vitendea kazi vizuri katika utekelezaji wa majukumu yao, ili waweze kupata maendeleo makubwa ya kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Mathayo 22:8-14.

Mathayo 25:11-12.

Luka 13:24-26.

african-traditional-dance-2934852__480

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Twitter picture

You are commenting using your Twitter account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.