proverbs

819. BHUNONU BHO CHAYI SUKARI.

Ichayi jilijing’wiwa ijo jigatumilaga na bhanhu bhingi. Aliyo lulu, ichayi yiniyo ulu idina sukari idabhizaga na bhunonu. Iyoyi mpaga igaditilagwa sukari naya nona lulu. Hunagwene abhahu bhagayombaga giki, “bhunonu bho chayi sukari.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhadililaga chiza abhanhu bho gulola bhumunhu bhobho, idi bho gulola mahanga gabho duhu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, alina nhungwa ja wiza ijo jigang’wambilijaga ugubhitilia mito ga wiza abhiye, kunguno aidebhile isolobho  ya bhu munhu bhobho. Uweyi agapandikaga matwajo mingi umumilimo yakwe, kunguno ya gubhiza na wambilijiwa bho bhanhu bhingi abho bhatogilwe ugwikala nag’hwe, akahaya yakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni sukari iyo iganonhyaga chayi, kunguno nu weyi alina nhungwa ja wiza ijo jigabhudililaga ubhumunhu bho bhiye, umukikalile kakwe. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, “bhunonu bho chayi sukari.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na nhungwa ja wiza ija gubhambilija abhichabho bho gulola bhu munhu bhobho, kugiki bhadule gupandika mtwajo mingi, umubhutumami bho milimo yabho, shigu jose.

Mathayo 12:32-35.

KISWAHILI: UTAMU WA CHAI SUKARI.

Chai ni kinyaji ambacho watu wengi hukinywa. Lakini basi, chai hiyo, kama haijatiwa sukari huwa haiwi tamu. Yenyewe mpaka iwekewe sukari ndipo ipate utamu wake. Ndiyo maana watu husema kwamba, “utamu wa chai sukari.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwajali vizuri watu kwa kuangalia utu wao, badala ya kuangalia sura zao tu, katika maisha yake. Mtu huyo, ana tabia njema ambayo humsaidia katika kutenda matendo mema, kwa wenzake, kwa sababu ya yeye kuwa na ufahamu juu ya utu wa watu wake hao. Yeye hupata mafanikio mengi katika utekelezaji wa majukumu yake, kwa sababu ya kupata msaada kutoka kwa watu wengi wanapenda kuishi naye, kwenye familia yake hiyo.

Mtu huyo, hufanana na sukari ambayo huleta utamu kwenye chai, kwa sababu naye anayo tabia njema ambayo humwezesha kuujali utu wa wenzake, katika maisha yake. Ndiyo maana huwaambia watu kwamba, “utamu wa chai sukari.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na tabia njema ya kuwasaidia wenzao, kwa kuuangalia utu wao bila kujali sura zao, ili waweze kupata mafanikio mengi, katika utekelezaji wa majukumu yao, siku zote.

Mathayo 12:32-35.

ethiopia-tea

africa-tea

drink-

ENGLISH: THE SWEETNESS OF TEA IS SUGAR.

Tea is a beverage that most people drink. But then, if it is not added sugar, it is not sweet. It gets its sweetness when sugar is added to it. That is why people say, “the sweetness of tea is sugar.”

This proverb is likened to a man who cares deeply about people by looking at their personalities, rather than just their appearance in life. Such person has a good attitude that helps him in doing good deeds to others, because of him being aware of the dignity of them. He finds great success in fulfilling his responsibilities, because of the support of many people who like to live with him, in his family.

This person is like some sugar that brings sweetness to the tea, because he also has a good attitude that enables him to take care of his colleagues’ dignities in his society. That is why he tells people that, “the sweetness of tea is sugar.”

This proverb instills in people an idea on how to be good at helping others, by looking at their personalities regardless of their appearance, so that they can be more successful, in carrying out their daily responsibilities in their societies.

Matthew 12: 32-35.

818. ULULIMI LUGUBISHE KULWA JILIWA IDI BHO MIHAYO.

Ulusumo lunulo, lulolile lulimi na katumamile kalo. Ululimi lunulo, ulu lupya jiliwa jisebhu, nulu minzi masebhu, lugasadyaga. Aliyo lulu, uloyi nulu munhu uyomba mamihayo bho ululimu lokwe ayo gali mabhi, lugasadyaga. Gashinaga lulu, ili hambohambo ugusatya ulu wapyaga jiliwa gukila ugusatya bho mihayo iyo waombaga. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “ululimu lugubishe kulwa jiliwa idi bho mihayo.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo, agalutumamilaga chiza ululimi lokwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agiganikaga tamu imhayo iyi ili ni kujo iyo idulile gubhalela chiza abhanhu bhakwe, naoyiyomba, kunguno adebhiye isolobho ya gulutumila chiza ululimi lokwe lunulo.

Isolobho jinijo, jili kihamo na gubhalumanya abhanhu bhakwe kugiki bhadule gwikala bho witogwi, umukikalile kabho. Uweyi agadebhile amakoye gaguyomba mihayo ya bhubhi, guti kuyomba majiduki ayo gagalisanyaga bhanhu mpaga bhabhulaga kaya jabho. Hunagwene agabhalangaga abhanhu kugiki bhatumile chiza indimi jabho, bho gubhawila giki, “ululimu lugubishe kulwa jiliwa idi bho mihayo.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gujitumila chiza indimi jabho, bho guyomba mihayo ikujo umumahoya gabho, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

1 Yohana 1:6.

KISWAHILI: ULIMI UKUCHOME KWA CHAKULA SIO KWA MANENO.

Methali hiyo, huangalia ulimu na matumizi yake. Ulimi huo ukiungua chakula cha moto, au maji ya moto, huuma. Lakini pia, mtu akiongea maneno mabaya kwa kuutumia ulimi huo, huuma.

Kumbe basi, ni afadhali kuuma kwa kuunguzwa na chakula cha moto au maji ya moto, kuliko kuumizwa kwa maneno uliyoyangea kwa kutumia ulimi huo. Ndiyo maana watu husema kwamba, “ulimi ukuchome kwa chakula sio kwa maneno.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huutumia vizuri ulimi wake anapoongea na wenzake, katika maisha yake. Mtu huyo, hufikiria kwanza maneyo yenye hekima yanayoweza kuwalea vizuri watu wake, ndipo anayatumia wakati wa kuongea nao, kwa sababu anafahamu faida za maneno hayo, na hasara za kutumia maneno yasiyo na hekima, katika maisha yake.

Faida hizo, ni pamoja na kuwaunganisha watu wake kiasi cha kutosha kuwawezesha kuishi kwa upendo, katika familia zao. Yeye anazifahamu pia hasara za kuongea maneno mabaya kupitia ulimi wake ambazo ni pamoja na kuwagombanisha watu wake, na kusambalatisha miji au familia zao. Ndiyo maana huwafundisha watu juu ya kuzitumia vizuri ndimi zao, kwa kuwaambia kwamba, “ulimi ukuchome kwa chakula sio kwa maneno.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuzitumia vizuri ndimi zao, kwa kuongea maneyo yenye hekima wanapoongea na wenzao katika maisha yao, ili waweze kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.

1 Yohana 1:6.

kitchen-

child3

smile

 

 

815. UMHAYO UNG’WIZA GUDADUTAGA BHINGI.

Ulusumo lunulo, lulolile bhudamu bho gubokelwa bho mhayo uyo guligowiza, umukikalile ka bhabhu. Aliyohi ng’walimu umo uyo agabhabhilinga bhanhu bha munzengo, kugiki wize abhawile mhayo go gubhasomisha abhana bhabho. Aho bhiza aha lugiko abhanhu bhenabho, agabhawila, “bhachalagi bhagasome abhana bhing’we, kugiki bhize bhadule gung’wambilija aha shigu ja ha bhutongi.”

Nhamhala umo agashosha, “dududula gubhalecha abhana bhise milimo ya gudima mitugo kunguno ya kusoma.” Ung’walimu ng’winuyo agashosha, “unimo go gusoma gulina solobho nhale gukila ugudima imitugo, kunguno ubhusomi bhugalangaga mingi iyo ilikihamo nu gujipandika imitugo na gujilang’hana chiza.”

Aho obhalomela chene ung’walimu ng’wunuyo, bhagehu bhabho bhagazunya ugubhasomisha abhana bhobho. Abhana bhenabho, bhagasoma mpaga bhubhiza matongeji bhatale bha si yabho. Hunabhandya bhanhu bhingi ugubhasomisha abhanha bhabho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “umhayo ung’wiza gudadutaga bhingi.”

Ulusumo lunulo, lugenganijiyagwa kuli munhu uyo agiyumilijaga kubhalanga mihayo ya ng’hana abhiye mpaga bhayidebha, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, abhudebhile ubhudamu bho guzunyiwa bho mhayo ugong’hana  na bhanhu abho bhaligwigwa lukangala lo gwandya. Hunagwene uweyi agikomeja gugushokela mara hingi umhayo gunuyo, mpaga bhadula gugwelewa chiza, abhanhu bhakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu ng’walimu uyo agabhalanga bhanhu solobho ya gubhasomisha abhana bhabho, kunguno nuweyi agiyumilijaga ugubhatongela abhiye imihayo ya ng’hana, mpaga bhayidebha chiza, umukikalile kakwe. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, “umhayo ung’wiza gudadutaga bhingi.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gwiyumilija guidimilila mihayo ya wiza, bho gubhalanga abhichabho imihayo yiniyo, kugiki bhadule kupandika bhatongeji bhawiza, umuwikaji bhobho.

Marko 16:9-13.

KISWAHILI: NENO JEMA HALIWAVUTII WENGI.

Methali hiyo, huangalia ugumu wa neno jema kupokelewa na watu, katika maisha yao. Alikuwepo mwalimu mmoja ambaye aliitisha mkutano wa wanakijiji ili awaeleze juu ya umuhimu wa kuwasomisha watoto wao. Walipofika kwenye mkutano huo, aliwaambia, “wapelekeni shule watoto wenu wakasome ili waweze kuja kuwasaidia kwenye siku za mbeleni.”

Mzee mmoja alijibu, “hatuwezi kuachisha kazi za kuchunga mifugo watoto wetu kwa sababu ya kusoma.” Mwalimu huyo alijibu, “kazi ya kusoma ni kubwa kuliko kuchunga mifugo, kwa sababu elimu hufundisha mengi, ambayo ni pamoja na namna ya kuipata mifugo hiyo, na njia za kuitunza vizuri.”

Mwalimu alipowaeleza hivyo, bhadhi yao hao wanakijiji walikubali kuwapeleka watoto wao shuleni. Watoto hao, walifaulu hadi wakafikia hatua ya kuwa viongozi wakubwa nchi yao.  Wanakijiji walipoona hivyo, wengi wao walianza kuwasomesha watoto wao. Ndiyo maana watu husema kwamba, “neno jema haliwavutii wengi.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huvumilia katika kuwafundisha watu wake ukweli wa kitu chema kitakachoweza kuwasaidia, hadi wanakielewa vizuri, katika maisha yake. Mtu huyo, anauelewa ugumu wa kupokelewa kwa kitu chema, kwa wale wanaokisikia kwa mara ya kwanza. Yeye huendelea kukirudia kitu hicho kwa watu hao, mpaka wanakielewa vizuri, kiasi cha kutosha kufaidika nacho, maishani mwao.

Mtu huyo, hufanana na yule mwalimu aliyewaelimisha wanakijiji wake juu ya kuwasomesha watoto wao, hadi wakamwelewa, kwa sababu naye huvulimia katika kuwaelimisha watu juu ya ukweli wa kitu chema kiwezacho kuwasaidia katika maisha yao. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, “neno jema haliwavutii wengi.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu wa kutosha katika kuwaelimisha wenzao, juu ya kitu chema kiwezacho kuwasaidia, katika maisha yao, ili waweze kupata viongozi bora, maishani mwao.

Marko 16:9-13.

people-class

farmer3

ENGLISH: THE GOOD WORD DOES NOT ATTRACT MANY.

This proverb looks at a difficulty of people to receive a good word in their lives. There was a teacher who convened a village meeting to explain about an importance of educating their children. When they arrived at the meeting, he told them, “Send your children to school so that they can come and help you in the future.”

An elder one replied, “We cannot stop our children from the work of herding because of studying.” The teacher replied, “The task of studying is bigger than that of herding livestock, because education teaches a lot, which includes how to get livestock, and how to take good care of them.”

When the teacher told them so, the villagers agreed to send their children to school. Their children succeeded until they reached the point of becoming leaders of their country. Seeing this, many of the villagers allowed their children to go to schools. That is why people say that “good word does not attract many.”

This proverb is likened to a man who perseveres in teaching his people the truth of something which is good that will help them, until they understand it well, in his life. This person understands a difficulty of receiving something which is good, to those who hear it for the first time. He keeps on repeating the same thing to them, until they understand it well enough to benefit from it in their lives.

This man is like the teacher who taught the villagers to educate their children by allowing them to go to school, until they understood him, because he also perseveres in educating people about the truth of something which is good that can help them in their lives. That is why he tells people that “the good word does not attract many.”

This proverb teaches people about being patient enough to educate others, on something which is good that can help them in their future lives, so that they can find good leaders in their societies.

Mark 16: 9-13.

813. BHUTA BHUDIMANILE NA LUGE.

Ubhuta jili jilanga ja julasila bho guponya masonga ubho bhukikalaga bhudimanile na luge. Ubhuta bhunubho, bhugafumilaga mulinti ilo ligabhejiyagwa chiza mpaka likoma gutungwa na luge.

Uluge lunulo, lugabhizaga lugoye ulo lugatungagwa mpaga lobhugonda ubhuta bho gudimila isonga. Uloyi lugatumamaga nimo kihamo nu bhuta bhunubho, bho nduhu ugulekana. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “bhuta bhudimanile na luge.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kubhitoji abho bhagikalaga kihamo, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho, bhagatumamaga bho gwiyambilija chiza imilimo yabho, umukikalile kabho. Abhoyi bhagapandikaga matwajo mingi noyi, kunguno ya bhumo bhobho bhunubho, umuwikaji bhobho.

Abhanhu bhenabho, bhagikolaga nu bhulumani bho bhuta nu luge, kunguno  na bhoyi bhagikalaga bhalumanile kihamo, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki, “bhuta bhudimanile na luge.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhitoji higulya ya gwikala bhalumanile kihamo bho gwiyambilija uguitumama chiza imilimo yabho, umukikalile kabho, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Mathayo 9:13.

Waelefeso 5:31.

KISWAHILI: UPINDE HUSHIKANA NA KAMBA.

Upinde ni silaha ya kurushia mishale ambayo huwa imeungana na kamba. Upinde huo, hutokana  na mti uliokatwa na kutengenezwa vizuri mpaka ukafikia hatua ya kufungwa kamba.

Kamba hiyo, huwa ni muunganiko wa nyuzi zilizoshonwa vizuri ambayo hufungwa kiasi cha kutosha kuukunja ule upinde inapotumiwa kuushikilia mshale. Yenyewe hufanya kazi pamoja na upinde bila kuachana nao. Ndiyo maana watu husema kwamba, “upinde hushikana na kamba.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa wana ndoa ambao huishi kwa kushirikiana pamoja, katika maisha yao. Watu hao, huyatekeleza majukumu yao kwa kusaidiana vizuri, katika maisha yao. Wao hupata mafanikio mengi sana kwa sababu ya kuutunza umoja wao huo uliogengwa kwenye muungano wao huo wa ndoa, maishani mwao.

Watu hao, hufanana na muungano ulioko kati ya upinde na kamba, kwa sababu nao huishi kwa kusaidiana wakiwa wameungano pamoja katika utekelezaji wa majukumu yao, maishani mwao. Ndiyo maana watu huwaambia kwamba, “upinde hushikana na kamba.”

Methali hiyo, hufundisha wana ndoa juu ya kuishi wakiwa wameungana pamoja kwa kusaidiana katika kuyatekeleza vizuri majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Mathayo 9:13.

Waelefeso 5:31.

bow

arrow

fisherman

ENGLISH: THE BOW IS ATTACHED TO ITS STRING.

A bow is a weapon which is connected to a cord for shooting arrows. It is made of a well-cut and well-formed tree which is bent by that cord while shooting arrows during the hunting time.

This cord is a combination of finely woven fibers that are tied tightly enough to bend the bow while holding an arrow. It works alongside with the bow without abandoning it. That is why the saying goes that, “the bow is attached to its string.”

This proverb is compared to married people who live together in their lives. These people fulfill their responsibilities by helping each other in their lives. They find great success in lives because of maintaining their union which is based on their marital blending in their lifetime.

These people are like an union between a bow and a cord, because they also live in harmony with one another as they are united together in carrying out their responsibilities in their lives. That is why people say to them that, “the bow is attached to its string.”

This proverb instills in married couples an idea on how to live together by helping one another enough to nicely fulfill their daily responsibilities, so that they can have more success in their families.

Matthew 9:13.

Ephesians 5:31.

811. BHULI MUNDA BHUDILANDAGWA.

Olihoyi munhu uyo olimulegendo lo guja kubhadugu bhakwe. Umunhu ng’wunuyo, ojaga gujulanda jiliwa. Aho oshika koyi agayomba, “nalilanda jiliwa bhadugu bhane.” Abhoyi bhagashosha, “dajimalile gujilwa pye ijiliwa.” Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “bhuli munda bhudilandagwa.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhambilijaga abhiye bho gubhawila bhung’hana, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhuyombaga ubhung’hana bhunubho ulu alibhagunana abhanhu abho bhalina makoye, umukikalile kakwe. Uweyi agabhalangaga abhanhu bhakwe nzila ja gubhambilija abhichacho bho gubhuyomba ubhung’hana na guwikalana, umuwikaji bhobho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga na bhanhu abho bhagang’wila bhung’hana ungeni obho, kunguno nuweyi agabhambilijaga abhanhu bho gubhawila bhung’hana, umukikalile kakwe. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, “bhuli munda bhudilandagwa.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhambilija abhichabho, bho gubhawila bhung’hana na guwikalana chiza, umukikalile kabho, kugiki bhadule gugamala wangu, amakoye gabho.

Yohane 3:4-7.

KISWAHILI: KILICHOKO TUMBONI HAKIAZIMISHWI.

Alikuwepo mtu aliyekuwa na safari ya kwenda kwa ndugu zake. Mtu huyo, alienda kuazima chakula. Alipofika huko alisema, “naazima chakula ndugu zangu.” Wao walimjibu, “tumemaliza kukila chakula chote.” Ndiyo maana watu walisema, “kilichoko tumboni hakiazimishwi.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwasaidia wenzake kwa kuwaambia ukweli, katika maisha yake. Mtu huyo, huuongea ukweli huo anapowasaidia watu wenye matatizo, ili waweze kupata utatuzi wa kweli wa matatizo hayo. Yeye huwafundisha watu wake njia za kuwasaidia wenzao kwa kuuongea na kuuishi ukweli huo, maishani mwao.

Mtu huyo, hufanana na watu wale waliomwambia ukweli mgeni wao, kwa sababu naye huwasaida watu kwa kuwaambia ukweli, katika maisha yake. Ndiyo maana huwaambia watu kwamba, “kilichoko tumboni hakiazimishwi.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwasaidia wenzao, kwa kuwaambia ukweli na kuushi vizuri, katika maisha yao, ili waweze kuyamaliza haraka matatizo yao.

Yohane 3:4-7.

food africa

cooking-food

food-munda

ENGLISH: WHAT IS IN THE STOMACH IS NOT BORROWED.

There was a man who was on a journey to his relatives. He went to borrow food. When he arrived, he said, “I am borrowing food, my brothers.” They replied, “We have finished eating all the food.” That is why people say “what is in the stomach is not borrowed.”

This proverb is compared to a person who helps others by telling them the truth in life. Such person speaks the truth when he helps those who have problems, so that they can find real solutions to them. He/she teaches his/her people various ways of helping others by speaking and living according to truth.

This person is like those people who told the truth to their stranger, because he/she also helps people by telling them the truth in life. That is why he/she tells people that “what is in the stomach is not borrowed.”

This proverb imparts in people an idea on how to help others, by telling them the truth and living it, in their lives, so that they can quickly solve their problems.

John 3: 4-7.