sayings

986. JIDIGWA.

Ujidigwa ali munhu uyo alina matu gachib’ile. Umunhu ng’wunuyo, adinabho ubhudula ubho gwigwa mhayo uyo guliyombwa na bhiye kunguno ya bhuchib’i bho matu gakwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “jidigwa.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina nhungwa ja jab’ub’i, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agahugulagwa ng’hangala ningi na abhiye ulu ohub’a, aliyo ugwigwa nduhu, kunguno agashokelaka gwita mihayo ya bhubhi yiniyo. Uweyi agapandikaga makoye ga guyisalambanya sagala ikaya yakwe, kunguno ya bhudijigwa bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo oli na matu gachib’ile, kunguno nuweyi adigwaga ugujileka inhungwa ija bhub’i jakwe jinijo, ulu ohugulwa na bhiye, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “jidigwa.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuzunya guhugulwa na bhichabho, bho kuleka nhungwa ja bhub’i, umubhutumami bhobho, kugiki bhadule kujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

Wagalatia 3:1-14.

KISWAHILI: ASIYESIKIA.

Asiyesikia ni mtu yule ambaye ana masikio yaliyoziba. Mtu huyo, hana uwezo wa kusikia neno analoambiwa na wenzake, kwa sababu ya kuziba kwa masikio yake hayo. Ndiyo maana watu humuita kwamba ni mtu “asiyesikia.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana tabia mbaya katika maisha yake. Mtu huyo, huwa anatenda maovu na kuonywa wenzake, mara kwa mara, lakini huwa hasikii kwa sababu ya tabia yake hiyo ya kurudia kutenda maovu. Yeye hupata matatizo ya kuisambalatisha familia yake, kwa sababu ya kutokusikia kuacha kutenda maovu hayo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekuwa na masikio yaliyoziba, kwa sababu naye huwa hasikii kwa kuacha kutenda maovu anapoonywa na wenzake, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humuita kuwa ni mtu ‘asiyesikia.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kukubali kuonywa na wenzao, kwa kuacha tabia ya kutenda maovu, katika utekelezaji wa majukumu yao, ili waweze kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.

Wagalatia 3:1-14.

woman-22

market-

ENGLISH: THE ONE WHO DOES NOT HEED.

The deaf is the one whose ears cannot hear. This person is unable to hear the word which is being spoken to him by his companions, because of such disabilities of his ears. That is why people call him “the one who does not heed.”

This saying is compared to a person who has evil habit in his life. This person often does evil things and is warned by others, but he does not listen because of his recurring behavior. He breaks up his family because of his unwillingness to stop doing these evil things in his life.

This person resembles the one who had ears’ disability, because he also does not listen enough to stop doing evil when he is warned by his fellows in life. That is why people call him “the one who does not heed.”

This saying teaches people about accepting warnings of their fellows, by refraining from committing evil deeds in fulfilling their duties, so that they can well raise their families in their lives.

Galatians 3: 1-14.

ferry-1

984. LUKWA LO JIHUNDI.

Ijihundi ili ngume iyo yolechije wikenya bho bhanhu abho bhatumamaga nimo go gulimila lukwa lo ngese. Abhanhu bhenabho, bhagayoga na gwikenya mpaga bhuyangulwa na bhanhu abho bhagiyigwa iyombo yabho. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagayomba giki, “lukwa lo jihundi.” Ulukwa lunulo luli lukwa lo gwitulila.

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kukaya iyo ili na bhanhu bhagumana bhuyoga bhuli makanza. Ikaya yiniyo, yigiyojaga bhuli makanza kunguno ya kugayiwa ng’wigwano. Iyoyi idalamaga shigu ningi kunguno ya gugayiwa ililange ilya gwidegeleka chiza linilo, umuwikaji bhobho.

Ikaya yiniyo, igikolaga na bhalimu abho bhagikenya mpaga bhuyileka ingese yabho, kunguno ni yoyi, abhanhu bhayo bhagayogaga mpaga bhaduma uguyibheja chiza ikaya yiniyo, umukikalile kabho. Hunagwene abhanhu bhagaitanaga giki “lukwa lo jihundi.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka bhupelanu umutumami bho milimo yabho, kugiki bhadule gutumama milimo yabho chiza, bho nduhu ugwikenye, umuwikaji bhobho.

1Petro 4:7-8.

1Yohana 3:11-18.

1Yohana 4:7-21.

Marko 12:28-31.

 

KISWAHILI: MUKWA WA NGUMI.

Mukwa wa ngumi ni ugonvi wa watu waliokuwa wakipalila mukwa wa palizi. Watu hao, walizozana na kugombana mpaga wakaja watu waliousikia ugonvi huo kuwaamulia. Ndiyo maana watu hao waliita kwamba ni “mukwa wa ngumi.” Huo ni mukwa wa kupigana.

Msemo huo, hulinganishwa kwenye familia ile ambayo watu wake hugombana mara kwa mara. Familia hiyo, huzozana mara kwa mara kwa sababu ya watu wake kukosa uelewano. Yenyewe, huwa haidumu kwa sababu ya kukosa maadili ya kuwawezesha kuishi kwa pamoja, maishani mwao.

Familia hiyo, hufanana na wakulima wale waliogombana wakati wakipalilia palizi, kwa sababu nayo huzozana mara kwa mara, wakati watu wake, wanafanya kazi. Ndiyo maana watu huiita familia hiyo kuwa ni “mukwa wa ngumi.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha hasira katika utekelezaji wa majukumu yao, ili waweze kuyatekeleza vizuri majukumu yao, maishani mwao.

1Petro 4:7-8.

1Yohana 3:11-18.

1Yohana 4:7-21.

Marko 12:28-31.

farming-

ENGLISH: A FIST’S PORTION TO CULTIVATE.

The fistfight is the quarrel of the people who were weeding the weed in a farm. These men started arguing after misunderstanding of each other took place which causes them to start quarreling between them. The people who heard their noise and saw them quarreling went to reconcile them. That is why these people called it “a fist’s portion to cultivate.”

This saying is applied to a family whose members are not at odds with one another. The family, in turn, quarrels frequently because of the lack of understanding among its members.  This family disintegrates because its members do not have values which can unite them enough to live together in their family.

This family is like the farmers who quarreled when they were weeding in the farm, because its members also quarrel often while are working. That is why people call that family that “a fist’s portion to cultivate.”

This saying teaches people about letting go of anger in fulfilling their duties, so that they can better fulfill their responsibilities in their societies.

1Peter 4: 7-8.

1John 3: 11-18.

1John 4: 7-21.

Mark 12: 28-31.

982. MZIDUNGEMA B’USESE.

Akahayile kenako, kahoyelile higulya ya gugeng’wa b’usese bho ng’wa munhu nhebhe. Ub’usese bhunubho, b’uli bhuluhiwa bho ng’wa munhu uyo agaja ha kaya iyo igang’winha milimo midamu guti nsese, kunguno ya gukayiwa bhutogwa ukuli munhu ng’wunuyo. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga abha ha kaya yiniyo giki “mzidungema b’usese.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli nkima uyo otolwa ha kaya iyo idantogilwe, umukikalile kayo. Ikaya yiniyo, igamanaga yuntuma unkima ng’wunuyo, guja gujutumama milimo midimu bho mduhu ugwifula, kunguno ya gung’wiganikila guti giki ali nsese oyo. Unkima ng’wunuyo, agikalaga anogile bhuli makanza kunguno ya gutumamiwa milimo midimu yiniyo bhuli makanza, umukikalile kakwe.

Unkima ng’wunuyo, agikolaga nu munhu uyo agaja hakaya iyo yang’winhaga milimo midimu bhuli makanza, kunguno nuweyi agatumagwa gujutumama milimo midimu bhuli makanza ni kaya yiniyo aho otolelwa. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga abhanhu bha ha kaya yiniyo giki, “mzidungema b’usese.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya guleka gub’agema b’usese abhanhu bho gub’inha ikujo pye abhose, kulwa bhu munhu bhobho, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Kutoka 20:8-11.

Kutoka 21:1-11.

Kutoka 1:8-14.

 

KISWAHILI: MSIMJARIBU MTUMWA.

Msemo huo, huongelea juu ya kufanywa mtumwa kwa mtu fulani. Utumwa huo, ni hali ya kuteswa kwa mtu aliyeenda kwenye familia ambayo watu wake walimtumikisha kwa kumpatia kazi ngumu kama mtumwa, kwa sababu ya kukosa upendo kwake mtu huyo. Ndiyo maana watu waliwaambia wanafamilia hayo kwamba, “msimjaribu mtumwa.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mwanamke aliyeolewa kwenye familia isiyompenda. Familia hiyo, huwa ina mtuma mwanamke huyo kwenda kufanya kazi ngumu bila hata kupumzika, kwa sababu ya kumfikiria kama mtumwa wa hapo. Mwanamke huyo, huwa amechoka kila wakati kwa sababu ya kutumikishwa kwa kupewa kazi hizo mgumu, mara kwa mara, katika maisha yake.

Mwanamke huyo, hufanana na yule mtu aliyeenda kwenye familia iliyomtumikisha kwenye kazi ngumu kama mtumwa, kwa sababu naye hutumikishwa kwa kufanyishwa kazi ngumu, na familia hiyo alipoolewa. Ndiyo maana watu huwaambia wanafamilia hao kwamba, “msimjaribu mtumwa.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kuwatumikisha watu kama watumwa, kwa kuwaheshimu watu wote kwa sababu ya utu wao, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao.

Kutoka 20:8-11.

Kutoka 21:1-11.

Kutoka 1:8-14.

woman-SLAVE

slave-castle-

ghana-1

 

ENGLISH: DO NOT MAKE HIM/HER SLAVE.

This saying refers to enslavement of a person. Slavery is a state of torture to a person who went to a family members who enslaved him by giving him hard works as a slave, because they did not love him. That is why the people told those family members that, “Do not make him/her slave.”

This saying is equated to a married woman in a family that does not love her. This family often sends the woman to work in difficult activities without even resting, because of considering her as a slave. This woman is constantly exhausted because of being tortured by such frequent difficult tasks in her life.

This woman is like the person who went to a family that tortured him as a slave, because she was also forced to work in difficult tasks by the family members where she got married. That is why people say to those family members that, “Do not make him/her slave.”

This saying imparts in people a clue on stopping habit of enslaving people, by respecting all people because of their dignity, so that they can peacefully live in their families.

Exodus 20: 8-11.

Exodus 21: 1-11.

Exodus 1: 8-14.

981. OZUB’ANGAGA.

Olihoyi nkima umo uyo ozugaga jiliwa. Unkima ng’wunuyo, ogazuga jiliwa jib’isi kunguno ya bhuzuki bhokwe ubho sagala bhunubho. Uweyi agenheleja bhanhu gwikala na nzala kunguno ya guduma ugujilya ijiliwa jakwe ijib’isi jinijo. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “ozub’angaga.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adatumamaga chiza imilimo yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agatumamaga sagala sagala imilimo, iyo ilikihamo na bhulimi, na bhusuluja, kunguno ya gugayiwa bhudiliji bho milimo yakwe yiniyo. Uweyi agagayiyagwa ijiliwa jagulya aha kaya yakwe, kunguno ya gugayiwa bhudiliji bho milimo yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu nkima uyo agazuga jiliwa jib’isi, kunguno nu weyi agatumamaga sagala sagala bho nduhu uguidilila chiza imilimo yakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ozub’angaga.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gwigulambija guitumama imilimo yabho bho guidilila chiza, kugiki bhadule gupandika jiliwa na sabho ja gubhambilija ugujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Warumi 12:11.

Mathayo 24:13.

KISWAHILI: UMEHARIBU.

Alikuwepo mwanamke mmoja aliyekuwa akipika chakula. Mwanzake huyo, alipika hovyo chakula hicho kikawa kibichi kwa sababu ya kukosa umakini wa kujali vizuri kazi yake. Yeye alisababisha watu kushinda na njaa kwa sababu ya kushindwa kukila chakula chake hicho kibichi. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “umeharibu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule asiyeyatekeleza vizuri majukumu yake, katika maisha yake. Mtu huyo, hufanya kazi zake hovyo hovyo, ambazo ni pamoja na zile za kilimo na biashara, kwa sababu ya kutokujali kwake kazi zake hizo. Yeye hukosa chakula nyumbani kwake kwa sababu ya kukosa umakini wake huo, katika utekelezaji wa majukumu yake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule mwanamke aliyepika hovyo chakula chake kikawa kibichi, kwa sababu naye hufanya kazi zake hovyo, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “umeharibu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kuyatekeleza majukumu yao kwa kuyajali vizuri, ili waweze kupata mafanikio mengi zaidi, maishani mwao.

Warumi 12:11.

Mathayo 24:13.

woman-212

ENGLISH: YOU HAVE SPOILT EVERYTHING.

There was a woman who was cooking. Nonetheless she spoilt her food because she did not pay attention to her works. She caused the people to go hungry because they could not eat her raw food. That is why they told her that, “You have spoilt everything.”

This saying is compared to a person who does not fulfill his/her responsibilities well in life. This person performs his/her duties negligently, including those of agriculture and trade, because of laziness. He/she misses food at home because of such lack of focus in the discharge of his/her responsibilities in life.

This person is like the woman who spoilt food in her way of cooking, because he/she also does not pay attention in his/her works. That is why people say to his/her that, “You have spoilt everything.”

This saying teaches people on how to work hard enough to fulfill well their responsibilities by taking good care of them, so that they can have more success in their lives.

Romans 12:11.

Matthew 24:13.

980. DALINDA GUGUMIWA.

Ugugumiwa jili jilipo ja ng’wa munhu uyo amalaga gutumama nimo nheb’e. Bhalihoyi bhatumami bha jipande umu ngese ya nimi umo. Abhatumami bhenabho, bhagailimila injese yiniyo mpaga bhuyimala chiza, kunguno ya bhukamu bhobho ubho gutumama milimo bhunubho. Aho bhamala ugujilimila ijipande jabho, bhagalindila gulipya ihela jabho ukuli nimi ng’wunuyo. Hunagwene bhangayomba giki, “dalinda gugumiwa.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumamaga milimo yakwe bho jelwa ng’holo mpaga oyimala chiza, umubhutumami bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, agamishaga diyu ogigulambija gutumama milimo iyo ilikihamo na gulima, na gwinja jiliwa jakwe gufumila mumigunda yakwe, kunguno wisagiji bhokwe bho kuli Mulungu uyo adulile gung’winha sabho ningi ulu umala chiza imilimo yakwe yiniyo. Uweyi agapandikaga sabho ningi umuwigulambija bho gutumama milimo yake yiniyo, kunguno ya wigagiji bhokwe bhunubho ubho ukuli Mulungu, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga na bhatumami abhajipande abho bhagalimila ngese mpaga bhujimala chiza ijipande jabho, kunguno nu weyi agigulambijaga gutumama milimo yakwe mpaga oyimala chiza, ukunhu wisagililwe gwinhiwa sabho ningi na Mulungu, umukikalile kakwe. Hunagwene agayombaga giki, “dalinda gugumiwa.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwigulambija gutumama milimo yabho bho gung’wisanya Mulungu, kugiki bhadule gwinhiwa sabho ningi, umutumami bhobho.

2Thimotheo 2:6.

Mathayo 20:1-16.

KISWAHILI: TUMESUBIRI UJIRA.

Ujira ni malipo kwa mtu aliyemaliza kutekeleja kazi fulani aliyopewa na mhusika. Walikuwepo wafanya kazi wa vibarua kwenye palizi ya mkulima fulani. Wafanya kazi hao, waliipalilia palizi hiyo mpaga wakaimaliza vizuri, kwa sababu ya bidii yao ya kufanya kazi. Walipomaliza kibarua hicho, walisuburi malipo ya pesa zao kwa mkulima huyo. Ndiyo maana walisema kwamba, “tumesubiri ujira.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huyatekeleza vizuri majukumu ya kazi zake, katika utendaji wake. Mtu huyo, huamuka asubuhi na kujibidisha kufanya kazi zake ambazo ni pamoja na kulima na kuvuna mavuno, kutoka mashambani mwake, kwa sababu ya matumaini yake ya kupewa mali nyingi na Mungu kutoka kwenye kazi zake hizo. Yeye hupata mali nyingi katika kujibidisha kwake kufanya kazi hizo, kwa sababu ya matumaini yake hayo kwa Mungu, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na wafanya kazi wa vibarua waliopalilia palizi mpaga wakakimaliza kibarua chao vizuri, kwa sababu naye hujibidisha kuyatekeleza vizuri majukumu yake mpaga anayamaliza, huku akitumaini kupewa mali nyingi na Mungu, katika maisha yake. Ndiyo maana husema kwamba, “tumesubiri ujira.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kuyatekeleza vizuri majukumu yao, kwa kumtegemea Mungu, ili waweze kupewa mali nyingi, katika maisha yao.

2Thimotheo 2:6.

Mathayo 20:1-16.

farm-lady-

ENGLISH: WE ARE WAITING FOR WAGES.

A wage is a payment to a person who has completed a particular task which has been assigned to him or her by a concerned. There were laborers on the farmer’s weed who finished weeding it well, because of their hard working. When they finished the job, they waited for the money to the farmer to be paid by him. That is why they said that, “We are waiting for wages.”

This saying is equated to the person who performs his duties well, in his enactment. This man wakes up in the morning and labors to do his work, which includes plowing and reaping, from his fields, because of his hope of being given many riches by God from his efforts. He gains much wealth in his efforts enough to get many progresses because of his trust in God.

This man is like the laborers who finished weeding out the weeds well enough to wait for wages from the farmers, because he also strives to fulfill his responsibilities in life while hoping to be richly rewarded by God, in his life. That is why he says that “We are waiting for wages.”

This saying instills in people a clue on how to work hard enough to fulfill their responsibilities well by depending on God, so that they can be given more wealth for running their lives.

2 Timothy 2: 6.

Matthew 20: 1-16.