Akahayile kenako, kahoyelile higulya ya gugeng’wa b’usese bho ng’wa munhu nhebhe. Ub’usese bhunubho, b’uli bhuluhiwa bho ng’wa munhu uyo agaja ha kaya iyo igang’winha milimo midamu guti nsese, kunguno ya gukayiwa bhutogwa ukuli munhu ng’wunuyo. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga abha ha kaya yiniyo giki “mzidungema b’usese.”
Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli nkima uyo otolwa ha kaya iyo idantogilwe, umukikalile kayo. Ikaya yiniyo, igamanaga yuntuma unkima ng’wunuyo, guja gujutumama milimo midimu bho mduhu ugwifula, kunguno ya gung’wiganikila guti giki ali nsese oyo. Unkima ng’wunuyo, agikalaga anogile bhuli makanza kunguno ya gutumamiwa milimo midimu yiniyo bhuli makanza, umukikalile kakwe.
Unkima ng’wunuyo, agikolaga nu munhu uyo agaja hakaya iyo yang’winhaga milimo midimu bhuli makanza, kunguno nuweyi agatumagwa gujutumama milimo midimu bhuli makanza ni kaya yiniyo aho otolelwa. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga abhanhu bha ha kaya yiniyo giki, “mzidungema b’usese.”
Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya guleka gub’agema b’usese abhanhu bho gub’inha ikujo pye abhose, kulwa bhu munhu bhobho, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.
Kutoka 20:8-11.
Kutoka 21:1-11.
Kutoka 1:8-14.
KISWAHILI: MSIMJARIBU MTUMWA.
Msemo huo, huongelea juu ya kufanywa mtumwa kwa mtu fulani. Utumwa huo, ni hali ya kuteswa kwa mtu aliyeenda kwenye familia ambayo watu wake walimtumikisha kwa kumpatia kazi ngumu kama mtumwa, kwa sababu ya kukosa upendo kwake mtu huyo. Ndiyo maana watu waliwaambia wanafamilia hayo kwamba, “msimjaribu mtumwa.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mwanamke aliyeolewa kwenye familia isiyompenda. Familia hiyo, huwa ina mtuma mwanamke huyo kwenda kufanya kazi ngumu bila hata kupumzika, kwa sababu ya kumfikiria kama mtumwa wa hapo. Mwanamke huyo, huwa amechoka kila wakati kwa sababu ya kutumikishwa kwa kupewa kazi hizo mgumu, mara kwa mara, katika maisha yake.
Mwanamke huyo, hufanana na yule mtu aliyeenda kwenye familia iliyomtumikisha kwenye kazi ngumu kama mtumwa, kwa sababu naye hutumikishwa kwa kufanyishwa kazi ngumu, na familia hiyo alipoolewa. Ndiyo maana watu huwaambia wanafamilia hao kwamba, “msimjaribu mtumwa.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kuwatumikisha watu kama watumwa, kwa kuwaheshimu watu wote kwa sababu ya utu wao, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao.
Kutoka 20:8-11.
Kutoka 21:1-11.
Kutoka 1:8-14.
ENGLISH: DO NOT MAKE HIM/HER SLAVE.
This saying refers to enslavement of a person. Slavery is a state of torture to a person who went to a family members who enslaved him by giving him hard works as a slave, because they did not love him. That is why the people told those family members that, “Do not make him/her slave.”
This saying is equated to a married woman in a family that does not love her. This family often sends the woman to work in difficult activities without even resting, because of considering her as a slave. This woman is constantly exhausted because of being tortured by such frequent difficult tasks in her life.
This woman is like the person who went to a family that tortured him as a slave, because she was also forced to work in difficult tasks by the family members where she got married. That is why people say to those family members that, “Do not make him/her slave.”
This saying imparts in people a clue on stopping habit of enslaving people, by respecting all people because of their dignity, so that they can peacefully live in their families.
Exodus 20: 8-11.
Exodus 21: 1-11.
Exodus 1: 8-14.