1075. NADOSELA NG’WA GOGOJA.

Imbuki ya kahayile kenako, ilolile bhukumuku bho ng’wa munhu uyo witanagwa Gogoja. Umunhu ng’wunuyo wikalaga na bhahemba bhakwe abho obhalangaga kikalile kawiza na bhanhu kunguno ya witegeleja bhokwe umuchalo jakwe.

Abhahemba bhakwe bhenabho obhalomelaga mihayo ya gubhabheja chiza umumioyo jabho. Hunagwene bhayombaga giki, “nadosela ng’wa Gogoja.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli ntongeji obhanhu uyo agabhatongelaga chiza abhanhu bhakwe, umuwikaji bhokwe. Untongeji ng’wunuyo, agigashaga kihamo na bhanhu bhakwe bhalungalunga ahigulya ya milimo iyo bhalihaya guitumama, kunguno alinabhutogwa bhutale ukubhoyi. Uweyi agabhenhelaga bhuyegi abhanhu bhakwe umubhutongeji bhokwe kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe.

Untongeji ng’wunuyo agikolaga nu Gogoja uyo obhalangaga kikalile kawiza abhahemba bhakwe, kunguno nuweyi agabhatongelaga chiza abhanhu bhakwe, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhakwe bhagayombaga giki, “nadosela ng’wa Gogoja.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gubhatongela chiza abhanhu bhabho, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhanhu bhabho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 11: 28-29.

Zaburi 46:2.

Zaburi 138:7.

KISWAHILI: NAJIVUNIA KWA GOGOJA.

Chanzo cha msemo huo, huangalia umaalufu wa mtu anayeitwa Gogoja. Mtu huyo, aliishi na wafuasi wake ambao aliwafundisha namna ya kuishi vizuri na watu kwa sababu ya maisha yake kuwa mazuri, kijijini mwake.

Wafuasi wake hao huwa anawaeleza maneno yenye hekima ya kuifurahisha mioyo yao. Ndiyo maana wao husema kwamba, “najivunia kwa Gogoja.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa kiongozi wa watu ambaye huwaongoza vizuri watu wake, katika maisha yake. Kiongozi huyo, hupanga mipango yake kwa kukaa pamoja na watu wake ili kuwasikiliza na kupata mawazo yao, kwa sababu ya upendo wake kwa watu wake hao. Yeye huwaletea furaha watu wake katika uongozi wake kwa sababu ya umakini wake huo, katika uongozi wake.

Kiongozi huyo, hufanana na Gogoja aliyewaongoza vizuri wafuasi wake, kwa sababu naye huwaongoza vizuri wananchi wake, katika uongozi wake. Ndiyo maana watu wake hao husema kwamba, “najivunia kwa Gogoja.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa makini kwa kuwaongoza watu wao vizuri, ili waweze kuishi kwa amani maishani mwao.

Mathayo 11: 28-29.

Zaburi 46:2.

Zaburi 138:7.

cow-1908327__480

steaks-271818__480

calf-3680638__480

ENGLISH: I AM PROUD OF GOGOJA.

This saying looks at the popularity of a person whose name was Gogoja. This person lived with his followers whom he taught them on how to live well with people because of his moral life, in his village.

He always told his followers wise words that can make their hearts happy. That is why they say, “I am proud of Gogoja.”

This saying is compared to a leader of people who leads his people well, in his life. This leader makes his plans by sitting together with his people enough to listen to them and get their thoughts, because of his love for his people. He brings happiness to his people in his leadership because of his focus, in his leadership.

This leader resembles to Gogoja who led his followers well, because he also leads his citizens well, in his leadership. That is why his people say that, “I am proud of Gogoja.”

This saying imparts in people an idea of being careful by leading their people well, so that they can live peacefully in their lives.

Matthew 11: 28-29.

Psalm 46:2.

Psalm 138:7.

Leave a comment

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.