1030. ULU UDAMANILE GUCHA SULAGA MUJIGIRA.

Ikale olihoyi munhu uyo oliadamanile umo bhagachilaga abhanhu. Giko lulu, umunhu ng’wunuyo, wikalaga ubhikobhya abhiye bho gubhatula na gubhakenaguja ijikolo jabho.

Lushiku lumo agasumba lugendo ugasamba bhanhu bhalijika munhu, ubhabhuja, “mlitaji ahenaha?” namhala umo aganshokeja, “dulijika munhu ogayaga.” Uweyi agabhuja “ogayaga ginehe?”

Unanhala ng’winuyo, agang’wila, “sulaga umujigira umane igiki oyaga ugweshema.” Aho osula umujigira umunhu ng’wunuyo, agabhona umo bhaganjikira, unjimiji ng’wunuyo, ogosha noyi. Huna bhuyung’wila abhanhu bhuli ng’wene uyo alina nungwa ja bhubhi giki, “ulu udamanile gucha sulaga mujigira.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhitilaga ya bhubhi abhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga abhadalahile abhanhu kunguno ya bhudoshi bhokwe ubho gwibhona giki aliosolobho gukila abhiye. Uweyi agigakala bhung’wene aha kaya yakwe kunguno ya libhengwe lwake linilo ukubhiye, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo okenagulaga jikolo ja bhanhu iki oliadamanile umo bhagachilaga mpaga usanga bhanhu bhalijika, usula umujigira, kunguno nuweyi agabhitilaga miito gabhubhi abhiye umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhaganhugulaga bho gung’wila giki, “ulu udamanile gucha sulaga mujigira.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya guleka nhungwa ja bhutoshi bho gubhadalahija abhichabho, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwikala bho mholele na gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Mwanzo 3:19.

Ayubu 20:8-9.

Ayubu 14:10-12.

Yohana 11:11-14.

KISWAHILI: KAMA HUJUI KUFA CHUNGULIA KABURI.

Hapo zamani alikuwepo mtu mmoja ambaye hukujua wanavyokufa watu. Hivyo basi, aliwachokoza wenzake kwa kuwapiga na kuwaharibia mali zao. Siku moja alifunga safari akakuta watu wanamzika mtu, akawauliza, “munafanya nini?” Mzee mmoja akamjibu, “tunazika mtu amefariki.” Yeye akauliza tena, “amefariki namna gani?”

Yule mzee alimwambia, “chungulia kwenye kaburi ufahamu kwamba ameacha kupumua. Alipo chungulia kwenye kaburi hilo yule mtu, akamuona yule marehemu alivyozikwa, aliogopa sana. Ndipo watu wakawa wanamwambia mtu mwenye tabia mbaya kwamba, “kama hujui kufa chungulia kaburi.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwatendea matendo maovu wenzake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwadharau watu wengine kwa sababu ya majivuno yake ya kujiona yeye kuwa ni wa maana kuliko wenzake. Yeye huishi peke yake kwenye familia yake kwa sababu ya dharau zake hizo, maishani mwake.

Mtu huyo hufanana na yule aliyeharibu mali za wenzake kwa vile hukujua namna mtu anavyokufa, mpaka alipokuta mmoja anazikwa, kwa sababu naye huwatendea matendo maovu wenzake, katika maisha yake. Ndiyo maana watu hao humuonya kwa kumwambia kwamba, “kama hujui kufa chungulia kaburi.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuacha majivuno ya kuwadharau wenzao, katika maisha yao, ili waweze kuishi kwa amani na kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.

Mwanzo 3:19.

Ayubu 20:8-9.

Ayubu 14:10-12.

Yohana 11:11-14.

ENGLISH: IF YOU DON’T KNOW TO DIE PEEP INTO A TOMB.

Once upon a time there was a man who did not know how people die. Thus, he provoked his colleagues by striking them down and destroying their property. One day he made a trip and found people burying someone on the way, and he asked them, “What are you doing?” One of the elders answered, “We are burying a dead man.” He asked again, “How did he die?”

The old man said to him, “Look into the grave and know that he has stopped breathing. When he looked into the tomb, he saw the dead body of such person, and he was terrified. Then people would say to the immoral man, “if you don’t know to die peep into a tomb.”

This proverb is likened to a man who treats his fellow workers with contempt. This person, in turn, despises other people because of his arrogance of self-esteem. He lives alone in his family because of his contempt, in his life.

This person resembles the one who destroyed the property of his fellows because he did not know how a man dies, until he finds one buried, because he also does evil to his fellows, in his life. That is why they warn him by saying that, “if you don’t know to die peep into a tomb.”

This proverb teaches people on how to stop being arrogant and looking down on their neighbors, in their lives, so that they can live in peace and take good care of their families, in their lives.

Genesis 3:19.

Job 20: 8-9.

Job 14: 10-12.

John 11: 11-14.

beach-1238452__480

mourning-1589195__480

graveyard-993854__480

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Twitter picture

You are commenting using your Twitter account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.