948. NG’WENDA GWA SHIGI.

Akahayile kenako, kalolile ng’wenda uyo gugishiganilagwa. Ung’wenda gunuyo, gwishiganilagwa na bhanhu bhabhili abho bhuli ng’wene ahayaga giki gubhize gokwe. Abhanhu bhenabho bhagaguyogela nose ung’wenda gunuyo kunguno bhuli ng’wene ong’ang’anilaga gubhize gokwe. Hunagwene abhanhu bhagagwinatana giki, “ng’wenda gwa shigi.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kubhakima bhabhili abho bhatolilwe mhali na ngosha umo. Abhakima bhenabho, bhagikalaga bhuli ng’wene ahayile giki ungosha wikale kuliweyi duhu gwa ishigu. Abhoyi bhagidumaga nose kunguno ya wilu bhunubho ubho bhuli ng’wene ahayele abhize kuli weyi ungosha ng’wunuyo shigu jose.

Ungosha ng’wunuyo, agikolaga nu ng’wenda uyo gwishiganilagwa na bhanhu bhabhili, kunguno nuweyi agishiganilagwa na bhakima abhabhili bhenabho abho bhuli ng’wene atogilwe wikale kuli weyi pye shigu. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “ng’wenda gwa shigi.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witoji bho nkima na ngosha umo duhu, kugiki bhadule gupandika mbango ja gujib’eja chiza ikaya jabho, umukawiji bhobho.

Waefeso 5:21-33.

Wagalatia 5:16-26.

Waefeso 5:1-6.

1 Wakorintho 7:1-16.

KISWAHILI: NGUO YA KUSHINDANIA.

Msemo huo, huangalia nguo inayoshindaniwa. Nguo hiyo, ilishindaniwa na watu wawili ambao kila mmoja alitaka iwe yake. Watu hao, walifikia hatua ya kuigombania nguo hiyo kwa sababu ya kila mmoja kuendelea kutaka iwe yake. Ndiyo maana watu waliita nguno hiyo kuwa ni “nguno ya kushindania.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa wanawake wawili wa mitala walioolewa na wanamume mmoja. Wanawake hao, huwa kila mmoja wao anataka yule mwanamume akae kwake siku zote. Wao hukosana kwa sababu ya wivu wa kila mmoja kutaka yule mme awe kwake tu.

Mwanamume huyo, hufanana na ile nguo iliyoshindaniwa na wale watu wawili, kwa sababu naye hushindaniwa na wale wanawake wawili ambao kila mmoja wao hutaka awe kwake siku zote. Ndiyo maana watu humuita kuwa ni “nguo ya kushindania.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na ndoa ya mke mmoja tu, ili waweze kupata Baraka za kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Waefeso 5:21-33.

Wagalatia 5:16-26.

Waefeso 5:1-6.

1 Wakorintho 7:1-16.

women-21

ENGLISH: A GARMENT FOR PEOPLE TO COMPETE FOR.

This saying looks at a garment which has two owners. This dress is contested by two men who each one want to own it. These men went so far as to fight for the garment because everyone continued to want it as his own. That is why people called the garment that “a garment of competition.”

This saying is applied to two polygamous women who are married to the same man. These women, every one of them wants the man to stay with her all the time. They quarrel because of each other’s jealousy of wanting the man to be her own.

This man is like the garment in which the two men competed, because he is also competed by the two women who each want to be with him always. That is why people call him “a garment of competition.”

This saying teaches people on how to have monogamous marriage, so that they can get the Blessings for living a peaceful life in their families.

Ephesians 5: 21-33.

Galatians 5: 16-26

Ephesians 5: 1-6.

1 Corinthians 7: 1-16.

One comment

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.