Ubhugubugubu bhuli wimanilija bho ng’wa munhu mumihayo ya bhangi iyo adaimanile chiza. Umunhu uyo agimanilijaga sagala chiniko agitanagwa ngubugubu. Uweyi agikalaga na nhungwa ja bhubhi ijo jigabhayugulaga abhanhu abho bhagitaga miito ga wiza, umukikalile kabho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “b’ugubugubu b’o b’ab’i chagata haho b’asoga.”
Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo adimanile igiki ali obhub’i, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhigulanyaga sagala abhanhu abho bhali na nhungwa ja wiza kunguno ya guhaya ajiranije nabho aliho uweyi alina nhungwa ja bhub’i. Uweyi agabhayugulaga abha bhali na nhungwa ja wiza kunguno ya nhungwa jakwe ija bhub’i jinijo, umuwikaji bhokwe.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu ngubugubu uyo agabhayugula abhanhu abho bhali bhawiza, kunguno nu weyi agisanjaga mubha nhungwa ja wiza na gubhayugula moyi, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “b’ugubugubu b’o b’ab’i chagata haho bhasoga.”
Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya guleka nhungwa ja bhubhi bho gujikalana ijo jili jawiza, kugiki bhadule gwiyambilija ugujidimila chiza inhungwa ijiwiza jinijo, umuwikaji bhobho.
Mathayo 7:15-20.
Waebrania 12:14-17.
Luka 6:45.
KISWAHILI: KITENDAWILI – KIHELEHELE CHA WENYE MATENDO MAOVU, HUVURUGA KUNDI LA WENYE MATENDO MEMA.
Kihelehele ni hali ya kujizoelesha kwa mtu kwenye maneno ya wengine ambayo hayafahamu vizuri. Mtu anayejizoelesha hovyo hivyo, huitwa mwenye kihelehele. Yeye huwa na tabia mbaya ambayo huwavuruga watu wanaotenda matendo mema, katika maisha yao. Ndiyo maana watu husema kwamba, “kihelehele cha wenye matendo maovu, huvuruga kundi la wenye matendo mema.”
Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye haelewi kwamba ni muovu, katika maisha yake. Mtu huyo, hujichanganya hovyo kwenye kundi la watu walio wema kwa sababu ya kutaka aendane nao, wakati yeye ni muovu. Yeye huwavuruga wale walio na tabia njema kwa sababu ya tabia yake hiyo ya kutenda maovu, maishani mwake.
Mtu huyo, hufanana na yule mwenye kihelehele aliye wavuruga watu wenye matendo mema, kwa sababu naye hujichanganya kwenye kundi la wenye tabia njema na kuwavuruga mle, katika maisha yake. Ndiyo maana watu husema kwamba, “kihelehele cha wenye matendo maovu, huvuruga kundi la wenye matendo mema.”
Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kutenda uovu kwa kuiishi tabia ile iliyo njema, ili waweze kuendeleza matendo mema kwa wenzao, maishani mwao.
Mathayo 7:15-20.
Waebrania 12:14-17.
Luka 6:45.
ENGLISH: VIOLENCE OF EVIL DOERS, DISTURBS THE GROUP OF GOOD DOERS.
This proverb speaks about Violence of the group of people who do evils in societies. This group disturbs the people who do good deeds. That is why people say that “violence of evil doers, disturbs the group of good doers.”
This proverb is related to a person who does not understand that he is evil, in his life. This person associates himself with a group of good people because he wants to appear like them, while he is evil. He disturbs those who have good character because of his evil nature, in his life.
This person resembles the group that did evil in their societies, because he also has evil behavior that disturbs the group of good doers. That is why people say that, “violence of evil doers, disturbs the group of good doers.”
This proverb teaches people on how to stop doing evils by having good behaviors, so that they can develop good deeds for others, in their lives.
Matthew 7: 15-20.
Hebrews 12: 14-17.
Luke 6:45.