Ugubyaliwa ha nzala ili gubyalilwa hi kanza lwa nduhu ijiliwa kunguno ya mbula kuleka gutula ung’waka gunuyo. Ili gubyalilwa hikanza lya nduhu jiliwa. Hunagwene uyo obyalilwa hikanza linilo, agawilagwaga giki, “obyalilwa ha nzala.”
Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo osangaga bhanhu bhamalaga gulya jiliwa, aha kaya yiniyo. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga nzala kunguno yagusanga jamalagwa guliwa ijiliwa jinijo ijo jali jazugagwa, aha kaya yiniyo. Uweyi agakoyiyagwa na bhutubhu bhunubho, ubho gulindila ikanza lingi ilya guzugilwa jiliwa jingi, kunguno ya gukeleja mpaga usanga jamalaga guliwa ijiliwa ijo jali jalijazugagwa jinijo, aha kaya yiniyo.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo abyalilwa ha nzala, kunguno nuweyi agasanga abhiye bhajimalaga gujilya pye ijiliwa ijo jalijazugagwa, aha kaya yiniyo. Hunagwene abhanhu bhenabho, bhagang’wilaga giki, “obyalilwa ha nzala.”
Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gwanguha gushiga uko bhalalikagwa guja, umubhutumami bhobho, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.
Mwanzo 26:1.
2Wafalme 4:38-39.
KISWAHILI: UMEZALIWA KIPINDI CHA NJAA.
Kuzaliwa kwenye kipindi cha njaa ni kuzaliwa kwenye wakati wa kutokakuwa na chakula kwa sababu ya kutosekana kwa mvua mwaka huo, au sababu zingine. Kipindi hicho ni cha kuzaliwa wakati chakula hakipo. Ndiyo maana yule aliyezalwa kwenye kipindi hicho, watu humwambia kwamba, “umezaliwa kipindi cha njaa.”
Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule aliyekuta watu wamemaliza kula chakula chote, kwenye familia hiyo. Mtu huyo, huwa anashinda njaa kwa sababu ya kukuta wenzake wamekimaliza kukila chakula chote kilichokuwa kimepikwa, kwenye familia hiyo. Yeye husumbuliwa na njaa tumbuni mwake anaposubiri mpaka wakati mwingine watakapo pika chakula kingine, kwa sababu ya kuchelewa kwake mpaga akakuta wenzake wamekula chakula chote, kwenye familia hiyo.
Mtu huyo, hufanana na yule aliyezaliwa wakati wa njaa, kwa sababu naye amekuta wenzake wamekula chakula chote kilichokuwa kimepikwa, kwenye familia hiyo. Ndiyo maana wenzake hao, humwambia kwamba, “umezaliwa kipindi cha njaa.”
Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwahi kufika kule walikoalikwa kwenda katika utekelezaji wa majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.
Mwanzo 26:1.
2Wafalme 4:38-39.
ENGLISH: YOU WERE BORN DURING FAMINE.
Being born in a famine-stricken period is a time of little or no food due to a lack of rain, or other reasons. Anyone who is born during this period suffers from hunger because food is not available. That is why people say to him/her that, “you were born during famine.”
This proverb is related to a man who finds people having eaten all food in the family. This man remains hungry because he finds his colleagues have finished eating all the food that was cooked in that family. He suffers from hunger in his stomach as he waits until the next time of cooking another meal after delaying to arrive in that family.
This man in like the one who was born during the famine time, because he also found his fellows had eaten all the food that had been cooked in that family. That is why his colleagues tell him that, “You were born during famine.”
This proverb imparts in people an idea on how to get earlier to where they are invited to go in fulfilling their duties, so that they can have more successes in their families.
Genesis 26: 1.
2 Kings 4: 38-39.