Imbuki ya lusumo lunulo, yingilile kubhusagiji bho munhu umuligunila ilo guligotulilwa. Bhalihoyi bhanhu abho bhagajila munhu Nyalanja bhugagubhukija mumagunila. Inyalanja yinilo ili ilamba kunkoa go Singida. Abhoyi bhagaja bhugagwenha umunhu gunuyo umuchalo jabho ija idisa. Bhagagujinja umunhu gunuyo mpaga gushila umumagunila gabho.
Lushugu lumo, bhagagayiwa munhu gogutwila mumakubhi, bhugagema ugutuula amakono gabho umuligunila linilo. Aho bhagafunya amakono genayo bhugabhona galina munhu, huna bhulikunhunha iligunila linilo mpaga bhupandika munhu gugotwila umumakubhi gabho.
Gashinaga goligadamila munhu gunuyo umukati ya ligunila linilo uyo gugalimanyichaga igiki lyali na munhu. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “ligunila lya munhu lidamalaga munhu.”
Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu msabi omajikolo mingi umukikale kakwe. Umunhu ng’wunuyo agikalaga amanyikile duhu igiki alina sabho aho azengila nulu jigashila imumitugo jakwe jinijo, kunguno jigalekaga julugu aho jikalaga. Uweyi agabhizaga na bhumanyikijo bhutale bho sabho ijo alinajo umukikalile kakwe, kunguno ya jimanikijo ijo jigalekaga ni sabho jinijo, umuwikaji bhokwe.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga niligunila lya munhu uyo gugadamilaga moyi, kunguno nuweyi agikalaga na jimanyikijo ja sabho jakwe ijo wikalaga najo, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ligunila lya munhu lidamalaga munhu.”
Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya kujilanhana chiza isabho jabho bho gujitumila bho masala, kugiki jidule gubhambilija chiza umuwikaji bhobho, nabho bhalabhalekele isabho jinijo.
Mithali 27:23 – 24.
Mithali 19:4.
Luka 14:34 – 35.
KISWAHILI: GUNIA LA CHUMVI HALIMALIZI CHUMVI.
Chanzo cha methali hiyo, kilianzia kwenye ubakiaji wa chumvi kwenye gunia ilimokuwa imewekwa. Walikuwepo watu walioenda Nyalanja kuchota chumvi kwemye magunia. Nyalanja hiyo iko Iramba mkoani Singida. Walioenda kuchota chumvi hiyo walitoka kwenye kijiji cha Idisa. Walipoileta chumvi hiyo waliiuza mpaka ikaisha yote kwenye magunia yao.
Siku moja waliishiwa chumvi ya kutumia kwenye mboga, wakajaribu kuweka mikono yao kwenye gunia lilikuwa na chumvi hiyo. Walipoitoa mikono hiyo ilionekana ina chumvi, ndipo wakalitikisha gunia hilo na kupata chumvi ya kutosha kutumia kwenye mboga yao.
Kumbe chumvi hiyo iligandamana ndani ya gunia hilo walilokuwa wameitunzia kuonesha kwamba lilikuwa na chumvi. Ndiyo maana watu hao walisema kwamba, “gunia la chimvi halimalizi chumvi.”
Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni tajiri wa mali nyingi katika maisha yake. Mtu huyo, huwa na alama za kuonesha uwepo wa mali alizokuwa nazo ikiwemo mifugo, hata kama mali hizo zitakuwa zimeisha, kwa sababu huwa inaacha lutuba pale ilipoishi kwa muda mrefu. Yeye huendelea kuwa na alama kubwa za utajiri wake huo, kwa sababu ya uwepo wa sehemu mbalimbali zilibalishwa na utajiri wake huo, maishani mwake.
Mtu huyo, hufanana na lile gunia la chumvi iliyogandamana ndani yake, kwa sababu naye huwa na alama za mali alizokwa nazo, katika maisha ya utajiri wake huo. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “gunia la chumvi halimalizi chumvi.”
Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuzitunza vizuri mali zao kwa kuzitumia kwa akili, ili ziweze kuwasaidia vizuri maishani mwao, na wale watakaowaachia mali hizo.
Mithali 27:23 – 24.
Mithali 19:4.
Luka 14:34 – 35.
ENGLISH: SALT IS NEVER FINISHED IN A SACK OF SALT.
The origin of this proverb began with the retention of salt in a sack in which it was placed. There were people who went to Nyalanja to fetch salt in their sacks. Nyalanja is located at Iramba place in Singida region. Those who went to fetch such salt came from the village of Idisa. When they brought it, they sold it until it was all gone in their sacks.
One day they ran out of salt for using in their vegetables. They tried to put their hands in a sack that contained the salt. When they removed their hands that looked salty, they shook the sack and found enough salt to use in their vegetables.
But the salt stuck in the sack that they were holding to show that it had salt in it. That is why the people said, “Salt is never finished in a sack of salt.”
This proverb is compared to the man who is rich in many things in his life. This person, in turn, has the marks to indicate the presence of the property he owned, including livestock, even if the property is depleted, because it usually loses its fertility when it has lived for a long time. He continues to have great marks of his wealth, because of the presence of various parts acclaimed by his wealth, in his life.
This person is like the salt bag which stuck in the sack, because he also has the marks of the wealth he possessed, in the life of his wealth. That is why people say to him that, “salt is never finished in a sack of salt.”
This proverb imparts in people an idea on how to take good care of their possessions by using them wisely, so that they can help them better in their family lives.
Proverbs 27: 23-24
Proverbs 19: 4
Luke 14: 34-35.