Shinyanga

1075. NADOSELA NG’WA GOGOJA.

Imbuki ya kahayile kenako, ilolile bhukumuku bho ng’wa munhu uyo witanagwa Gogoja. Umunhu ng’wunuyo wikalaga na bhahemba bhakwe abho obhalangaga kikalile kawiza na bhanhu kunguno ya witegeleja bhokwe umuchalo jakwe.

Abhahemba bhakwe bhenabho obhalomelaga mihayo ya gubhabheja chiza umumioyo jabho. Hunagwene bhayombaga giki, “nadosela ng’wa Gogoja.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli ntongeji obhanhu uyo agabhatongelaga chiza abhanhu bhakwe, umuwikaji bhokwe. Untongeji ng’wunuyo, agigashaga kihamo na bhanhu bhakwe bhalungalunga ahigulya ya milimo iyo bhalihaya guitumama, kunguno alinabhutogwa bhutale ukubhoyi. Uweyi agabhenhelaga bhuyegi abhanhu bhakwe umubhutongeji bhokwe kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe.

Untongeji ng’wunuyo agikolaga nu Gogoja uyo obhalangaga kikalile kawiza abhahemba bhakwe, kunguno nuweyi agabhatongelaga chiza abhanhu bhakwe, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhakwe bhagayombaga giki, “nadosela ng’wa Gogoja.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gubhatongela chiza abhanhu bhabho, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhanhu bhabho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 11: 28-29.

Zaburi 46:2.

Zaburi 138:7.

KISWAHILI: NAJIVUNIA KWA GOGOJA.

Chanzo cha msemo huo, huangalia umaalufu wa mtu anayeitwa Gogoja. Mtu huyo, aliishi na wafuasi wake ambao aliwafundisha namna ya kuishi vizuri na watu kwa sababu ya maisha yake kuwa mazuri, kijijini mwake.

Wafuasi wake hao huwa anawaeleza maneno yenye hekima ya kuifurahisha mioyo yao. Ndiyo maana wao husema kwamba, “najivunia kwa Gogoja.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa kiongozi wa watu ambaye huwaongoza vizuri watu wake, katika maisha yake. Kiongozi huyo, hupanga mipango yake kwa kukaa pamoja na watu wake ili kuwasikiliza na kupata mawazo yao, kwa sababu ya upendo wake kwa watu wake hao. Yeye huwaletea furaha watu wake katika uongozi wake kwa sababu ya umakini wake huo, katika uongozi wake.

Kiongozi huyo, hufanana na Gogoja aliyewaongoza vizuri wafuasi wake, kwa sababu naye huwaongoza vizuri wananchi wake, katika uongozi wake. Ndiyo maana watu wake hao husema kwamba, “najivunia kwa Gogoja.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa makini kwa kuwaongoza watu wao vizuri, ili waweze kuishi kwa amani maishani mwao.

Mathayo 11: 28-29.

Zaburi 46:2.

Zaburi 138:7.

cow-1908327__480

steaks-271818__480

calf-3680638__480

ENGLISH: I AM PROUD OF GOGOJA.

This saying looks at the popularity of a person whose name was Gogoja. This person lived with his followers whom he taught them on how to live well with people because of his moral life, in his village.

He always told his followers wise words that can make their hearts happy. That is why they say, “I am proud of Gogoja.”

This saying is compared to a leader of people who leads his people well, in his life. This leader makes his plans by sitting together with his people enough to listen to them and get their thoughts, because of his love for his people. He brings happiness to his people in his leadership because of his focus, in his leadership.

This leader resembles to Gogoja who led his followers well, because he also leads his citizens well, in his leadership. That is why his people say that, “I am proud of Gogoja.”

This saying imparts in people an idea of being careful by leading their people well, so that they can live peacefully in their lives.

Matthew 11: 28-29.

Psalm 46:2.

Psalm 138:7.

1074. NZUGU NAYO IBHILI.

Akahayile kenako, kahoyelile higulya ya bhulombi bho gunhi kulimunhu nhebhe. Olihoyi munhu umo uyo agaja gujulomba igembe habhuzenganwa bho gwiganika giki agupandika duhu kunguno ya widebhi bhokwe nu nzenganwa okwe ng’wunuyo.

Aliyo lulu aho oshiga ahakaya yiniyo, agagayiwa iligembe linilo kunguno bhalibhaja gujugalimia amagembe gabho pye agose abhanhu abha ha kaya yiniyo. Aho ogayiwa umunhu ng’wunuyo, agadebha igiki unombi ojikolo adulile gupandika nulu gugayiwa. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “nzugu nayo ibhili.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agapangaga milimo yakwe bho nduhu ugumwisanya Mulungu uyo ayidebhile pye iyose. Umunhu ng’wunuyo agatumamaga milimo yakwe bho gwipangila weyi ng’winikili duhu kunguno ya gugayiwa guzunya gokwe ukuli Mulungu. Uweyi agadumaga uguimala chiza imilimo yakwe kunguno ya gwiisanya weyi ng’wikili duhu bho nduhu ugwiiganika iyo apangile Mulungu uyo agayimalaga pye iyose, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agajuugayiwa ijikolo ijo olandaga aha bhuzenganwa, kunguno nuweyi agiisanyaga weyi duhu umubhutumami bhokwe bho nduhu ugumana umo apangilile umulungu, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “nzugu nayo ibhili.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwita iyo atogilwe UMulungu bho gung’wisanya weyi ubhutumami bho milimo yabho, kugiki bhadule gupandika mbango ja guimala chiza imilimo yabho yiniyo na gwikala chiza na bhichabho, umuwikaji bhobho.

1Samweli 17:38 – 51.

Yohana 21: 1-14.

Mathayo 4: 1- 14.

KISWAHILI: NJOO NAYO MAWILI.

Msemo huo, huongelea juu ya uombaji wa kitu fulani kwa mtu. Alikuwepo mtu mmoja ambaye alienda kuomba jembe kwa jirani yake akiwa na wazo la kupata bila kukosa kwa sababu ya uelewano waliokuwa nao kati yake na yule jirani.

Lakini basi alipofika kwenye familia hiyo, alikosa hilo jembe kwa sababu watu wa pale walikuwa wameenda kuyalimia majembe yote. Alipokosa alielewa kuwa, kumbe muombaji anaweza kupata au kukosa. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “njoo nayo mawali.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hupanga kazi zake bila kumshirikisha Mungu ambaye huikamilia yote. Mtu huyo, hufanya kazi zake kwa kujipangia mwenyewe tu bila kutegemea mpango wa Mungu kwa sababu ya kukosa imani kwa Muumba wake huyo. Yeye hushindwa kufanikwa katika kazi zake kwa sababu ya kukosa msaada ya Mungu awezaye kumpatia mafanikio hayo yote, maishani mwake.

Mtu huyo hufanana na yule aliyeenda kuazima kitu akitegemea kupata lakini akakosa, kwa sababu naye hufanya kazi zake kwa kujitegemea mwenyewe tu bila kumshirikisha Mungu, katika kazi zake hizo. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “njoo nayo mawili.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuuelewa na kutimiza mpango wa Mungu kwa kumtegemea Yeye katika utekelezaji wa majukumu yao, ili waweze kupata Baraka za kufanikiwa vizuri katika kazi zao na kuishi vizuri na wenzao, maishani mwao.

1Samweli 17:38 – 51.

Yohana 21: 1-14.

Mathayo 4: 1- 14.

black-women-7047086__480

women-5935801__480

fight-1564959__480

ENGLISH: COME WITH BOTH TWO.

This saying talks about the request of something for someone. There was a man who went to ask his neighbor for a hoe with the idea of ​​getting one without missing because of the understanding they had between him and the neighbor.

But then when he arrived at the family, he missed the hoe because the people there had gone to work with all hoes. When he missed, he understood that, well, the applicant can get or miss. That is why people told him that, “come with both two.”

This saying is compared to the person who plans his work without involving God who completes it all. Such person does his work by planning for himself without relying on God’s plan because of his lack of faith in his Creator. He fails to succeed in his works because of the lack of God’s help who can give him all that success in his life.

This person is like the one who went to borrow something hoping to get it but failed, because he also does his work independently without involving God in his work. That is why people told him that, “come with both two.”

This saying teaches people about understanding and fulfilling God’s plan by relying on Him in the implementation of their responsibilities, so that they can get the Blessings of being successful in their work and living well with their nobles in their lives.

1 Samuel 17:38 – 51.

John 21: 1-14.

Matthew 4:1-14.

1073. NYANDA ALING’WISHIGWA.

Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile Nyanda uyo oling’wishigwa. Unyanda ng’wunuyo, wigushaga chiza na bhiye na hangi osomaga bho gubhigwa abhalangi bhakwe mpaga nose ukumuka umuchalo jakwe kunguno ya likujo lyakwe linilo. Hungwene abhanhu bhagang’witana giki, “Nyanda aling’wishigwa.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alinilange lya wiza aha kaya yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhalelaga abhanhu bhakwe bho gubhiza ni kujo kubhanhu bhose bho nduhu ugubhakomanya, kunguno ya bhutengeke bhokwe bhunubho. Uweyi agabhabokelaga bhanhu bhingi aha kaya yakwe, abho agabhalangaga mihayo ikujo lya gwikala bho mholele na bhichabho, kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe.

Umunbu ng’wunuyo, agikolaga nu nyanda uyo wikagalaga chiza na abhiye kunguno nuweyi agikalaga chiza na bhanhu bho gubhalanga kikalile kagubhakuja pye abhanhu, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “Nyanda aling’wishigwa.”

Akayayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza ni kujo lya gwikala chiza na bhichabho bho gwiyambilija gutumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Mithali 3:9-12.

1Thimotheo 1:8-10.

1Petro 3:8-9.

Mithali 23:1-2.

KISWAHILI: KIJANA MWENYE HESHIMA.

Chanzo cha msemo huo chaongelea juu ya kijana mwenye heshima. Kijana huyo, alikuwa akicheza vizuri na wenzake na msikuvu pia kwa walimu wake ambao walimtambua kwa usomaji wake mzuri na kwa sababu ya heshima aliyokuwa nayo. Hali hiyo iliwawezesha wanakijiji alimoishi kumtambua vizuri. Ndiyo maana watu walimuita kwamba ni “kijana mwenye heshima.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huilea familia yake katika maadili mema, maishani mwake. Mtu huyo, huwalea watu wake kwa kuwaeleza maneno ya hekima yanayowasadia kuwaheshimu watu wao vizuri, kwa sababu ya uaminifu wake huo, katika maisha yake. Yeye huwapokea watu wengi kwenye familia yake wanaokuja kusikiliza maneno ya hekima ya kuishi vizuri na watu, kwa sababu ya kuuishi ukweli, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na kijana aliyeishi vizuri na wenzake, kwa sababu naye huishi na watu vizuri kwa kuwafundisha maneno ya hekima ya kuishi vyema na wenzao, maishani mwao. Ndiyo maana watu walimuita yeye kuwa ni “kijana mwenye heshima.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na hekima ya kuishi vizuri na watu kwa kusaidiana katika kuyatekeleza vizuri majukumu yao, ili waweze kuzilea vyema familia zao.

Mithali 3:9-12.

1Timotheo 1:8-10.

1Petro 3:8-9.

Mithali 23:1-2.

ENGLISH: UPRIGHT YOUNG MAN.

The basis of this saying speaks of a respectable young man. This young man was playing well with his nobles and was also a good friend to his teachers who recognized him for his good reading and because of the respect he had. This situation enabled the villagers where he lived to recognize him well. That is why people called him an “upright young man.”

This saying is matched to the person who raises his family in good values, in his life. This person, nurtures his people by telling them words of wisdom that help them respect their people well, because of his honesty, in his life. He receives many people in his family who come to listen to words of wisdom for living well with people, because of living the truth, in his life.

This person is similar to a young man who lived well with his colleagues, because he also lives well with people by teaching them words of wisdom which can assist them to live well with their colleagues, in their lives. That is why people called him an “upright young man.”

This saying teaches people about having wisdom of living well with people by helping each other in performing their duties well, so that they can raise their families well.

Proverbs 3:9-12.

1 Timothy 1:8-10.

1 Peter 3:8-9.

Proverbs 23:1-2.

african-2523649__480

people-2590813__480

masai-warrior-474731__480

1072. B’AGULEKA AB’IYO UGUJA NA NANI?

Akahayile kenako, kahoyelile bhulekwa bho ng’wa munhu nabhiye abho bhali mulugendo. Umulugendo lunulo, bhali bhanhu bhadatu abho bhagaliga hali kaya kugiki bhapandika jiliwa kunguno bhalibhatuubha noyi. Aliyo lulu, aho bhahaya ugubhuka, ung’wikachabho agilendeja mpaga bhuneka abhiye kunguno ya wiyibhu bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu abha ha kaya yiniyo, bhagamuja uyo olekagwa ng’wunuyo giki, “bhaguleka abhiyo uguja na nani?”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agilendejaga ugutumama imilimo yakwe bho gudilila mihayo yingi, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, agajaga ugujutumama imilimo ogilendeja mu mihayo yingi iyo idina solobho, kunguno ya wiyiibhu bhokwe bhunubho. Uweyi agadumama uguyimala chiza imilimo yakwe, kunguno ya wilendeja bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agilendeja mpaga ulekwa na bhiye umulugendo lunulo, kunguno nu weyi agajaga kumilimo yakwe ogilendeja mumihayo yingi iyo idinasolobho umuwikaji bhokwe bhonubho. Hunagwene abhanhu bhagamujaga giki, “bhaguleka abhiyo uguja na nani?”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gudilila milimo yabho chiza bho guitumama mpaga bhayimala, kugiki bhadule gupandika sabho ja gubhambilija chiza, umuwikaji bhobho, bhunubho.

Mwanzo 18:10-15.

2Wakorintho 3:10-12.

Luka 1: 26-38.

KISWAHILI: WAMEKUACHA WENZAKO UTAENDA NA NANI?

Msemo huo, huongelea juu ya kuachwa kwa mtu mmoja na wenzake waliokuwa katika safari. Safari hiyo, ilikuwa ya watu watatu ambao walipita kwenye familia moja kwa ajili ya kupata chakula kwa sababu walikuwa na njaa sana.

Lakini basi, walipotaka kuondoka mmoja wao alijisahau mpaka wenzake wakamuacha kwa sababu ya kujisahau kwake huko. Ndiyo maana watu wa kwenye familia hiyo walimuuliza kwamba, “wamekuacha wenzako utaenda na nani?”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hujisahau kuzitekeleza kazi zake kwa kujali kazi zingine mpaka anachelewa kuzimaliza kazi hizo, katika maisha yake. Mtu huyo, huenda kufanya kazi na kuchelewa kuzitekeleza kwa kuanza kuongelea mambo mengine, kwa sababu ya kujisahau kwake huko. Yeye hushindwa kuzimaliza kazi zake vizuri kwa sababu ya kujali mambo mengi Zaidi kuliko kazi zake hizo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyejisahau mpaka akaachwa na wenzake katika safari hiyo, kwa sababu naye hupoteza muda wa kufanya kazi kwa kujali mambo mengine, maishani mwake. Ndiyo maana watu humuuliza kwamba, “wamekuacha wenzako utaenda na nani?”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kujali kazi zao kwa kuzitekeleza vizuri, badala ya kufuata mambo mengine katika maisha yao, ili waweze kupata mafanikio mengi zaidi, maishani mwao.

Mwanzo 18:10-15.

2Wakorintho 3:10-12.

Luka 1: 26-38.

man-6900166__480

men-7030144__480

people-7271043__480

ENGLISH: YOUR COMPANIONS HAVE LEFT YOU, WHO WILL GO WITH YOU?

This saying talks about an abandonment of one person who left by his companions who were on a journey. The trip was for three people who went to a family to get food because they were very hungry.

But then, when they wanted to leave, one of them forgot his trip by doing other things until his colleagues left him because of his doing of other things instead of traveling. That is why the people of that family asked him that, “your companions have left you, who will go with you?”

This saying is compared to the person who forgets to do his work by caring about other things until he is late to finish his required work in his life. Such person goes to work late by starting to talk about other things, because of his self-forgetfulness. He fails to complete his tasks well because of caring about other things instead of doing his tasks in his life.

This person resembles the one who forgot himself by doing other things until he was left by his companions on the journey, because he also loses time of work by caring about other things in his life. That is why people ask him that, “your companions have left you, who will go with you?”

This saying teaches people about taking care of their works by doing them well, instead of following other things in their lives, so that they can get more success in their lives.

Genesis 18:10-15.

2 Corinthians 3:10-12.

Luke 1: 26-38.

1070. KALAGU – KIZE. MUNHU NAMBU AHA KAYA ODUDUNDUGAJA AYISE – NZUKI.

Imbuki ya kalagu yiniyo ilolile wikaji bho nzuki. Inzuki jinijo jigingilaga na gwikala munumba ja bhanhu abho bhagajizunilijaga kunguno ya gujiganikila giki jili bhudugu nabho. Aliyo lulu, ulushigu jasayaga jigabhalumagulaga mpaga lulu gubhabhulaga gete abhamo bhabho. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagahayaga giki, “munhu nambu ahakaya odudundukaga ayise – Nzuki.”

Ikalagu yiniyo, igalengajiyagwa kuli munhu uyo agikalaga ahumulile aliyo munholo yakwe alina bhuchilu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga kihamo na bhiye umutumami bho milimo yakwe, uyo agakenyiyagwa hadoo duhu opelana na gwandya kutula bhanhu kunguno ya bhuchilu bhokwe bhunubho. Uweyi agabhalabhulaga bhanhu bhingi noyi abho agikalaga nabho kunguno ya bhulambu na bhujidigwa bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni nzuki ijo jigasayaga jandya gubhaluma abhanhu bhahene aho jigikala, kunguno nuweyi agakenyiyagwa hadoo duhu wandya gubhatula abhanhu abho agikalaga nabho, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagayombaga giki, “munhu nambu ahakaya odudundukaga ayise – Nzuki.”

Ikalagu yiniyo yalanga bhanhu higulya ya gwikala na bhanhu chiza bho guleka bhuchilu bho sagara, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwiyambilija gutumama milimo yabho chiza, umuwikaji bhobho.

Mwanzo 4:10 – 14.

Wagalatia 1:7-8.

Mathayo 26:14 – 16.

Tito 1:5-11.

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

MTU KICHWA NGUMU HAPA NYUMBANI AMETUSHINDA SISI – NYUKI.

Chanzo cha kitendawili hicho, chaangalia maisha ya nyuki. Nyuki hao huingia na kuishi kwenye nyumba za watu wale ambao huwaruhusi kwa sababu ya kuwafikiria kuwa ni ndugu zao. Lakini siku wamekasirika huwauma hata mpaka kuwaua kabisa baadhi ya watu hao waishio kwenye nyumba hiyo. Ndiyo maana watu husema kwamba, “mtu kichwa ngumu hapa nyumbani ametushinda sisi – Nyuki.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwa kimya lakini ndani ya moyo wake anahasira kali, katika maisha yake. Mtu huyo, huishi pamoja na wenzake katika utekelezaji wa majukumu yao, ambaye akichokozwa kidogo tu hukasirika na kuanza kuwapiga watu wale anaoishi nao kwa sababu ya hasira yake hiyo kali. Yeye huwaumiza watu wengi wale wanaoishi naye, kwa sababu ya kiburi na hasira zake hiyo kali, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na wale nyuki waliokasirika na kuanza kuwauma watu wa kwenye familia ya pale walipo, kwa sababu naye pia huchokozwa kidogo tu na kuanza kuwapiga watu anaoishi nao. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mtu kichwa ngumu hapa nyumbani ametushinda sisi – Nyuki.”

Kitendawili hiyo, hufundisha watu juu ya kuishi vizuri na watu kwa kuachana na hasira zisizo na maana katika maisha yao, ili waweze kusaidiana katika kuyatekeleza vizuri majukumu yao, maishani mwao.

Mwanzo 4:10 – 14.

Wagalatia 1:7-8.

Mathayo 26:14 – 16.

Tito 1:5-11.

bees-326337__480

bees-345628__480

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

A STUBBORN PERSON WHO HAS DEFEATED US AT HOME – BEE.

The origin of this paradox looks at the life of bees. The bees enter and live in houses of people who allow them because they think that they are their relatives. But when they are angry, they bite them until they completely kill some of the people who stay in that house. That is why people say that, “a stubborn person who has defeated us at home – bee.”

This paradox is compared to the person who stays silent but in his heart he is very angry, in his life. Such person lives with his colleagues in the execution of their duties, who if provoked just in a little matter gets angry and starts beating people whom he lives with because of his strong anger. He hurts many people who live with him, because of his pride and strong anger, in his life.

This person resembles the bees that got angry and started stinging the people who live in that family where they are, because he is also provoked just in a little  matter and starts hitting people whom he lives with. That is why people tell him that, “a stubborn person who has defeated us at home – bee.”

This riddle teaches people on how to live well with people by letting go of unnecessary anger in their lives, so that they can help each other in carrying out their responsibilities well, in their lives.

Genesis 4:10 – 14.

Galatians 1:7-8.

Matthew 26:14 – 16.

Titus 1:5-11.

bees-352206__480