980. DALINDA GUGUMIWA.

Ugugumiwa jili jilipo ja ng’wa munhu uyo amalaga gutumama nimo nheb’e. Bhalihoyi bhatumami bha jipande umu ngese ya nimi umo. Abhatumami bhenabho, bhagailimila injese yiniyo mpaga bhuyimala chiza, kunguno ya bhukamu bhobho ubho gutumama milimo bhunubho. Aho bhamala ugujilimila ijipande jabho, bhagalindila gulipya ihela jabho ukuli nimi ng’wunuyo. Hunagwene bhangayomba giki, “dalinda gugumiwa.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumamaga milimo yakwe bho jelwa ng’holo mpaga oyimala chiza, umubhutumami bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, agamishaga diyu ogigulambija gutumama milimo iyo ilikihamo na gulima, na gwinja jiliwa jakwe gufumila mumigunda yakwe, kunguno wisagiji bhokwe bho kuli Mulungu uyo adulile gung’winha sabho ningi ulu umala chiza imilimo yakwe yiniyo. Uweyi agapandikaga sabho ningi umuwigulambija bho gutumama milimo yake yiniyo, kunguno ya wigagiji bhokwe bhunubho ubho ukuli Mulungu, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga na bhatumami abhajipande abho bhagalimila ngese mpaga bhujimala chiza ijipande jabho, kunguno nu weyi agigulambijaga gutumama milimo yakwe mpaga oyimala chiza, ukunhu wisagililwe gwinhiwa sabho ningi na Mulungu, umukikalile kakwe. Hunagwene agayombaga giki, “dalinda gugumiwa.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwigulambija gutumama milimo yabho bho gung’wisanya Mulungu, kugiki bhadule gwinhiwa sabho ningi, umutumami bhobho.

2Thimotheo 2:6.

Mathayo 20:1-16.

KISWAHILI: TUMESUBIRI UJIRA.

Ujira ni malipo kwa mtu aliyemaliza kutekeleja kazi fulani aliyopewa na mhusika. Walikuwepo wafanya kazi wa vibarua kwenye palizi ya mkulima fulani. Wafanya kazi hao, waliipalilia palizi hiyo mpaga wakaimaliza vizuri, kwa sababu ya bidii yao ya kufanya kazi. Walipomaliza kibarua hicho, walisuburi malipo ya pesa zao kwa mkulima huyo. Ndiyo maana walisema kwamba, “tumesubiri ujira.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huyatekeleza vizuri majukumu ya kazi zake, katika utendaji wake. Mtu huyo, huamuka asubuhi na kujibidisha kufanya kazi zake ambazo ni pamoja na kulima na kuvuna mavuno, kutoka mashambani mwake, kwa sababu ya matumaini yake ya kupewa mali nyingi na Mungu kutoka kwenye kazi zake hizo. Yeye hupata mali nyingi katika kujibidisha kwake kufanya kazi hizo, kwa sababu ya matumaini yake hayo kwa Mungu, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na wafanya kazi wa vibarua waliopalilia palizi mpaga wakakimaliza kibarua chao vizuri, kwa sababu naye hujibidisha kuyatekeleza vizuri majukumu yake mpaga anayamaliza, huku akitumaini kupewa mali nyingi na Mungu, katika maisha yake. Ndiyo maana husema kwamba, “tumesubiri ujira.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kuyatekeleza vizuri majukumu yao, kwa kumtegemea Mungu, ili waweze kupewa mali nyingi, katika maisha yao.

2Thimotheo 2:6.

Mathayo 20:1-16.

farm-lady-

ENGLISH: WE ARE WAITING FOR WAGES.

A wage is a payment to a person who has completed a particular task which has been assigned to him or her by a concerned. There were laborers on the farmer’s weed who finished weeding it well, because of their hard working. When they finished the job, they waited for the money to the farmer to be paid by him. That is why they said that, “We are waiting for wages.”

This saying is equated to the person who performs his duties well, in his enactment. This man wakes up in the morning and labors to do his work, which includes plowing and reaping, from his fields, because of his hope of being given many riches by God from his efforts. He gains much wealth in his efforts enough to get many progresses because of his trust in God.

This man is like the laborers who finished weeding out the weeds well enough to wait for wages from the farmers, because he also strives to fulfill his responsibilities in life while hoping to be richly rewarded by God, in his life. That is why he says that “We are waiting for wages.”

This saying instills in people a clue on how to work hard enough to fulfill their responsibilities well by depending on God, so that they can be given more wealth for running their lives.

2 Timothy 2: 6.

Matthew 20: 1-16.

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.