Ijihundi ili ngume iyo yolechije wikenya bho bhanhu abho bhatumamaga nimo go gulimila lukwa lo ngese. Abhanhu bhenabho, bhagayoga na gwikenya mpaga bhuyangulwa na bhanhu abho bhagiyigwa iyombo yabho. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagayomba giki, “lukwa lo jihundi.” Ulukwa lunulo luli lukwa lo gwitulila.
Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kukaya iyo ili na bhanhu bhagumana bhuyoga bhuli makanza. Ikaya yiniyo, yigiyojaga bhuli makanza kunguno ya kugayiwa ng’wigwano. Iyoyi idalamaga shigu ningi kunguno ya gugayiwa ililange ilya gwidegeleka chiza linilo, umuwikaji bhobho.
Ikaya yiniyo, igikolaga na bhalimu abho bhagikenya mpaga bhuyileka ingese yabho, kunguno ni yoyi, abhanhu bhayo bhagayogaga mpaga bhaduma uguyibheja chiza ikaya yiniyo, umukikalile kabho. Hunagwene abhanhu bhagaitanaga giki “lukwa lo jihundi.”
Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka bhupelanu umutumami bho milimo yabho, kugiki bhadule gutumama milimo yabho chiza, bho nduhu ugwikenye, umuwikaji bhobho.
1Petro 4:7-8.
1Yohana 3:11-18.
1Yohana 4:7-21.
Marko 12:28-31.
KISWAHILI: MUKWA WA NGUMI.
Mukwa wa ngumi ni ugonvi wa watu waliokuwa wakipalila mukwa wa palizi. Watu hao, walizozana na kugombana mpaga wakaja watu waliousikia ugonvi huo kuwaamulia. Ndiyo maana watu hao waliita kwamba ni “mukwa wa ngumi.” Huo ni mukwa wa kupigana.
Msemo huo, hulinganishwa kwenye familia ile ambayo watu wake hugombana mara kwa mara. Familia hiyo, huzozana mara kwa mara kwa sababu ya watu wake kukosa uelewano. Yenyewe, huwa haidumu kwa sababu ya kukosa maadili ya kuwawezesha kuishi kwa pamoja, maishani mwao.
Familia hiyo, hufanana na wakulima wale waliogombana wakati wakipalilia palizi, kwa sababu nayo huzozana mara kwa mara, wakati watu wake, wanafanya kazi. Ndiyo maana watu huiita familia hiyo kuwa ni “mukwa wa ngumi.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha hasira katika utekelezaji wa majukumu yao, ili waweze kuyatekeleza vizuri majukumu yao, maishani mwao.
1Petro 4:7-8.
1Yohana 3:11-18.
1Yohana 4:7-21.
Marko 12:28-31.
ENGLISH: A FIST’S PORTION TO CULTIVATE.
The fistfight is the quarrel of the people who were weeding the weed in a farm. These men started arguing after misunderstanding of each other took place which causes them to start quarreling between them. The people who heard their noise and saw them quarreling went to reconcile them. That is why these people called it “a fist’s portion to cultivate.”
This saying is applied to a family whose members are not at odds with one another. The family, in turn, quarrels frequently because of the lack of understanding among its members. This family disintegrates because its members do not have values which can unite them enough to live together in their family.
This family is like the farmers who quarreled when they were weeding in the farm, because its members also quarrel often while are working. That is why people call that family that “a fist’s portion to cultivate.”
This saying teaches people about letting go of anger in fulfilling their duties, so that they can better fulfill their responsibilities in their societies.
1Peter 4: 7-8.
1John 3: 11-18.
1John 4: 7-21.
Mark 12: 28-31.