Sukuma

1018. NG’WENUYU JIITA MAKUB’I.

Akahayile kenako, kahoyelile higulya ya ng’ombe iyo ili mbisuji. Abhasugi bha ng’ombe yiniyo, bhagashemaga mab’ele mingi noyi kunguno ya bhub’isuji bhoyo bhunubho. Abhoyi bhagagalilaga na bhugali amab’ele genayo mpaga bhiguta bho nduhu nulu gulila makub’i gangi kunguno agoyi ha makub’i gabho lulu. Hunagwene bhagaitanaga ing’ombe yiniyo giki, “ng’wenuyo jiita makub’i.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agayilanhanaga chiza ikaya yake bho guipandikila jiliwa ja julya pye amakanza, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agigulambijaga kutumama milimo yakwe bho bhukamu bhutale, mpaga opandika sabho ningi kunguno ya b’utungilija bhokwe ukubhanhu bhakwe, umukikalile kakwe kenako. Uweyi agaponaga pye ijo agalimaga kunguno agadebhile chiza amakanza ga gulima bhuli jene ijo agalimaga, umubhutumami bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni ng’ombe iyo yafunyaga mab’ele mingi, kunguno nuweyi agigulambijaga kutumama milimo chiza mpaga apandikaga sabho ningi ja gudula gubhagunana chiza abhanhu bhakwe bho pye amakanza. Hunagwene abhanhu bhakwe bhenabho bhagang’witanaga giki, “ng’wenuyo jiita makub’i.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwigulambija gutumama milimo yabho chiza na gusuga mitugo mingi, kugiki bhadule gupandika sabho ningi ija gubhambilija bho pye amakanza, umuwikaji bhobho.

Isaya 55:1.

Mwanzo 18:6-8.

KISWAHILI: HUYU KIMWAGA MBOGA.

Msemo huo, huongelea juu ya ng’ombe aliyetoa mazima mengi. Wafugaji wa ng’ombe huyo, humkamua mazima mengi sana kutoka kwake kwa sababu ya utajiri wake huo. Wao huyatumia maziwa hayo kwa kuliia ugali, kwa sababu hayo ndiyo mboga yenyewe. Hata kama wapishi watawapelekea mboza ja majani, zitarudi bila kutumiwa na wafugaji hao. Ndiyo maana wafugaji hao humuita ng’ombe huyo kwamba, “huyu kimwaga mboga.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huitunza vizuri familia yake kwa kuipatia chakula cha kutumia kwa muda wote, katika maisha yake. Mtu huyo, hujibidisha kufanya kazi zake kwa bidii kubwa mpaka anafanikiwa kupata mali nyingi kwa sababu ya uaminifu wake huo kwa watu wake, maishani mwake. Yeye hufanikiwa kupata mavuno mengi kila mwaka kwenye mazao anayolima, kwa sababu anafahamu vizuri muda wa kuanza kulima kila zao, katika kazi yake hiyo.

Mtu huyo, hufanana na yule ng’ombe aliyetoa mazima mengi ya kuwatosha wafugaji wake, kwa sababu naye hufanya kazi kwa bidii na kupata mali za kutosha kuitunza familia yake kwa muda wote. Ndiyo maana wanafamilia wake hao, humuita kwamba, “huyu kimwaga mboga.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kufanya kazi zao vizuri na kufuga mifugo mingi, ili waweze kupata mali nyingi za kutosha kuwasaidia kwa muda wote, maishani mwao.

Isaya 55:1.

Mwanzo 18:6-8.

ENGLISH: THIS IS A PERSON WHO POURS VEGETABLES.

This saying refers to a cow that has given up many lives. The herdsmen of such herd, for the sake of their riches, such cow is a great help to them. They use the milk to make porridge, because that is the vegetable itself. Even if the cooks send them greens’ leafy, they will return unused by the breeders. That is why the herdsmen call say that, “this is a person who pours vegetables.”

This saying is likened to a man who takes good care of his family by providing them with food for the rest of his life. Such man strives to work hard until he succeeds in obtaining great wealth because of his loyalty to his people, in his life. He manages to get a good harvest every year on the crops which he cultivates, because of him being aware of when to start cultivating every crop, in his works.

This man is like the cow that made a lot of money for its keepers, because he also worked hard to have enough money to take care of his family all the time. That is why his family members say that, “this is a person who pours vegetables.”

This saying teaches people on how to work hard enough to raise a lot of wealth, so that they can earn enough money to support them all the time, in their lifetime.

Isaiah 55: 1.

Genesis 18: 6-8.

cow-1495512__480

1017. ONTUULAGA MUNHU MUJIGANZA.

Akahayile kenako, kahoyelile higulya ya bhutuuji bho ng’wa munhu mujiganja. Umunhu ulu atali ali ndoni agabhizaga mbupu noyi kunguno umunhu untale adulile gumuucha nulu bho nkono guma duhu, umujiganza jakwe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “ontuulaga munhu mujiganza.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga abhadalahile abhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agabhadalahaga abhiye, bho gubhalenganija na bhanigini bhadoni abho agabhabhuchiyagwa bho nkono guma duhu, kunguno ya bhubupu bhobho. Uweyi agidumaga na bhiye abho agabhabyedaga, kunguno ya bhudoshi na libhengwa lyakwe linilo, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agabhabhucha bhanigini mujiganza jakwe, kunguno nuweyi agabhadalahaga abhiye bho bhiganikila giki adulile gubhabhucha bho nkono gumo duhu, umukikalile kakwe. Hunagwene abhagawilaga abhanhu giki “ontuulaga munhu mujiganza.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka bhudoshi na nhinda ja gubhadalahija abhichabho, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwikala bho mholele, na bhanhu bhabho, umu kaya jabho.

Zaburi 7:8.

Wafilipi 2:5-11.

Isaya 53:3.

Yohana 1:11-12.

KISWAHILI: AMEMUWEKA MTU KIGANJANI.

Msemo huo, huongelea juu ya uwekaji wa mtu fulani kwenye kiganja. Mtu akiwa na amri mdogo huwa mwepesi kiasi mtu mzima yeyote kuweza kumbeba hata kiganjani kwa kutumia mkono mmoja tu, kwa sababu ya wepesi wake. Ndiyo maana watu husema kwamba, “amemuweka mtu kiganjani.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huishi kwa kuwadharau wenzake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwadharau wenzake kwa kuwafikiria kama wao ni watoto wadogo anaoweza kuwabeba, kirahisi kwa sababu ya dharau zake hizo. Yeye hukosana na watu kwa sababu ya tabia yake hiyo mbaya ya kiburi na dharau kwa wenzake, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule ambaye alimbeba mtoto mdogo kwenye kiganja chake, kwa sababu naye huwadharau wenzake kwa kuwafikiria kwamba anaweza kuwafanyia lolote, katika maisha yake. Ndiyo maana huwa anawaambia watu kwamba, “amemuweka mtu kiganjani.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kuwa na kiburi na majivuno ya kuwadharau watu katika maisha yao, ili waweze kuishi kwa amani na watu wao katika familia zao.

Zaburi 7:8.

Wafilipi 2:5-11.

Isaya 53:3.

Yohana 1:11-12.

ENGLISH: HE/SHE HAS PUT A PERSON IN THE PALM OF HIS/HER HAND.

The overhead saying refers to the placement of someone on the palm. A person with a small command is so light that any adult can carry it even in one hand, because of his lightness. That is why people say, “he/she has put a person in the palm of his/her hand.”

This saying is compared to the person who lives in contempt for others, in life. This person, in turn, despises his or her peers by thinking that they are too young to carry them, simply because of his/her contempt. He/she lives alone at home because of his/her bad habit of arrogance and contempt to his/her colleagues, in life.

This person resembles the one who carried a small child in his arms, because he/she also despises his/her fellows by thinking that he/she can do anything to them, in life. That is why this person often tells people that, “he/she has put a person in the palm of his/her hand.”

This saying imparts in people an idea of stopping habits of being proud and arrogant by not despising others in their lives, so that they can live in peace with their their family members in their societies.

Psalm 7: 8.

Philippians 2: 5-11

Isaiah 53: 3.

John 1: 11-12.

african-5604191__480

1016. KALAGU – KIZE. KAB’ULUB’A KANENEZU KATUNGULE LIDUMU – TULO.

Imbuki ya kalagu yiniyo, ihoyelile higulya ya tulo. Itulo yiniyo igingilaga hado hado ukuli munhu, niyo bho nduhu ugudebha chiza uweyi, kunguno agwimanila otindilaga duhu, mumo agakulia agulyeha duhu bho gutindila chiniko. Hunagwene umili gugagemanijiyagwa na lidumu ilo litungile bhulubha bho gwiganila giki, “kab’ulub’a kanenezu katungile lidumu – tulo.”

Ikalagu yiniyo igalenganijiyagwa kuli munhu uyo agilendejaga bho gutindila mpaga okeleja ugujutumama imilimo yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agakelejaga noyi ugumisha mpaga oduma ugujutumama imilimo yakwe kunguno ya kutugwa tulo jakwe jinijo, umukikalile kakwe. Uweyi agagayiyagwa ijiliwa ijagulya aha kaya yakwe kunguno ya kutogwa tulo jakwe jinijo ijo agajizunilijaga mpaga janendeja ugujutumama imilimo yakwe, umuwikaji bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni lidumu ilo ligalendejiwa bho gutungwa na kab’ulub’a kanenezu, kunguno nuweyi agalyehiyagwa na tulo mpaga wilendeja ugujutumama imilimo yakwe, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bha muchalo jakwe bhagang’wilaga giki, “kab’ulub’a kanenezu katungile lidumu – tulo.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu bhigulya ya kuleka wilendeja bho kukindwa tulo mpaga bhakeleja ugujutumama imilimo yabho, kugiki bhadule gupandika sabho ningi ja gujilisha chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Mhubiri 5:11.

Mathayo 25:1-12.

Waefeso 5:14.

KISWAHILI: KITENDAWILI –  TEGA.

UZI MWEMBAMBA UMEFUNGA DUMU – USINGIZI.

Chanzo cha kitendawili hicho, chaongelea juu ya uzingizi. Usingizi huo, huingia pole pole kwa mtu bila ya yeye kuelewa vizuri, kwa sababu mtu huyo hujikuta amesingia tu, hata kama atakuwa mkubwa kiasi gani, atatulia kwa kusinzia namna hiyo. Ndiyo maana mwili wa mtu huyo hufananishwa na dumu lililofungwa uzi  mwembamba kwa kuhadithiana kwamba, “uzi mwembamba umefunga dumu – usingizi.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hujisahau kwa kusinzia mpaka akachelewa kwenda kazini kwake, katika maisha yake. Mtu huyo, huchelewa sana kuamuka mpaka anajikuta amechekewa pia kwenda kufanya kazi zake, kwa sababu ya kupenda sana usingizi wake huo, katika maisha yake. Yeye hukosa chakula mara nyingi katika familia yake, kwa sababu ya kuendekeza usingizi wake huo ambao huuruhusu mpaka unamchelewesha kwenda kufanya kazi zake, maishani mwake.

Mtu huyo hufanana na lile dumu lililo zubaishwa kwa kufungwa na uzi mwembamba, kwa sababu naye huzubaishwa na usingizi mpaga anachelewa kwenda kufanya kazi zake, katika maisha yake hayo. Ndiyo maana watu wa kijijini mwake humwambia kwamba, “uzi mwembamba umefunga dumu – usingizi.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuacha kuchelewa kwenda kufanya kazi zao kwa kuendekeza uzingizi, ili waweze kupata mali nyingi za kutosha kuzilisha vizuri familia zao, maishani mwao.

Mhubiri 5:11.

Mathayo 25:1-12.

Waefeso 5:14.

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

A THIN THREAD HAS TIED A GALLON – A SLUMBER.

The origin of the overhead riddle talks about a slumber. Such slumber is a sleep that enters slowly into a person without him fully understanding it, because that person finds himself in a deep sleep, no matter how big he is, he will settle down in such a sleep. That is why the body of such person is likened to a gallon which is tied by a thin thread by saying to one another that, “a thin thread has tied a gallon – a slumber.”

This riddle is compared to a person who forgets him/herself by sleeping until he is late to work in his lifetime. This person wakes up so late that he finds himself too lazy to go to work, because he likes his sleep so much, in his life. He often misses food in his family, because of his sleep deprivation that prevents him from going to work in his life.

This man is resembles the person who was bound by a thin thread, because he is also tossed about by sleeping until he goes to work late, in his life. That is why the people in his village tell him that, “a thin thread has tied a gallon – a slumber.”

This riddle imparts in people an idea on how to avoid committing delays by resorting to stalling, so that they can earn enough money to feed their families well in life.

Ecclesiastes 5:11.

Matthew 25: 1-12

Ephesians 5:14.

eyes-5160174__480

baby-2582305__480

sleeping-1317770__480

1015. OZWAJIWE NGOB’O

Imbuki ya kahayile kenako ililole bhuzwajiwa bho ngobho bho ng’wa munhu nhebhe. Ikale abhanhu bhikalaga bhaliduhu. Ulu munhu uzwajiwe myenda yolechaga giki, oshikanaga gutoolwa ulu ali ng’waniki nulu gutoola ulu ali nyanda. Abhanhu bhenabho bhitanagwa lulu bhazwajiwe ngob’o ja gubhafala ija golecha giki bhakomaga gubheja kaya jabho. Hunagwene abhanhu bhang’wilaga umunhu ng’wunuyo giki, “ozwajiwe ng’ob’o.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo aginagwa ilange lya guleka miita ga bhub’i bho gwita ayo gali ga bhiza, umuwijaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, agalangagwa chiza na bhabyaji bhakwe mpaga oyileka iyabhubhi omanila gwikala chiza na bhanhu bho gubhambilija chiza kunguno ya widohya bhokwe. Uweyi agayibhejaga chiza ikaya yakwe kunguno ya gubhiza na nhungwa ja wiza ijo ojangwa na bhatale bhakwe jinijo mpaga ujidimila chiza, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo wikalaga duhu mpaga wikoma gutolwa nulu kutola na uzwajiwe imyenda, kunguno nuweyi agagaleka amiito agabhubhi uyita gawiza aho olangwa inhungwa ijawiza na bhabyaji bhakwe, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ozwajiwe ngob’o.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya bhubhalanga nhungwa jawiza abhanhu bhabho, bho gujikalana chiza inhungwa jinijo abhoyi bhenikili umuwikaji bhobho, kugiki bhadule kujilela chiza ikaya jabho, umubhulamu bhobho.

Kutoka 20:12.

Kutoka 28:1-5.

Hekima ya Sulemaini 7:1-4.

KISWAHILI: AMEVALISHWA NGUO.

Chanzo cha msemo huo chaangalia uvalishwaji wa nguo wa mtu fulani. Zamani watu walikuwa wakiishi uchi. Walikuwa akiitwa kuvalishwa nguo za kuwafaa walipofikia umri wa kuoa au kuolewa ili kuonesha kwamba, wanaweza kuwa na mji wao. Ndiyo maana watu walisema juu ya yule aliyepitia hatua hiyo kwamba, “amevalishwa nguo.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ameyashikilia vizuri malezi ya kuacha matendo maovu kwa kutenda mema, aliyoyapokea kutoka kwa wazazi au wakubwa wake, katika maisha yake. Mtu huyo, hufundishwa vizuri maadili mema na wazazi wake mpaga akazoea kuishi vizuri na watu kwa kuwasaidia noa katika kutenda mema kwa sababu ya unyenyekevu wake. Yeye hufaulu kuilea vyema familia yake kwa sababu ya kuyaishi vizuri maadili yake hayo mema, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekuwa akiishi uchi mpaga alipofikia umri wa kuoa au kuolewa ndipo akavalishwa nguo, kwa sababu naye aliyaacha matendo maovu alipofundishwa maadili mema na mazazi wake, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “amevalishwa nguo.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwalea katika maadali mema watu wao, kwa kuyaishi vizuri maadali hayo wao wenyewe, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Kutoka 20:12.

Kutoka 28:1-5.

Hekima ya Sulemaini 7:1-4.

ENGLISH: HE/SHE HAS BEEN DRESSED IN CLOTHES.

The foundation of the above saying looks at someone’s clothing. In the past some people lived naked. They were called to dress appropriately when they reached at the age of marriage to show that, they have grown to maturity. That is why people told one of those who went through such process that, “he/she has been dressed in clothes.”

This saying is compared to a person who has held to the pattern of abstinence from evil by doing good deeds, which he has received from his parents in his lifetime. This man is well-educated and well-mannered, and his parents are accustomed to living with people who help him to do good deeds because of his humility. He manages to raise his family well because of his good deeds ​​in his life.

This man resembles the one who was living naked until when he grew old enough to get married and then got dressed, because he also stopped doing bad things when he was taught good manners by his parents in his life. That is why people say to him that, “he has been dressed in clothes.”

This saying teaches people on how to raise good manners, by living well according to the values of the societies, so that they can better raise their families in their lives.

Exodus 20:12.

Exodus 28: 1-5.

The Wisdom of Solomon 7: 1-4.

young-922705__480

man-2359586__480

black-man-4699502__480

1014. NG’HWI NINGHI JIGANGALUCHAGA.

Ulusumo lunulo, lulolile bhusoseji bho ng’hwi mliko lya guzugila jiliwa. Bhalihoyi bhanhu abho bhazugaga jiliwa ja bhabhini bha mbina umu chalo ja ng’wa madulu. Abhanhu bhenabho, bhazugaga jiliwa jinijo bhujipe pe kunguno ya giki bhapandike wasa bho gwilolewa mbina ahikanza lya limi.

Aliyo lulu, inghwi jabho jigegela gushiga haho bhatali ugumala uguzuga ijiliwa jabho, niyo nubhuji bhutali ugwela. Abhanhu bhenabho, bhagituma gujusena ng’hwi ningi gete ijo jidulile guzugila jiliwa bhujipe pe mpaga bhubisha ijiliwa jabho.

Abhaseni bha ng’hwi bhenabho, bhagaja nhana bhugajisema ng’hwi nyinghi gete ijo bhagajizugila mpaga wela ubhuji, niyo bhujibisha pye ijiliwa jabho. Abhoyi bhagadeha chiza igiki ing’hwi ininghi jigabishaga jiliwa wangu na jigatumamaga nimo mpaga wela ubhujiku. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagagayiwila ulu bhalihaya kutumama nimo nhebhe giki, “ng’hwi ninghi jigangaluchaga.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagatumamaga milimo yabho kihamo bho gwiyambilija chiza, umuwikaji bhobho. Abhanhu bhenabho, bhagibhilingaga bhagaitumama imilimo yabho bhogwiyambilija kihamo chiza kunguno ya ng’wigano gobho gunuyo, umubhutumami bho milimo yabho. Abhoyi bhagalimaga migunda mitale ya jiliwa ja mbika nyinghi, iyo bhagalimilaga chiza mpaga bhapandika sabho nyinghi kunguno ya wiyambiliaga bhobho bhunubho, umumilimo yabho.

Abhanhu bhenabho, bhagikolaga ni ng’hwi ininghi ijo jigatumama nimo bhujiku pe mpaga jujipisha ijiliwa ijo jazugagwa, kunguno nabhoyi bhagibhilingaga bhingi bhagatumama milimo yabho bho ng’wigwano chiza mpaga bhayimala, umutumami bhobho. Hunagwene bhagikomikaga kuja kujutumama nimo nhebhe bho gwiwila giki, “ng’hwi ninghi jigangaluchaga.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhumo bho gutumama milimo yabho bho gwiyambilija chiza, umutumami bhobho, kugiki bhadule kupandika sabho ninghi ja kubhagunana, umuwikaji bhobho.

Wagalatia 6:2.

Matendo ya Mitume 4:32

1Wakarintho 12:12.

Kutoka 18:25-26.

KISWAHILI: KUNI NYINGI HUKESHA.

Methali hiyo, huangalia uchocheaji wa kuni kwenye jiko la kupikia chakula. Walikuwepo watu waliokuwa wakipika chakula cha wacheza ngoma kwenye kijiji cha Mwamadulu. Watu hao, walipika chakula hicho usiku kucha kwa sababu ya kutaka kuimaliza kazi hiyo usiku ili mchana wapate muda wa kuiangalia hiyo ngoma.

Lakini kuni zao zilikaribia kuisha ikiwa bado ni usiku, na hawajamaliza kupika. Wakatumana kwenda kukata kuni nyingi sana ambazo zaweza kupikia chakula usiku kucha mpaga kuviivisha vyote.

Wakataji hao wa kuni, walienda kweli wakakata kuni nyingi sana ambazo walizipikia mpaka usiku kucha na wafanikiwa kuviivisha vyakula vyote. Walipoona hivyo, walielewa wazi kwamba, kumbe kuni nyingi huivisha chakula mapema na zaweza kutumika hadi usiku kucha. Ndiyo maana watu hao walianza kuambiana wakati wa kutaka kufanya kazi yoyote kwamba, “kuni nyingi huseka.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa watu wale ambao hufanya kazi zao kwa umoja wa kusaidiana vizuri, katika maisha yao. Watu hao, hujikusanya na kwenda kuyatekeleza majukumu yao kwa kusaidia pamoja na vizuri kwa sababu ya uelewano wao huo, katika utendaji wa kazi zao. Wao hulima mashamba makubwa ya mazao ya aina mbalimbali ambayo huyatunza vizuri mpaka wanapata mavuno mengi ya kutumia maishani mwao, kwa sababu ya umoja wao huo wa kusaidiana katika kazi zao.

Watu hao, hufanana na zile kuni nyingi zilizotumika usiku kucha mpaka zikaivisha chakula kilichokuwa kinapikwa, kwa sababu nao wanaumoja wa watu wengi wanaofanya kazi kwa uelewano mpaka wanaimaliza, katika utekelezaji wa majukumu yao. Ndiyo maana wao wanapotaka kufanya kazi fulani hualikana kwa kuambiana kwamba, “kuni nyingi hukesha.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na umoja wa kuyatekeleza majukumu yao kwa kusaidiana vizuri, katika kazi zao, ili waweze kupata mali nyingi za kutosha kutumia, maishani mwao.

Wagalatia 6:2.

Matendo ya Mitume 4:32

1Wakarintho 12:12.

Kutoka 18:25-26.

ENGLISH: MANY PIECES OF FIREWOOD LIGHT THE WHOLE NIGHT.

The above proverb started from people who were adding firewood in a cooking stove. There were people who were cooking food for dancers in Mwamadulu Village. They had to cook such food for the whole night because they wanted to finish such work at that same night so that they could have time for watching the dance during the day.

Nevertheless, their pieces of firewood were almost gone when it was still night, and they had not finished the cooking in such night. They set out to collect so much pieces of firewood that they could cook such food all the night long.

The firewood cutters, in fact, went and collect as many pieces of firewood as they could cook overnight and manage to cook all the food. When they saw this, they realized that many pieces of firewood cook food speedily and can be used overnight. That is why they began to invite one another to unite and work as a group work by saying that, Many pieces of firewood light the whole night.

Such a proverb teaches people on how to work in unity for fulfilling well their economic, social, cultural and spiritual activities in their daily lives. It inspires them enough to unite and walk together for working out easily their societal problems in their families.

This proverb is important in the Synodal Process because of imparting ideas on us about walking together in unity with all the members of the church. It instils in bishops, priests, and all Christians teachings on how to be united together as a community of the Body of Christ, in fulfilling their responsibilities. They can do so by walking together and helping one another in all the Synodal Processes, so that they may be successfully in spreading the good news to people whom they live with through their practical daily lives.

It is compared to the Small Christian Community members who pray, and read the Bible in unity by nicely helping each other, in their lives. These people, gather to read the Gospel, and share their ideas for discovering what Jesus tells them in their practical daily lives.

This Sukuma proverb also encourages them to maintain their unity enough to answer the key questions which are needed in the Synodal Process. They can manage doing so by helping one another together because of their mutual understanding, in fulfilling their missionary work which they received through baptism, that is, of spreading the good news to the people whom they live with in their societies.

These people in Small Christian Communities, resemble the many pieces of firewood which were used all night by cooks until they cooked the food that was needed, because they too, have unity of many people who walk together in harmony with the whole church on the way to God until they inherit the heavenly Kingdom. That is why when the time of the gathering approaches, they invite one another to attend the Small Christian Community meetings by saying that, many pieces of firewood light the whole night.

Acts 4:32. “The community of believers was of one heart and mind, and no one claimed that any of his possessions was his own, but they had everything in common.”

Galatians 6: 2 -3. “Bear one another’s burdens, and so you will fulfill the law of Christ. For if anyone thinks he is something when he is nothing, he is deluding himself.”

1 Corinthians 12:12 – 14. “As a body is one though it has many parts, and all the parts of the body, though many, are one body, so also Christ. For in one Spirit we were all baptized into one body, whether Jews or Greeks, slaves or free persons, and we were all given to drink of one Spirit. Now the body is not a single part, but many.”

Exodus 18: 25-26. “He picked out able men from all Israel and put them in charge of the people as commanders of thousands, of hundreds, of fifties, and of tens. They rendered decisions for the people in all routine cases. The more difficult cases they referred to Moses, but all the lesser cases they settled themselves.”

easter-fire-384602__480

wood-fire-1241199__480

mangal-2704657__480