stories

83. Mbuki ya Bhulaga Numba: Mbuki-Wandijo wa Mihayo

Collected by: Don Sybertz,  

With special thanks to Rev Joe Healey  (African proverbs,Sayings and stories)

Waliho ngosha, akatojiwa na Ise. Aliyo walatantongilwe  unke. Akahadikijiwa Nuse, wiyumilija kwikala nang’hwe unkima ng’weji ngima.  Aho gwashila ung’weji uja kujudima ng’ombe  ha  ng’wabho bhuko wiza watungaga maswa.

Aho wiza lulu unke uhaya kung’wanukula  kanigo kenako. Ung’wila,  “Lekaga  kunanukula,  shilimo shikolo shitale.”   “Shikolo ki?”  “Ilimo mbuki  yane.”  Maswa aya gukatulwa  ha lugutu.

Aho wandya kushema,  unkima  nang’hwe uhaya,  “Nilole mbuki iyo yaluhayiwagwa.” Aho wadima maswa, alole ishilimo umugati,  ungosha walushemaga  wiponya  inhunda  ya mabhele ulila ng’hungu, “Wadima ha mbuki yane.”  Wandya lulu kuntula unke.  Ngosha uneka  unke, ushoka ku ng’wawe. Yubhiza lulu mbuki yabhulaga kaya.

Kiswahili: Kisa Kilichovunja Nyumba

Alikuwepo kijana mmoja aliozeshwa na baba yake. Lakini hakumpenda mke wake kwa vile alilazimishwa. Alivumilia kuishi na mke wake kwa muda wa mwezi mmoja. Lakini ulipomalizika muda huo, alikwenda kuchunga ng’ombe wa mkwewe.

Aliporudi kutoka huko, alifunga mzigo wa nyasi. Alipowasili nao pale nyumbani, mkewe alitaka kumpokea mzigo ule. Lakini alikataliwa, “Acha kunipokea kwani kuna kitu ndani.”  “Kuna kitu gani ndani?” mkewe aliuliza.

“Kuna mana.” Nyasi zile zikawekwa kando ya kizizi. Alipoanza kukamua, mwanamke naye akasema, “Ngoja niangalie mana ambayo imo ndani ya nyasi hizi.”

Alipoushika mzigo ili aangalie kilichomo ndani, mume aliyekuwa anakamua, chombo cha maziwa alikitupa, akalia kwa sauti kubwa na kusema, “Umeshika mana yangu.”  Hapo akaanza kumpiga mke wake na kumrudisha nyumbani kwa wazazi wake. Hicho ndicho kisa kilichovunja mji.

breakupENGLISH: AN INCIDENT THAT BROKE THE MARRIAGE

There was a young man whose father married him a wife. But he did not love his wife because he was married by force. He endured living with his wife for a month. But thereafter, he went to take care of his father-in-law’s cattle.

When he came back from there, he came with a load of grasses. When he arrived at his house, his wife wanted to  receive the load. But the husband rejected, “Do notcarryit  because there is something valuable inside.” “What is it that is inside?” His wife asked.

“There is manna.” Then that tuft of grasses was put near the cowshed. The husband was busy milking a cow.The woman wanted to use that opportunity and she said, “Let me look at the manna that is in this grass.”

When she was trying to do that, the man who was holding a milking container threw it and loudly shouted, “You are touching my manna.” He immediately began to beat his wife and that became the justification for sending his wifeback to her parents. That is the incident that broke the marriage.

divorce-2

82. Ntale Osi Nyerere Na Nzala

Collected by: Don Sybertz,
With special thanks to Rev Joe Healey (African proverbs,Sayings and stories)

Ng´waka 1974 Itanzania igabhiza ni yanga lwa nzala. Bhanasi bhagayisaila iSelekari kulwa nguno ya kugaiwa ginhiwa jiliwa. Iki jiliwa ja nzala jalijahujumiwa na bhanhu abho bhagimana bhoi duhu.

Ku iniyo, abhanasi bhagapandika iyange itale. Jililo ja abho abhatina nguvu, jiganshigila úntale o si, ung´walimu Julius Nyerere.

Aho owigwa ubhulalamiki bhobho, wamua gugayelela ama mabhelele gose ayo gatumikaka umugujitula ijiliwa ja gubhagabhila bhule ung´wishirika lya si lwa bhushisha (NMC).

Lushiku lumo aho ali kunjini go Shinyanga, Ung´walimu agita jito ja gubhashesha abhanhu, ja guzwala majitambalala makulukulu na ngofila ubhi giti munhu ung´wilombeleja.

Aho oshika aha nyango go NMC, nduhu munhu nulu umo uyo agamhana. Wishebeleja lumo na lumo mpaga mu ofisi ya ng´wa meneja, bho nduhu guzunulijiwa tamu.

Agapiga hodi aha nyango na guhamuka aliyomba, “Aying´we bhanhu umugati umo!” “Nambilijagi, natina jiliwa ukukaya yane!” Meneja unshokeja, “Lekaga gudukoya namhala ebhe! Ingaga ahenaha! Jaga jako uko isoko ugigulile ijiliwa. Kihamo ni iniyo, Nyerere agendelea gubhikumbilija, “Bhabehi, nambilijaji! Nagucha na nzala.”

Aliyo bhadandegelekile, umeneja na bhambilija bhakwe, bhagendelea kujinja mubei ya higulwa na bhasuluja abha bhagashika ho gugula ijiliwa jenijo ja nzala, ijo jalijidakililwa kugabhanyiwa bhule ku bhanasi abho bhalibhadinajo.

Gashinaga ili nghana igiki,
Uo lwiguto adanmanile uo nzala.

Inghalikilo yaho, Unyerere agagufungula unyango na gwingila muofisi. Wangu wangu agakungula amajitambalala na ngofila yenuyo, na heneho, wimanyicha kubhoi igiki ali nani, bho nduhu guyomba mhayo gosegose. Pye bhuding´wa na bhujinjimazu, bho gukumya!

Aho Ntale osi Nyerere oshoka Dar es salama, igatangajiwa giki, umeneja ng´wenuyo na bhambilija bhakwe, bhapejiwagwa imilimo ya gubhatumamila abhanhu kulwa nguno ya juhuma iyo bhagiyita.

Tukio La Rais Nyerere Na Njaa
Mwaka 1974 Tanzania iliandamwa na janga la njaa. Wananchi waliilalamikia serikali kwa vile walikosa kupewa chakula. Kwani kile chakula cha njaa kilihujumiwa kwa maslahi ya watu binafsi.

Hivyo, wananchi walipata usumbufu mkubwa. Kilio cha wanyonge kilimfikia Rais Mwalimu Julius Nyerere. Baada ya kuyasikia malalamiko yao, akaamua kuyatembelea maghala yote yaliyotumika kuhifadhia chakula cha kugawa bure kwenye shirika la Taifa la Usagishaji (NMC).

Siku moja akiwa mjini Shinyanga, Mwalimu Nyerere alifanya vioja kwa kuvaa matambara na kofia kuukuu kama omba omba. Alipowasili kwenye lango la NMC, hakuna mtu hata mmoja aliyeweza kumtambua. Akajipenyeza moja kwa moja hadi kwenye ofisi ya meneja, bila ya kupata kibali kwanza.

Alipiga hodi mlangoni na kupaza sauti akisema, “Enyi watu ndani humo!” Nisaidieni, sina chembe ya chakula nyumbani kwangu!” meneja akamjibu, “Acha kutubughudhi mzee wewe! Ondoka hapa! Nenda zako huko sokoni ukajinunulie chakula. Hata hivyo, Nyerere aliendelea kuwasihi, “Jamani, nisaidieni! Nitakufa kwa njaa.

Lakini kwamwe hawakumsikiliza, badala yake, meneja na wasaidizi wake wakaendelea kulangua na wafanyabiashara waliofika kununua kile chakula cha njaa ambacho kingepaswa kugawiwa bure kwa wananchi wahitaji.

Kumbe ni kweli kwamba:
Mwenye shibe hamjui mwenye njaa!

Mwishoni, Nyerere aliufungua mlango na kuingia ofisini. Ghafla akavua yale matambara na ile kofia, na hapo hapo akajidhihirisha kwao kuwa ni nani, bila ya kusema neno lolote. Wote walishikwa na butwaa!

Baada ya Rais Nyenye kurejea Dar es Salaam, ilitangazwa kwamba yule meneja na wasaidizi wake waliwajibishwa kwa kufukuzwa kazi kwa hujuma.

Kiswahili: Tukio La Rais Nyerere Na Njaa

Mwaka 1974 Tanzania ilikumbwa na janga la njaa. Wananchi waliilalamikia Serikali kwa vile walikosa kupewa chakula. Kwani  kile chakula cha njaa kilihujumiwa kwa maslahi ya watu binafsi.

Hivyo, wananchi walipata usumbufu mkubwa. Kilio cha wanyonge kilimfikia Rais Mwalimu Julius Nyerere. Baada ya kuyasikia malalamiko yao, akaamua kuyatembelea maghala yote yaliyotumika kuhifadhia chakula cha kugawa bure kwenye shirika la Taifa la Usagishaji (NMC).

Siku moja akiwa mjini Shinyanga, Mwalimu Nyerere alifanya vioja kwa kuvaa matambara na kofia kuukuu (iliyochakaa) kama omba omba. Alipowasili kwenye lango la NMC, hakuna mtu hata mmoja aliyeweza kumtambua. Akajipenyeza moja kwa moja hadi kwenye ofisi ya meneja, bila ya kupata kibali kwanza.

Alipiga hodi mlangoni na kupaza sauti akisema, “Enyi watu ndani humo!” Nisaidieni, sina chembe ya chakula nyumbani kwangu!” meneja akamjibu, “Acha kutubughudhi mzee wewe! Ondoka hapa! Nenda zako huko sokoni ukajinunulie chakula. Hata hivyo, Nyerere aliendelea kuwasihi, “Jamani, nisaidieni! Nitakufa kwa njaa.

Lakini kamwe hawakumsikiliza, badala yake, meneja na wasaidizi wake wakaendelea kulangua na wafanya biashara waliofika kununua kile chakula cha janga la njaa, ambacho kilipaswa kugawiwa bure kwa wananchi wahitaji.

Kumbe ni kweli kwamba:

Mwenye shibe hamjui mwenye njaa!

Mwishoni, Nyerere aliufungua mlango na kuingia ofisini. Ghafla akavua yale matambara na ile kofia, na hapo hapo akajidhihirisha kwao kuwa ni nani, bila ya kusema neno lolote. Wote walishikwa na butwaa!

Baada ya Rais Nyerere kurejea Dar es Salaam, ilitangaza kwamba yule meneja na wasaidizi wake waliwajibishwa kwa kufukuzwa kazi kwa hujuma.

begging-

English: President Nyerere Disguises Himself as a Beggar

In 1974 Tanzania had a serious famine. The government provided famine relief, but the food was not getting to the people who complained to the authorities. The President of Tanzania, Julius Nyerere, heard about the complaints and decided to visit all the storehouses of the National Milling Company (NMC) where the food was being kept.
One day Nyerere visited the NMC in Shinyanga. He disguised himself as a beggar wearing worn out clothes and an old hat. When he arrived at the gate of the NMC no one recognized him. He passed through the gate without permission and went straight to the office of the manager. He knocked on the door and yelled out, “Hey, you people in there. Help me. I don’t have any food.” The manager answered, “Stop bothering us, old man. We don’t have any food here. Go to the market and buy some for yourself.” As the African proverb says: A satisfied person does not know the hungry person.
Nyerere continued to cry out, but no one paid any attention. The manager and his assistants were busy with some local business men who were buying the famine relief food that was supposed to go to the Tanzanian people. Finally Nyerere opened the door and walked into the office. He immediately took off his hat and made himself known. Needless to say, the manager was speechless.
After President Nyerere returned to Dar es Salaam, it was announced that the manager of the NMC in Shinyanga had been fired together with some of his assistants.

child

 

81. Ng´wana Na Ndege

Collected by: Don Sybertz,

With special thanks to Rev Joe Healey (African proverbs,Sayings and stories)

Lushiku lumo ng´wana oyelaga na bhabha okwe. Huna ung´wana ng´wenuyo ubhona ginhu ijo jililala ng´wigulwa. Umuja ubhabha okwe, “Bhabha, iginhu ijo jililala ung´wigulwa ni ki?”

Ubhabha okwe, unshokeja, “Ng´wanone, iginhu ijo jilitanwa, ndege (Aeroplen). Bhaliho bhanhu umugati yayo, bhingi du.” Ung´wana ubhuja, “Abhanhu bhenabho umugati yayo bhagadula ginehe ugushiga ukunuko kwigulwa?”

Ubhabha ogo ushosha, “Ng´wanone, abhanhu bhenabho bhadashikile ukunuko kwigulwa, ili giki, indege, igika hasi gubhasola na gubhachala kwigulwa.

Mtoto Na Aeropleni
Siku moja mtoto alikuwa anatembea na Baba yake, mara yule mtoto akaona chombo kinachoruka juu angani. Akamwuliza Baba yake, “Baba, kile chombo kinachoruka juu angani ni nini?”

Baba yake akamjibu, “Mwanangu, kile chombo kinaitwa ndege (Aeroplen) kuna watu ndani yake, ni wengi tu.” Mtoto akauliza, “Je, hawa watu ndani yake waliwezaje kufika huko juu?”

Baba yake akajibu, “Mwanangu watu hawa hawakufika kule juu, bali ndege (Aeroplen) ilishuka chini kuwachukua na kuwapeleka juu.”

Kiswahili: Mtoto Na Ndege (Aeropleni)

Siku moja mtoto alikuwa anatembea na Baba yake, mara yule mtoto akaona chombo kinachoruka juu angani. Akamwuliza Baba yake, “Baba, kile chombo kinachoruka juu angani ni nini?”

Baba yake akamjibu, “Mwanangu, kile chombo kinaitwa ndege (Aeroplen) kuna watu ndani yake, ni wengi tu.” Mtoto akauliza, “Je, hawa watu ndani yake waliwezaje kufika huko juu?”

Baba yake akajibu, “Mwanangu watu hawa hawakufika kule juu, bali ndege (Aeropleni) hushuka chini kuwachukua na kuwapeleka juu.”

aeroplane

ENGLISH: A CHILD AND THE AIRCRAFT

One day, the child was walking with his father.As they did that, the child saw an object flying in the sky. Then, he asked his father, “Father, what is that object lying in the sky?”

His father replied, “My son, that objectis called airplane (Aeroplane).There are many people in it.” The child asked, “How did these people in it get that high in the sky?”

His father replied, “My son these people did not go up there, but the plane comes down to take them and then it takes them up.”

80. Jidalulaga Bhu Nhumbati

Collected by: Don Sybertz,

With special thanks to Rev Joe Healey (African proverbs,Sayings and stories)

Walaliho nkima akatolwa ha kaya imo, nina bhuko walatantogagwa, ulu jupya shiliwa bhumega kamo duhu. Huna ngikulu wahaya giki “Jitalulaga bhu nhumbati.” (Kiti itumbati) tukulya na ntondo, huna lulu unina bhuko ufunda shiliwa.

Ng’winga nang’hwe wingaho uja ku maji yakwe kujulala. Kakanza kadabhitile Ngikulu nang’hwe utenga shiliwa kihamo na bhana bhakwe bhandya gulya.

Nose ngoshi akamuja unke, “Bhebhe ng’wana mbati, wakondile shenishi bhuli, uli mhola ahene, nangi woyile ukulya, nulu ugusataga?” Nali mhola duhu.

Lushiku lumo bhuhaya tubhulage mbuli tulye wa nyama, ngoshi agakobha nzila ya kumana unke alikonda bhuli. Aho bhabisha ishiliwa wibhanda mu kaya umu ng’holo (how does this nelate to the buleng of the goat) alihaya giki, nanole unke wane ulu agalyaga chiza, bhumega kamo duhu, ujijiwa shiliwa, uhaya ngikulu “Jitalulaga bhu nhumbati, tukulya na ntondo.

Aho winga unke, bhutenga, huna lulu bhandya gulya gashinaga unyanda wibhandile mu ng’holo. Aho bhamala ugulya ukang’wila unke, ambu gashi udalyaga, nang’hwe unke unshokeja, nani waguwila, nabhonaga nene ng’wenekili iki nali nibhandile umu ng’holo aho winga ubhebhe bhiyo bhutenga bhandya gulya na bhana bhakwe. Unyanda ung’winjaho bhizugila ugina na gugina.

Kiswahili: Hakiwi Kichungu Kama Tumbaku

Kulikuwa na mwanamke aliolewa kwenye mji  mmoja. Mama mkwe alikuwa hampendi. Chakula kikiiva wanamega mara moja tu, huyo Mama mkwe wake anasema hivi, “Hakiwi kichungu kama tumbaku.” (kama tumbaku) tutakula na kesho. Kwa hiyo sasa Mama mkwe anatoa chakula. Mwinga wake anaogopa na kwenda kwenye nyumba yake kulala.

Muda haukupita Mama mkwe akatenga chakula pamoja na watoto wake wakaanza kula. Mwishowe mme akamuuliza mke wake, “Wewe binti fulani, kwa nini umekonda hivi? Je uko mzima kweli? Labda huli au unaumwa.” Mke wake akajibu, “Niko mzima tu.”

Siku moja wakasema, “Tuchinje mbuzi tule nyama.”  Mwanaume akatafuta njia ya kujua mke wake kwa nini anakonda. Walipoivisha chakula, alijificha ndani kwenye kondoo, akasema kwamba leo nione mke wangu kama anakula vizuri.

Walimega mara moja tu, akakatazwa chakula akisema mama mkwe, “Hakiwi kichungu kama tumbaku, tutakula na kesho.”  Alipoondoka mkwe  wakatenga ndipo wakaanza kula.

Kumbe kijana amejificha kwenye kondoo, walipomaliza kula akaenda kumwambia mke wake, “Kumbe huli? Naye mke wake akamjibu, “Nani kakwambia?”  “Nimeona mimi mwenyewe, kwa sababu nilijificha kwenye kondoo, ulipoondoka wenzako walitenga tena wakaanza kula na watoto wake.” Kijana akamuondoa, wakajipikia (wakaishi peke yao), akanenepa na kunenepa.

black-and-white-.jpg

ENGLISH: IT DOES NOT BECOME BITTER AS TOBACCO.

There was a married woman in one family. Hermother-in-law did not like her. Whenever the food was served, her mother-in-law said, “It does not become bitter like tobacco.” (Like tobacco) we will eat tomorrow. So her mother-in-law could gives her a small quantity of food. Her daughter-in- law was full of fear. She just went to her house to sleep.

When the daughter in law went to sleep, the mother-in-law took food and she and her children began to eat. Finally, the husband asked his wife, “You daughter of somebody why have you become thin like this? Are you really fine? Maybe you don’t eat well enough or you are sick.”His wife replied,“ I’m just fine. ”

One day,the family said, “We are going to slaughter a goat.” The man was eager to to know why his wife was thinning. When they cooked food, the man was hiding among  the sheep, saying,“Today,I will see if my wife is eating well.”

As usual, the mother-in-law, took a large portion of food and  said, “It does not become bitter like tobacco, we will eat it tomorrow.” When she left the mother-in-law, began to eat.

The young man who was hiding among the sheep appeared,when they hadfinished eating.Then he said to his wife, “Oh, my wife you do not eat well enough!”His wife answered, “Who has told you?” “I saw it myself, because I decided to hide myself among the sheep.After you had left, mother and the children started eating the larger portion that they had put aside.” Because of that, the young man took his wife away.There, they could cook their own food in abundance (as they lived alone in their family).She became fat again.

79. Jigano: Ngikulu Na Makelule Gakwe

Collected by: Don Sybertz,

With special thanks to Rev Joe Healey (African proverbs,Sayings and stories)

Kale ya kale waliho ngikulu umo, lina lyakwe witanagwa Yamikala. Aliyo wali nogi ntale no. Na wali na makelule mingi ga nyalogi logi. Bhanhu bhali bhang’ogohile no.

Hambunu muchalo jenijo ja si ya Makungu, ikajuka sata, bhanhu bhuyucha no. Bhazengi bha Si yeniyo, bhali bhatazunyaga giki ili sata ya gwenhwa na Welelo. Maganiko gabho pye gabhatumaga giki bhanhu bhalimalwa na gamboshi ya ng’wa Yamikala.

Sha lushiku lumo bhazengi bhakafula mhembe ya kwibhilinga. Aha bhakwila bhituma bhanjile uYamikala nogi. Bhize bhamuje ni bhuli bhanhu bhabho alibhamala.

Aha bhituma guja, Yamikala wikalaga na salago na kanoni, aliyo salago jikabhina na kanoni kung’wila- “Yamikala simizaga, bhaliza bhanishi.” Haho na haho Yamikala na kizukulu gakwe kaniki bhufuma bhuja mungunda, bhukingila nguno gwali hihi haho.

Aho bhashika abhatung’wa bhenabho hakaya henaho, bhusanga nduhu nulu munhu. Gashinaga umo wa bhanhu uyo wali bihi wamonaga ungikulu ng’wenuyo aho alingila umungunda. Ubhawila, aho bhigwa giko, bhituma bhugiza pye bhugunyamanija ungunda.

Hambunu aho wabhona chene Yamikala, wigalucha ubhiza Dundo pye na kizukulu gakwe. Bhulala kwigulya bhuja na guja, bhugagwila kule gete.

Bhang’wano bhakiyunga bhatabhonile nuluki, pye bhumana hape giki idundo jenijo wali nu Yamikala na kizukulu gakwe. Bhubalasana bhuja bhuli ng’wene kaya, kulwa yeniyo, aho jakwila shiku, Yamikala wiza bhujiku na bhiye, usomba pye ishikolo shakwe usama na gusama.

Kwinga henaho ichalo ju hola. Aliyo uko agasamila Yamikala –aha jakwila ishiku, chalo ijo ju sebha, nose abha munzengo bhuyu nkobha kuntema panga, aliyo bhakaduma. Nose Yamikala uyuhaya, “Unene nabhiza shigishigi ulu unifuta munhu.”

Sha lushiku lumo, Yamikala usata no. Akagema pye inzila ija kwilagula uduma. Ubhawila abhahemba bhakwe giki, “Ng´wizukulu wane, ludimilage ululembo ulwangalile. Kwike umane giki, Welelo italemelagwa. Gisi unene yaniduja, nduhu natupila gete. Ucha na kucha.

Kiswahili: Hadithi: Bibi Kizee Na Udanganyifu Wake

Zamani za kale alikuwepo Bibi kizee, jina lake aliitwa, Yamikala. Alifikiriwa kuwa mchawi na watu wapigao ramli. Alikuwa na udanganyifu mkubwa wa kimazingaombwe. Watu walimwogopa sana.

Hivyo katika kijiji hicho cha nchi ya Makungu, uliingia ugonjwa. Watu walikuwa wanakufa mno. Wakaaji wa nchi hiyo, hawakukubali kwamba ugonjwa huo uliletwa na Mungu. Mawazo yao yote yaliwatuma kwamba watu wanamalizwa na gamboshi ya mwana Yamikala.

Ilifika siku moja wakaaji walipuliza pembe ya kukusanyika. Walipokuwa wengi wakatumana kumwendea yule Yamikala waliyemfikiria kuwa mchawi. Lengo lao lilikuwa kuja kumuuliza ni kwanini alikuwa anawamaliza.

Walipotumana kwenda, Yamikala alikuwa na chale (hisia za kutambua kitu fulani kinatokea) na ndege. Chale zilicheza na ndege kumwambia, “Yamikala tembea, wanakuja maadui.” Hapo Yamikala na kajukuu kake kasichana, wakatoka kwenda shambani, wakaingia kwa sababu lilikuwa karibu hapo.

Walipofika wale waliotumwa nyumbani kwake hawakukuta hata mtu. Kumbe mmoja wa watu waliokuwa karibu walimuona akiingia shambani humo. Akawaambia, waliposikia hivyo, wakatumana wote wakaja wakalizingila shamba hilo.

Hivyo, alipoona hivyo Yamikala, akajigeuza akawa ndege aitwaye “Dundo” wakaluka juu wakaenda, wale watu wakakosa kabisa mle.

Watu wa yowe walizunguka bila kuona hata kitu. Wote wakajua wazi kwamba, ndege yule “dundo” walikuwa Yamikala na kijukuu chake. Wakasambaa wakaenda kila mmoja nyumbani kwake. Kwa hiyo, zilipopita siku nyingi, Yamikala alikuja usiku na wenzake. Akasomba vitu vyake akahama.

Tokea hapo kijiji kikawa kimepoa. Lakini alikohamia Yamikala, zilipopita siku nyingi, watu walianza kuamini kuwa kijiji hakikuwa sawa. Hali hiyo wale wakaaji wanaomini hivyo, wakaanza kumtafuta kumkata panga, lakini walishindwa. Mwishowe Yamikala, akawa anasema akitamba kuwa, yeyé alikuwa tishio, mtu akimfuata atakufa.

Siku moja, Yamikala aliuugua mno. Alijaribu njia zote za kujiuguza akashindwa. Akawaambia wafuasi wake hivi, “Mjukuu wangu, shikilila dhana hii uitunze. Lakini ufahamu kwamba, Mungu hakataliwi. Hivi mimi ameniweza, hapana sitapona kabisa. Baada ya kusema hivyo, akafa.

(Hadithi hiyo, inafundisha kwamba, Mungu ana uwezo mkubwa kupita shetani. Yafaa tumwamini Mungu na kumfuata Yesu kwa Imani moja iliyo ya kweli).

old-lady

ENGLISH: THE OLD LADY’S STORY AND HER DECEPTION

In ancient times, there was an old woman, whose name was Yamikala. She was thought to be a witch by fortune-tellers. She had a great deception. People feared  her a lot.

So in the village of Makungu, there was a disease outbreak. So many people were dying. The inhabitants of the country did not accept that the disease was brought by God. All their thoughts sent them to the people of the Gamboshi (a believed town of witches) especially Ng’wana Yamikala.

There came a time when the residents decided to call a meeting. They blew a horn to make them assemble. When they were in a good number, they discussed and concluded  that Yamikala was the sorcerer who caused trouble. Their goal of the meeting was to ask her why she was finishing them.

When they got to go, Yamikala had some intuitive power (that enabled her to sense that something bad would happen). That power made  the bird tell her, “Yamikala leave.The enemies are coming.” Yamikala and her granddaughter went out to the field.They entered into it because it was nearby.

When they came to her house, they did not find anyone. One of the people in the neighbourhood said he had seen her going into the field. When they had heard these things, they surrounded the field.

So, when she saw the danger surrounding her, Yamikala turned herself into a bird called “Dundo.”She flew up and went away.

The crowd went around without seeing anything. They all knew that, Yamikala and her grand daughter had been turned in “Dundo.” Then, the crowd went home. So, after many days, Yamikala came at night with her colleagues. She picked up her things and moved.

Since then the village has became calm. But whereYamikala moved to, after many days, people began to believe that the village was not the same. The people who lived in that new country wanted to kill her. But they failed. Finally, Yamikala, started to boast herself, saying that she was a threat, if a person followed her, that person would die.

One day, Yamikala fell sick. She tried all the ways of self-indulgence but in vain. Seeing this, she told her follower, “My grand daughter, hold on to this concept that you are holding. But realize that God is not rejected. So I have, I will never recover. After saying this, she died.

(That story teaches that God has greater power than Satan. It requires us to believe in God and follow Jesus with one true faith.”