Ulusumo lunulo, luhoyelile higulya ya bhulanhani bho ng’wa kugiki adizubishiwa na fugo ya bhugali bhuseb’u. Ikale olihoyi munhu uyo agazuka bhugali hikanza lya bhujiku. Aho obisha ubhugali bhunubho, agabhubhucha ajile gujubhutenga kugiki abhanhu bhalye.
Aliyo lulu, umunhu ng’wunuyo, agunang’wana nu ng’wana okwe umzila, ung’wila giki, “dutaka indili bhugali bhuseb’u.” Uguduta indili mumho, gwisesa bho gunyamuka numa kugiki akije gubishiwa nilifugo ilya bhugali ubhuseb’u bhunubho. Hunagwene abhang’wila ung’wana okwe ng’wunuyo giki, “dutaga indili bhugali bhuseb’u.” Ung’wa okwe ng’wunuyo agigwa wisesa gitumo agawililwa nu myaji okwe.
Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhalanhanaga chiza abhana bhakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga bihi na bhana wake bho gubhatongela inzila ijagwikala chiza na bhanhu, kunguno ya bhutogwa bhakwe bhutale ukubhana bhakwe bhanabho. Uweyi agabhakujaga abhana bhakwe pye abhose bho lilange lya gwikala bhidilile chiza bhuli ng’wene, kunguno ya nhungwa jakwe ijawiza jinijo, umuwikaji bhokwe.
Umunhu ng’winuyo, agikolaga nuyo agananhana ng’wana okwe ukija gupya fugo ya bhugali bhuseb’u, kunguno nuweyi agabhalanhanaga abhana bhakwe bho gubhawila bhaleke nhungwa ja bhubhi, kugiki bhikale najo ijagwidilila chiza, umuwikaji bhobho. Hunagwene agang’wilaga bhuli ng’wene giki, “dutaga indili bhugali bhuseb’u.”
Ulusumo lunulo, lolanga bhabyaji higulya ya gwikala na bhulalanhanu bho gubhalanhana chiza abhanhu bhabho, umukikalile kabho, kugiki bhakije bhulabhuka, nulu gulangwa nhungwa ja bhubhi na bhabihya, umuwikaji bhobho.
Waefeso 6:1-4.
Mithali 23:1-2.
Mithali 5:1-2.
Kutoka 20:12.
KISWAHILI: VUTA NGOZI UGALI NI WA MOTO.
Methali hiyo, huongelea juu ya utunzaji wa mtoto ili asiunguzwe na chungu cha ugali wa moto. Hapo zamani alikuwepo mtu mmoja aliyekuwa anapika ugali wakati wa usiku. Alipoivisha alibeba chungu cha ugali huo kwenda kutenga mezani ili watu wale.
Lakini basi, mtu huyo alikutana na mtoto wake njiani, akamwambia, “vuta ngovi ugali ni wa moto.” Maana yake, ni kumwambia arudi kinyume nyume ili asiunguzwe na chungu hicho cha ugali wa moto. Ndiyo maana alimwambia kwamba, “vuta ngozi ugali ni wa moto.” Mtoto huyo aliposikia hivyo alitii haraka kwa kutekeleza alichoambiwa na mzazi wake.
Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwaangalia vizuri watoto wake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa karibu nao hao watoto wake kwa kuwaongoza katika njia za kuishi vizuri na watu kwa sababu ya upendo wake huo mkubwa kwao. Yeye huwakuza watoto wake wote katika malezi mema ya kumjali kila mmoja, kwa sababu ya tabia yake hiyo njema, maishani mwake.
Mtu huyo, hufanana na yule mzazi aliyemlinda mwanae kwa kumwepusha kuunguzwa na chungu cha moto, kwa sababu naye huwalinda watoto wake kwa kuwalea katika malezi mema ya kuacha uovu na kutenda mema. Ndiyo maana yeye humwambia kila mmoja wao kwamba, “vuta ngozi ugali ni wa moto.”
Methali hiyo, hufundisha wazazi juu ya kuwa na umakini wa kuwalinda vizuri watoto wao, ili wasije wakaumizwa, au kufundishwa tabia ya kutenda maovu na waovu, maishani mwao.
Waefeso 6:1-4.
Mithali 23:1-2.
Mithali 5:1-2.
Kutoka 20:12.
ENGLISH: PULL THE SKIN THE STIFF PORRIDGE IS HOT.
This proverb talks about taking care of a child so that he is not burned by a pot of hot food. Once upon a time there was a man who was cooking stiff porridge at night. When he finished cooking it, he carried the pot of the stiff porridge to set aside on the table for people to eat.
But then, the man met his son on the way, and he said to him, “take a skin, the stiff porridge is hot.” What it means is to tell him to go back so that he doesn’t get burned by that hot pot. That is why he told him that, “pull the skin, the stiff porridge is hot.” When the child heard that, he obeyed quickly by doing what he was told by his parent.
This proverb is compared to the person who takes good care of his children, in his life. Such person is close to his children by guiding them in good ways enough to live well with people because of his great love for them. He raises all his children in a good upbringing by taking care for each one of them, because of his good character, in his life.
This person is similar to the parent who protected his son by preventing him from being burned by a pot of hot stiff porridge, because he also protects his children by raising them in a good upbringing enough to stop doing evil by doing what is good. That is why he tells each of them that, “pull the skin, the stiff porridge is hot.”
This proverb teaches parents to be careful enough to protect their children well, so that they are not hurt, or taught the habit of doing evil by evil doers, in their lives.
Ephesians 6:1-4.
Proverbs 23:1-2.
Proverbs 5:1-2.
Exodus 20:12.