Akahayile kenako, kahoyelile higulya ya ng’wa munhu uyo ogwilaga ningo. Olihoyi munhu uyo oliolinha mlinti lya minyembo kugiki ayobhe minyembe ya gulwa. Umunhu ng’wunuyo oliadina witegeleja bhutale umukalinhile kakwe kenako kunguno agatyuja gwiza hasi uyigwila inindo yakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “ogwilaga nindo.”
Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo ajaga ng’wichola ugashoga adapandikile josejose, umubhuchoji bhokwe bhunubho. Umunhu ng’wunuyo agacholaga sabho bho nduhu gubhiza na uwitegeleja bhutale, kunguno ya gukija ugwiganika chiza umumasala gakwe. Uweyi agashoga kaya bho nduhu nulu ginhu josejose umumakono gakwe, kunguno ya gubhugayiwa uwitegeleja bhunubho, umukacholele kakwe kenako.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agalinha mulinti lya minyembe bho nduhu gubhiza na witegeleja bhutale mpaga nose ugwila nindo, kunguno nuweyi agacholaga sabho bho nduhu gubhiza na witegeleje bhutale umubhuchoji bhokwe bhunubho mpaga nose ojigayiwa isabho jinijo. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ogwilaga nindo.” Imaana ya gwila nindo ili gugayiwa ijo olujicholaga, unchoji o sabho ng’wunuyo, ushoga makono duhu ugukaya yakwe.
Akahayile kenako kalanga bhachoji bha sabho higulya ya gubhiza na witegeleja bhutale umukacholele kabho, kugiki bhadule gujipandika isabho ijo bhalijichola, umuwikaji bhobho.
Luka 15:13-14.
Luka 16:3-9.
KISWAHILI: AMEANGUKIA PUA.
Msemo huo, huongelea juu ya mtu aliyeangukia pua. Alikuwepo mtu mmoja aliyekwea kwenye mtu wa maembe ili achume maembe ya kula. Mtu huo, aliukwea mtu huo wa muembe bila kuwa na umakini mkubwa katika ukweaji wake, kwa sababu aliteleja akaangukia pua. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “ameangukia pua.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huenda kutafuta mali na kurudi bila kupata chochote, katika utafutaji wake. Mtu huyo, hutafuta mali hizo bila kuwa na umakini mkubwa kwa sababu kutokufikiri vizuri katika akili zake. Yeye hurudi nyumbani kwake bila kuwa kitu chochote katika mikono yake, kwa sababu ya kuukosa umakini huo katika utafutaji wake huo.
Mtu huyo, hufanana na yule aliyekwea kwenye mti wa maembe bila kuwa na umakini mkubwa, mpaka mwishowe akaangukia pua, kwa sababu naye hutafuta mali bila kuwa na huo umakini katika utafutaji, mpaka anashindwa kupata chochote. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “ameangukia pua.” Maana ya kuangukia pua ni kukosa au kushindwa kupata mali na kurudi nyumbani mikono mitupu kwa mtafutaji huyo.
Msemo huo, hufundisha watafutaji wa mali juu ya kuwa na umakini mkubwa katika utafutaji wao, ili waweze kufanikiwa kupata mali wanayoitafuta, katika maisha yao.
Luka 15:13-14.
Luka 16:3-9.
ENGLISH: HE HAS FALLEN ON HIS/HER NOSE.
This saying speaks of a person who fell on his nose from a Mango tree. There was one man climbed on a mango tree carelessly to pick mangoes for eating. He fell on his nose to the point of hurting it. That is why people said to him that, “He has fallen on his nose.”
This saying is compared to a man who goes about seeking wealth but returns without getting anything, in his search. He did not look for those treasures with much caution because of not thinking well in his mind. He returns home with nothing in his hands.
This man is like the one who climbed on a mango tree without much attention, until he finally fell on his nose, because he too seeks wealth without having that focus in searching, until he fails to get anything. That is why people say to him that, “he has fallen on his nose.” The meaning of falling on one’s nose is to miss or fail to acquire property and return home empty-handed to his family.
This saying teaches property seekers to be very careful in their ways of searching, so that they can successfully find the property which they are looking for, in their lifetime.
Luke 15: 13-14.
Luke 16: 3-9.