Lyahib’ab’a bhuli bhutumami bho milimo ubho bhuli bho wangu wangu. Ubhutumami bhunubho, bhugamalaga nimo wangu kunguno ya gutumila nguzu nyinyi ijo jigasolaga ikanza iguhi duhu goshila unimo gunuyo. Hunagwene abhanhu abho bhali bhabhona bhagayombaga giki, “lyahib’ab’a.”
Akahayile kenako, kagalenganijiyaga ku bhanhu abho bhagatumamaga milimo yabho bho bhukamu bhutale mpaga bhayimala chiza, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho, bhagigulambijaga gutumama milimo yabho bho nduhu ugwigedyagedya, kunguno bhahayile bhapandike wangu ijo bhalijichola, umubhutumami bhobho. Abhoyi bhagaponaga majiliwa mingi noyi, kunguno ya bhukamu bhobho bhunubho ubho gwigulambija gutumama milimo mpaga bhayimala wangu chiniko, umuwijaji bhobho.
Abhanhu bhenabho, bhagabhalangaga abhanhu bhabho higulya ya gubhiza na bhukamu bho kutumama milimo yabho chiza kunguno ya bhutogwa bhobho ubho bhali nabho, ukubhanhu bhabho. Hunagwene bhagabhawilaga abhanhu bhenabho giki, “lyahib’ab’a.”
Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kubhiza na bhukamu bho gwigulambija gutumama milimo yabho bho wangu wangu mpaga bhayimale, kugiki bhadule kupandika majiliwa mingi, umukaya jabho.
Waroma 12:11.
Wagalatia 6:9.
Mathayo 24:13.
Luka 9:61.
KISWAHILI: LA CHAPU CHAPU.
La chapu chapu ni utekelezaji wa kazi ambao ni wa haraka haraka. Utekelezaji huo, humaliza kazi haraka kwa sababu ya kuweka nguzu nyingi zinayotumika ambazo huiwezesha kazi hiyo, kuisha mapema. Ndiyo maana watu wanaowaona husema kwamba “la chapu chapu.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa watu wale ambao huyatekeleza majukumu yao kwa bidii kubwa mpaga kuyamaliza, katika maisha yao. Watu hao, hujibidisha kufanya kazi bila kutegea kwa sababu wanataka wafanikiwe kupata chakula kingi. Wao hupata chakula kingi katika maisha yao kwa sababu ya bidii yao hiyo ya kujibidisha kufanya kazi kwa haraka mpaka kuzimaliza, maishani mwao.
Watu hao, huwafundisha pia watu wao juu ya kuwa na bidii ya kufanya kazi zao vizuri kwa sababu ya upendo walio nao kwao. Wao huwawezesha pia wenzao kupata mafanikio mengi katika utekelezaji wa kazi zao. Ndiyo maana huwaambia watu hao kwamba, “la chapu chapu.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na bidii ya kujibidisha kufanya kazi zao kwa haraka mpaka kuzimaliza, ili waweze kupata mafaniko mengi, maishani mwao.
Waroma 12:11.
Wagalatia 6:9.
Mathayo 24:13.
Luka 9:61.
ENGLISH: IT IS DONE HASTILY.
This saying refers to a quick doing a works. This implementation completes tasks in a very short time because of putting much efforts in them. That is why people who see them working say that, “it is done hastily.”
This saying is applied to people who perform their duties with great diligence from the beginning of a given work to the end of it, in their lives. These people work hard because they want to get a lot of food for feeding their family members. They, as a result, manage to get enough food in their lives because of their hard working lives.
These people also teach their people on how to be diligent in doing well their works because of the true love they have for them. They also enable their fellows to achieve greater successes in carrying out their tasks. That is why they tell them that, “it is done hastily.”
This saying imparts in people an idea on how to be diligent in doing their jobs fast until they finish them, so that they can find more successes in their societies.
Romans 12:11.
Galatians 6: 9.
Matthew 24:13.
Luke 9:61.