sayings

950. LYAHIB’AHIB’A.

Lyahib’ab’a bhuli bhutumami bho milimo ubho bhuli bho wangu wangu. Ubhutumami bhunubho, bhugamalaga nimo wangu kunguno ya gutumila nguzu nyinyi ijo jigasolaga ikanza iguhi duhu goshila unimo gunuyo. Hunagwene abhanhu abho bhali bhabhona bhagayombaga giki, “lyahib’ab’a.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyaga ku bhanhu abho bhagatumamaga milimo yabho bho bhukamu bhutale mpaga bhayimala chiza, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho, bhagigulambijaga gutumama milimo yabho bho nduhu ugwigedyagedya, kunguno bhahayile bhapandike wangu ijo bhalijichola, umubhutumami bhobho. Abhoyi bhagaponaga majiliwa mingi noyi, kunguno ya bhukamu bhobho bhunubho ubho gwigulambija gutumama milimo mpaga bhayimala wangu chiniko, umuwijaji bhobho.

Abhanhu bhenabho, bhagabhalangaga abhanhu bhabho higulya ya gubhiza na bhukamu bho kutumama milimo yabho chiza kunguno ya bhutogwa bhobho ubho bhali nabho, ukubhanhu bhabho. Hunagwene bhagabhawilaga abhanhu bhenabho giki, “lyahib’ab’a.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kubhiza na bhukamu bho gwigulambija gutumama milimo yabho bho wangu wangu mpaga bhayimale, kugiki bhadule kupandika majiliwa mingi, umukaya jabho.

Waroma 12:11.

Wagalatia 6:9.

Mathayo 24:13.

Luka 9:61.

 

KISWAHILI: LA CHAPU CHAPU.

La chapu chapu ni utekelezaji wa kazi ambao ni wa haraka haraka. Utekelezaji huo, humaliza kazi haraka kwa sababu ya kuweka nguzu nyingi zinayotumika ambazo huiwezesha kazi hiyo, kuisha mapema. Ndiyo maana watu wanaowaona husema kwamba “la chapu chapu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa watu wale ambao huyatekeleza majukumu yao kwa bidii kubwa mpaga kuyamaliza, katika maisha yao. Watu hao, hujibidisha kufanya kazi bila kutegea kwa sababu wanataka wafanikiwe kupata chakula kingi. Wao hupata chakula kingi katika maisha yao kwa sababu ya bidii yao hiyo ya kujibidisha kufanya kazi kwa haraka mpaka kuzimaliza, maishani mwao.

Watu hao, huwafundisha pia watu wao juu ya kuwa na bidii ya kufanya kazi zao vizuri kwa sababu ya upendo walio nao kwao. Wao huwawezesha pia wenzao kupata mafanikio mengi katika utekelezaji wa kazi zao. Ndiyo maana huwaambia watu hao kwamba, “la chapu chapu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na bidii ya kujibidisha kufanya kazi zao kwa haraka mpaka kuzimaliza, ili waweze kupata mafaniko mengi, maishani mwao.

Waroma 12:11.

Wagalatia 6:9.

Mathayo 24:13.

Luka 9:61.

african-worker

ENGLISH: IT IS DONE HASTILY.

This saying refers to a quick doing a works. This implementation completes tasks in a very short time because of putting much efforts in them. That is why people who see them working say that, “it is done hastily.”

This saying is applied to people who perform their duties with great diligence from the beginning of a given work to the end of it, in their lives. These people work hard because they want to get a lot of food for feeding their family members. They, as a result, manage to get enough food in their lives because of their hard working lives.

These people also teach their people on how to be diligent in doing well their works because of the true love they have for them. They also enable their fellows to achieve greater successes in carrying out their tasks. That is why they tell them that, “it is done hastily.”

This saying imparts in people an idea on how to be diligent in doing their jobs fast until they finish them, so that they can find more successes in their societies.

Romans 12:11.

Galatians 6: 9.

Matthew 24:13.

Luke 9:61.

 

948. NG’WENDA GWA SHIGI.

Akahayile kenako, kalolile ng’wenda uyo gugishiganilagwa. Ung’wenda gunuyo, gwishiganilagwa na bhanhu bhabhili abho bhuli ng’wene ahayaga giki gubhize gokwe. Abhanhu bhenabho bhagaguyogela nose ung’wenda gunuyo kunguno bhuli ng’wene ong’ang’anilaga gubhize gokwe. Hunagwene abhanhu bhagagwinatana giki, “ng’wenda gwa shigi.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kubhakima bhabhili abho bhatolilwe mhali na ngosha umo. Abhakima bhenabho, bhagikalaga bhuli ng’wene ahayile giki ungosha wikale kuliweyi duhu gwa ishigu. Abhoyi bhagidumaga nose kunguno ya wilu bhunubho ubho bhuli ng’wene ahayele abhize kuli weyi ungosha ng’wunuyo shigu jose.

Ungosha ng’wunuyo, agikolaga nu ng’wenda uyo gwishiganilagwa na bhanhu bhabhili, kunguno nuweyi agishiganilagwa na bhakima abhabhili bhenabho abho bhuli ng’wene atogilwe wikale kuli weyi pye shigu. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “ng’wenda gwa shigi.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witoji bho nkima na ngosha umo duhu, kugiki bhadule gupandika mbango ja gujib’eja chiza ikaya jabho, umukawiji bhobho.

Waefeso 5:21-33.

Wagalatia 5:16-26.

Waefeso 5:1-6.

1 Wakorintho 7:1-16.

KISWAHILI: NGUO YA KUSHINDANIA.

Msemo huo, huangalia nguo inayoshindaniwa. Nguo hiyo, ilishindaniwa na watu wawili ambao kila mmoja alitaka iwe yake. Watu hao, walifikia hatua ya kuigombania nguo hiyo kwa sababu ya kila mmoja kuendelea kutaka iwe yake. Ndiyo maana watu waliita nguno hiyo kuwa ni “nguno ya kushindania.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa wanawake wawili wa mitala walioolewa na wanamume mmoja. Wanawake hao, huwa kila mmoja wao anataka yule mwanamume akae kwake siku zote. Wao hukosana kwa sababu ya wivu wa kila mmoja kutaka yule mme awe kwake tu.

Mwanamume huyo, hufanana na ile nguo iliyoshindaniwa na wale watu wawili, kwa sababu naye hushindaniwa na wale wanawake wawili ambao kila mmoja wao hutaka awe kwake siku zote. Ndiyo maana watu humuita kuwa ni “nguo ya kushindania.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na ndoa ya mke mmoja tu, ili waweze kupata Baraka za kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Waefeso 5:21-33.

Wagalatia 5:16-26.

Waefeso 5:1-6.

1 Wakorintho 7:1-16.

women-21

ENGLISH: A GARMENT FOR PEOPLE TO COMPETE FOR.

This saying looks at a garment which has two owners. This dress is contested by two men who each one want to own it. These men went so far as to fight for the garment because everyone continued to want it as his own. That is why people called the garment that “a garment of competition.”

This saying is applied to two polygamous women who are married to the same man. These women, every one of them wants the man to stay with her all the time. They quarrel because of each other’s jealousy of wanting the man to be her own.

This man is like the garment in which the two men competed, because he is also competed by the two women who each want to be with him always. That is why people call him “a garment of competition.”

This saying teaches people on how to have monogamous marriage, so that they can get the Blessings for living a peaceful life in their families.

Ephesians 5: 21-33.

Galatians 5: 16-26

Ephesians 5: 1-6.

1 Corinthians 7: 1-16.

944. IB’I LYANE.

Akahayile kenako, kahoyelile bhub’i bho ng’wa munhu. Olihoyi munhu uyo oliob’yala ng’wana olihanga lib’i. Abhanhu bhali bhadantogagwa ung’wana ng’wunuyo, kunguno ya lihanga lyakwe linilo. Aliyo lulu, umyaji okwe wikalaga nang’hwe duhu. Hunagwene uweyi agayomba giki, “ib’i lyane.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabokelaga iyo igenhagwa kuli weyi na Mulungu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, alina guzunya kutale ukuli Mulungu okwe, kunguno abhudebhile chiza ubhudula bhokwe ubho bhukililile pye ubho bhanhu. Uweyi agambilijiyagwa na Mulungu umumilimo yakwe kunguno ya guzunya gokwe gunuyo ukuli weyi, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu myaji o ng’wana wi hanga lib’i uyo agambokela ung’wana okwe ahakaya yakwe, kunguno nu weyi agabokelaga chiza iyo agitilagwa nu Mulungu, umukikalile kakwe. Hunagwene agayombaga giki, “ib’i lyane.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gub’iza na guzunya gutale ukuli Mulungu bho gujibokela chiza ijo abhabhinhaga, kugiki bhadule gupandika mbango ja gub’iza na matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Mwanzo 2: 22-24.

I Wakorintho 7:1-16.

Waefeso 6:1-4.

Mithali 4:1-10.

KISWAHILI: BAYA LANGU.

Msemo huyo, huongelea ubaya wa mtu. Alikuwepo mtu aliyezaa mtoto mwenye sura mbaya. Watu hawakumpenda mtoto wake huyo kutokana na muonekano wake huo mbaya. Lakini mzaji wake huyo, aliishi naye kama kawaida. Ndiyo maana alisema kwamba ni “baya langu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule apokeaye mapenzi ya Mungu katika maisha yake. Mtu huyo, ana imani kubwa kwa Mungu wake kwa sababu anaufahamu uwezo wake unaopita ule wa wanadamu wote. Yeye hupata msaada kutoka kwa Mungu katika utekelezaji wa majukumu yake, kwa sababu ya imani yake hiyo kubwa kwake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule mzazi aliyekubali kuishi na mtoto wake mwenye sura mbaya, kwa sababu naye pia huyapokea vizuri mapenzi ya Mungu, katika maisha yake. Ndiyo maana yeye husema kwamba ni ‘baya langu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na imani kubwa kwa Mungu kwa kuyapokea mapenzi yake kwao, ili waweze kupata Baraka za kuwaletea mafanikio mengi, maishani mwao.

Mwanzo 2: 22-24.

I Wakorintho 7:1-16.

Waefeso 6:1-4.

Mithali 4:1-10.

lesotho-12

lesotho-11

ENGLISH: MY BAD ONE.

This saying looks at a woman’s wickedness. There was a woman who gave birth to an ugly child. People did not like her baby because of her ugly appearance. But her mother lived with her as usual. That is why she said that she is “my bad one.”

This saying is compared to a person who receives God’s will in his life. This man has great faith in God because he knows his great power which is beyond what is normal. He receives God’s help in carrying out his responsibilities, because of his great faith in Him, in his life.

This man is like the parent who agrees to live with her ugly child, because he also receives the will of God, in his life. He lived with others even the ugly ones. That is why he says that each one is “my bad one.”

This saying teaches people of having great faith in God by accepting His will to them, so that they can receive the blessings of bringing them great success, in their lives.

Genesis 2: 22-24.

I Corinthians 7: 1-16.

Ephesians 6: 1-4.

Proverbs 4: 1-10.

943. NINALYO ILIB’ANGILO.

Akahayile kenako, kalolile ginhu ijo jidulile gunhanghana munhu uyo ajisanije, umukikalile kakwe. Iginhu jinijo jigang’winhaga nguzu uyo alijo. Hunagwene agayombaga giki, “ninalyo ilib’angilo.”

Akahahile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agalanghanagwa na Mulungu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’winuyo, agatumamaga milimo yakwe bho gung’wisanya Mulungu kunguno uweyhi huyo alina nguzu kulebha pye abhanhu. Uweyi agapandikaga matwajo mingi umumilimo yakwe, kunguno ya mbango ijo aginhagwa na Mulungu, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo oliwisanya ginhu ja nguzu, kunguno nuweyi ang’wisanije Mulungu uyo alina nguzu gukila pye abhanhu, ijo jigananghanaga, umukikalile kakwe. Hunagwene agayombaga giki, “nali nalyo ilib’angilo.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kunzunya na gung’wisanya Mulungu umubhutumami bhobho, kugiki bhadule gupandika mbango ja gubhiza na matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Zaburi 61:2-4.

Zaburi 66:5-9.

Mathayo 14:34-38.

Mathayo 11:27-30.

KISWAHILI: NINAYO KINGA.

Msemo huo, huangalia kitu kinachoweza kumlinda mtu anayekitegemea, katika maisha yake. Kitu hicho, humpatia nguvu aliye nacho. Ndiyo maana mtu huyo, husema kwamba, “ninayo kinga.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule anayelindwa na Mungu, katika maisha yake. Mtu huyo, huyatekeleza majukumu yake kwa kumtegemea Mungu, kwa sababu huyo ndiyo mwenye uwezo mkubwa kupita watu wote. Yeye hupata maendeleo mengi katika kazi zake, kwa sababu ya Baraka anazopewa na Mungu, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyetegemea kitu chenye nguzu, kwa sababu naye humtegemea Mungu aliye na uwezo wa kuwapita watu wote, ambao humlinda katika maisha yake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “ninayo kinga.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kumwamini Mungu na kumtegemea Yeye katika kazi zao, ili waweze kupata Baraka za kuwa na mafanikio mengi, maishani mwao.

Zaburi 61:2-4.

Zaburi 66:5-9.

Mathayo 14:34-38.

Mathayo 11:27-30.

worship-

ENGLISH: I HAVE A PROTECTION.

The overhead saying looks at something that can protect a person who depends on it, in life. This protection gives the power to him which he believes to have. That is why this person says that, “I have a protection.”

This saying is equaled to the person who is protected by God, in his life. This person, in turn, fulfills his role by relying on God, who is is the most powerful one in the universe. He makes great progresses in his works by giving thanks to the blessings of God which have been to him, in his life.

This person resembles the one who relies on something supernatural, because he also relies on God who is able to transcend all human beings by protecting him in his life. That is why he says that, “I have a protection.”

This saying imparts in people an idea of believing in God and relying on Him in their works, so that they can receive blessings of being very successful in their lives.

Psalm 61: 2-4.

Psalm 66: 5-9.

Matthew 14: 34-38.

Matthew 11: 27-30.

942. NENE NG’WENUYU NALYA WIYAB’I.

Olihoyi munhu uyo wigalulaga bho gutumila wiyab’i bhutale. Nzenganwa okwe agamuja, “nibhuli ugusiminzaga ugambalile chiniko?” Uweyi agashosha, “nagutumilaga wiyabhi bhone.” Unzenganwa okwe agashosha, “ulu ubhutumila shib’i uwiyabhi bhoko bhunubho ugupandika makoye, umukikalile kako.” Uweyi agashosha, “nene ng’wenuyu nalya wiyab’i.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhutumilaga shib’i uwiyab’i bhokwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agiyagalulaga bho gubhaluhya abhiye kunguno ya libhengwe lyakwe ubhuyi. Uweyi agidumaga na bhiye kunguno ya wiyagaluji bhokwe bhunubho, ubho bhugenhaga makoye ukubhanhu bhakwe, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo olyaga wiyabhi bho gusiminza agimbalile, umukikalile kakwe, kunguno nu weyi agiyagalulaga mpaga obhenhela makoye obhiye, umukikalile kakwe. Hunagwene agayombaga giki, “nene ng’wenuyu nalya wiyab’i.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza ni kujo lya gubhutumia chiza uwiyab’i bhobho, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Mwanzo 3:1-16.

Yohana 8:31-36.

KISWAHILI: MIMI HUYU NIMEKULA UHURU.

Alikuwepo mtu mmoja aliyeishi kwa kutumia uhuru mkubwa. Jirani yake alimuuliza, “kwa nini unatembea kwa kujipanga hivyo?” Yeye alijibu, “nautumia uhuru wangu.” Jirani yake akajibu, “ukiutumia vibaya uhuru wako utapata matatizo katika maisha yako.” Yeye alijibu, “mimi huyu nimekula uhuru.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huutumia vibaya uhuru wake, katika maisha yake. Mtu huyo, hufurahia kwa kuwatesa wenzake kwa sababu ya dharau yake kwao. Yeye hukosana na wenzake kwa sababu ya kuutumia vibaya huo uhuru wake, unaoleta matatizo kwa watu wake hao, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekula uhuru wake kwa kutembea kwa majigambo, katika maisha yake, kwa sababu naye huutumia vibaya uhuru wake mpaka unaleta matatizo kwa wenzake, katika maisha yake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “mimi huyu nimekula uhuru.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na busara ya kuutumia vizuri uhuru wao, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, maishani mwao.

Mwanzo 3:1-16.

Yohana 8:31-36.

african-woman1

underground-

 

boy-1

 

ENGLISH: I HAVE EATEN FREEDOM.

There was one man who lived by enjoying great freedom. His neighbor asked him, “Why are you walking all the way?” He replied, “I exercise my freedom.” His neighbor replied, “If you abuse your freedom you will have problems in your life.” He replied, “I have eaten freedom.”

This saying is compared to a person who abuses his freedom, in his life. This man, however, rejoices in torturing his fellow men because of his contempt for them. He quarrels with his colleagues because he abuses his freedom, which causes him problems to his people, in his life.

This person is like the one who ate his freedom by walking proudly, in his life, because he also abuses his freedom by causing problems to his fellows, in his life. That is why he says that, “I have eaten freedom.”

This saying teaches people on how to be wise enough to make the best use of their freedom, so that they can live in peace with each other, in their lives.

Genesis 3: 1-16.

John 8: 31-36.