Ikalagu yiniyo, ilolile nh’ogo. Unh’ogo gunuyo, guli nti uyo gugatumilagwa na bhanhu gwingila gumadutu mpaga ku mizwi yago. Ugoyi guli na solobho nhale ukubhanhu kunguno amadutu gago gali makub’i, imiti yili ng’hwi, imizwi yago yili jiliwa. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “higulya ikub’i, aha gati lukwi, aha hasi jiliwa – nh’ogo.”
Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali ng’wiza nholo, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhambiljaga chiza abho bhali na makoye bho gutumila sabho jakwe, kunguno ya welwa nholo bhokwe bhunubho. Uweyi agayegaga na bhanhu bhingi abho agabhambilijaga kunguno ya bhutogwa na wiza nholo bhokwe bhunubho ukubhoyi, umuwikaji bhobho.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu nh’ogo uyo gugambilijaga bhanhu bhingi gwingila ku madutu gago mpaga kumi mizwi yago, kunguno nuweyhi agambilijaga bhanhu bhingi abho bhali na makoye, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “higulya ikub’i, aha hagati lukwi, aha hasi jiliwa – nh’ogo.”
Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gub’iza bhiza nholo umukikalile kabho, kugiki bhadule gwiyambilija chiza, umuwikaji bhobho.
Yoshua Bin Sira 4:1-4.
Mathayo 25:31-46.
Waebrania 12:2-3.
Waebrania 13:1-3.
KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.
JUU MBOGA, KATIKATI KUNI, CHINI CHAKULA – MUHOGO.
Kitendawili hicho, chaangalia muhogo. Muhogo ni mti unaotumiwa na watu kuangia kwenye majani hadi kwenye mizizi yake. Mti huo, una faida nyingi kwa watu kwa sababu, majani yake ni mboga, miti ya matawi yake ni kuni na mizizi yake ni chakula. Ndiyo maana watu husema kwamba, “juu mboga, katikati kuni, chini chakula – muhogo.”
Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mkarimu, katika maisha yake. Mtu huyo, husaidia watu walioko kwenye matatizo kwa kutumia mali zake, kwa sababu ya ukarimu wake huo. Yeye hufurahi na watu wengi aliowasaidia kwa sababu ya upendo na ukarimu wake huo kwao, maishani mwake.
Mtu huyo, hufanana na ule muhogo uliosaidia watu wengi kuanzia kwenye majani hadi kwenye mizizi yake, kwa sababu naye huwasaidia watu wengi walioko kwenye matatizo, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “juu mboga, katikati kuni, chini chakula – muhogo.”
Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuwa na ukarimu wa kuwasaidia wale walioko kwenye matatizo, katika maisha yao, ili waweze kusaidiana vizuri, katika kuyatatua matatizo yao hayo, maishani mwao.
Yoshua Bin Sira 4:1-4.
Mathayo 25:31-46.
Waebrania 12:2-3.
Waebrania 13:1-3.
ENGLISH: I HAVE A RIDDLE- LET IT COME.
THE TOP PART OF IT IS VEGETABLE, THE MIDDLE PART IS FIRE WOOD AND ITS ROOT IS FOOD – CASSAVA PLANT.
This riddle looks the cassava. Cassava is a tree that people use to get to the leaves to its roots. This tree has many benefits for people because its leaves are a vegetable, its branches are fire woods and its roots are food. That is why people say that, “high vegetables, in the middle the fire wood, low food – cassava plant.”
This riddle is related to the person who is generous to others in life. This person helps people who are in need by using his or her resources, because of his or her generosity. He/she rejoices with a good number of people whom he/she has helped because of his/her love and generosity toward them, in life.
This person is like the cassava that helped many people from the leaves to the roots, because he/she also helps many people who are in trouble, in life. That is why people tell him/her that, “high vegetables, in the middle the fire wood, low food – cassava plant.”
This riddle imparts in people an idea on how to be generous in helping those who are in great need, so that they can help each other enough to easily solve their problems, in their lives.
Joshua Bin Sirach 4: 1-4.
Matthew 25: 31-46.
Hebrews 12: 2-3.
Hebrews 13: 1-3.