Mwanza

1159. NADUMAGA UGWIGUTA IMBA NAB’ITILAGA HA LIKI.

Akahahile kenako kanolile munhu uyo oliadigutaga ulu olya ijiliwa. Umunhu ng’winuyo, olyaga jiliwa ijo jikomile guliwa na bhanhu bhingi gete, aliyo bho nduhu ugwiguta kunguno ya bhulaku bhokwe bhunubho. Uweyi mumo agalila agikalaga atub’ile duhu nulu agalya ikanza ilihu na ginehe, ikanza idoo duhu otubhaga. Hunagwene nose agayombaga giki “nadumaga ugwiguta imba nab’itilaga ha liki.”

Umunhu ng’wunuyo, agalenganijiyagwa kuli munhu uyo oli naku ojiliwa na guchola bhutongeji umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, atogilwe gubhiza ntongeji obhanhu bhuli kwene uko usamila, kunguno ya gulya majiliwa chiza umubhutongeji bhunubho. Uweyi agidumaga na bhanhu bhingi umuchalo jakwe kunguno ya bhulaku bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo olyagwa jiliwa bho nduhu ugwiguta, kunguno nuweyi adigutaga ijiliwa nu bhutongeji bho bhiye umukikalile kakwe kenako. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, “nadumaga ugwiguta imba nab’itilaga ha liki.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja bhulaku umukikalile kabho kenako, kugiki bhadule gwikala na bhichabho chiza, umubhulamu bhobho.

Mithali 23:19-21.

Wagalatia 5:16-26.

KISWAHILI: NIMESHINDWA KUSHIBA SIJUI NIMEPITIA KWENYE NINI.

  Msemo huo, huangalia mtu yule ambaye huwa hashibi anapokula chakula. Mtu huyo, hula chakula ambacho kinatosha kuwashibisha watu wengi lakini hashibi kwa sababu ya ulasi wake huo. Yeye hata akila namna gani huwa anajisikia njaa tu, hata kama atakula kwa muda mrefu kiasi gani, atajisikia njaa tu. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “nimeshindwa kushiba sijui nimepitia kwenye nini.”         

Mtu huyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mlafi wa chakula na madaraka, katika maisha yake. Mtu huyo, hutaka kuwa kiongozi wa watu kwenye kila sehemu anakohamia, kwa sababu ya kutaka kupata nafasi ya kula chakula vizuri katika uongozi huo. Yeye hukosana na watu walioko kwenye kijiji chake kwa sababu ya ulafi wake huo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekula chakula bila kushiba, kwa sababu naye huwa hashibi chakula na madaraka aliyo nayo, katika maisha yake hayo. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “nimeshindwa kushiba sijui nimepitia kwenye nini.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuachana na tabia ya ulafi na uroho wa madaraka katika maisha yao, ili waweze kuishi vizuri na wenzao, maishani mwao.

Mithali 23:19-21.

Wagalatia 5:16-26.

appetizer-3315960__480

1158. KALAGANAGA WIHELAGA NA WIPENBE.

Bhalihoyi bhanhu abho bhali bhigashije mukaya ya ng’wa munhu nhebhe. Umo obhanhu bhenabho oli na lipembe ilo lyalilyugi lya gudula gunchima munhu.

Aliyo lulu ung’wiye uyo bhali bhihelile nang’hwe oliadamanile igiki alina nalyo ilipembe linilo ung’wiye ng’wunuyo. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “kalaganaga wihelaga na wipembe.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alemile ugubhipijiwa amasala gakwe na bhanhu abhamiito gabhubhi, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agikalaga ayilemile imihayo ya bhanhu bha miito gabhubhi, kunguno ya bhudimiji bhokwe ubho nhungwa ija wiza bhunubho. Uweyi agayilelaga chiza ikaya yakwe kunguno ya kulema gulubuniwa na bhanhu bha nhungwa ja bhubhi, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo aganhugula ung’wiye uyo oliwihela na munhu wipembe, kunguno nuweyi agalemaga uhubhipijiwa amasala na bhanhu abho bhali na miito gabhubhi, umukikalile kakwe. Hunagwene agang’wilaga ung’wiye giki, “kalaganaga wihelaga na wipembe.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gulema gwilanga nhungwa ja bhanhu bha miito gabhub’i umukikalile kabho, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 7:15-16.

1Petro 5:8-10.

Luka 12:5.

KISWAHILI: KAA CHONJO UMEKAA KARIBU NA MWENYE PEMBE.

Walikuwepo watu waliokuwa wamekaa kwenye familia ya mtu fulani. Mmoja wa watu hao alikuwa na pembe ambalo lina ncha kali inayoweza kumchoma mtu. Lakini yule alikuwa amekaa karibu naye hakugundua kuwa mwenzake huyo ana pempe hilo la hatali. Ndiyo maana watu walimshitua mtu huyo kwa kumwambia kwamba, “kaa chonjo umekaa karibu na mwenye pembe.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hukataa kuharibiwa akili zake kwa kuambukizwa tabia mbaya na watu wenye matendo maovu, katika maisha yake. Mtu huyo hataki kulubuniwa na watu wenye matendo maovu kwa kuyakataa mawazo yao. Yeye huilea vizuri familia yake kwa sababu ya kuyashikilia vizuri maadili yake mema, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyemshitua mwenzake kwa kumwambia kuwa jirani yake alikuwa na pembe hilo la hatali, kwa sababu naye huyakataa mawazo ya watu wenye matendo maovu, katika maisha yake. Ndiyo maana yeye humshitua mwenzake kwa kumwambia kwamba, “kaa chonjo umekaa karibu na mwenye pembe.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kukataa kufundishwa tabia mbaya ya watu wenye matendo maovu katika maisha yao, kwa kuiyaishi maadili mema, ili waweze kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.

Mathayo 7:15-16.

1Petro 5:8-10.

Luka 12:5.

shofar-5170508__480

cor-4624028__480

alphorn-234661__480

1157. ALI NG’WIPILINGA/MULIHALO.

Ilipilinga lili lilugulu ilo lilina lukumbi lo gwingila nulu ndimu nulu munhu umugati yalyo. Umunhu uyo wingila moyi adutulwa nulu mbula nulu adubishiwa limi kunguno ilyoyi ligankigijaga chiza. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ali ng’wipilinga/mumahalo.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali bhambilija umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adiko gukoya na makoye gosegose kunguno agwambilijiwa chiza na bhambilija bhakwe bhenabho. Uweyi agikalaga na bhuyegi aha kaya yakwe kunguno ya kugamala wangu amakoye ulu gampadika, umuwikaji bhokwe bhanubho.

Umunhu ng’unuyo, agikolaga nuyo ali ng’wipilinga uyo agibhisa mbula na limi, kunguno nuweyi alina bhambilija abho bhagagamalaga wangu amakoye gakwe umukikalile kakwe kenako. Hunagwene abhanhu  bhangang’wilaga giki, “ali ng’wipilinga/mulihalo.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuchola wambilijiwa kufumila kuli Mulungu uyo adulile gugamala wangu amakaye gabho, kugiki bhadule gwikala na bhuyegi umu kaya jabho, shigu jose.

Mathayo 7:7-8.

Mathayo 11:28-30.

Yohana 6:67-68.

KISWAHILI: YUKO KWENYE JABARI/NGOME YA MAWE.

Jabari ni jiwe lile ambalo lina mlango wa kuingia ndani yake ambamo hata wanyama au mtu huweza kuingia ili kujificha. Mtu akiingia kwenye pango hilo hatanyeshewa mvua wala kupigwa jua, kwa sababu Jabari hilo humkinga vizuri. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “yuko kwenye Jabari/ngome ya mawe.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana watu wa kumsaidia katika maisha yake. Mtu huyo, huwa hahangaishwi na matatizo yoyote kwa sababu ya uwepo wa watu hao ambao humsaidia katika kuyatatua matatizo yake kila yanapojitokeza. Yeye huishi kwa furaha kwenye familia yake hiyo kwa sababu ya kuyamaliza haraka matatizo yake kila yanapojitokeza, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekuwemo ndani ya Jabari lililomkinga kunyeshewa mvua na kupigwa jua, kwa sababu naye ana watu wanaomsaidia katika kuyatatua matatizo yake kila yanapojitokeza, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwambia, “yuko kwenye Jabari/ngome ya mawe.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kutafuta msaada kutoka kwa Mungu ambaye aweza kuyamaliza matatizo yao kwa haraka, ili waweze kuishi kwa furaha, katika familia zao, siku zote.

Mathayo 7:7-8.

Mathayo 11:28-30.

Yohana 6:67-68.

giant-buddha-1157919__480

rock-196098__480

mountains-6356528__480

1155. KALAGU – KIZE. NTOLWA ALILAB’AGILA MUNGUNDA – LIZETI.

Imbuki ya kalagu yiniyo, ililola lizeti. Ilizeti yiniyo, lilinti ilo ulu giki lyuhola ligafunyaga wilab’u b’ulab’agizu guti ntolwa uyo alifumanija kunguno nang’hwe agazwalaga jizwalo jilab’agizu chiza. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “ntolwa alilab’agila mungunda –  lizeti.”

Ikalagu yiniyo, igalenganiyagwa kuli ntolwa uyo agayilelaga chiza ikaya yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agatumamaga milimo yakwe chiza na gubhalanga bhanhu bhakwe nzila ja gwika chiza na bhanhu kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho. Uweyi abhalumanyaga chiza abhanhu abho bhidumaga bho guhoya nabho chiza kunguno ya nhungwa jakwe ijawiza jinijo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga ni lizeti iyo igalab’agilaga mungunda, kunguno nuweyi alina nhungwa niza ijo jigang’wambilijaga ugubhalela chiza abhanhu bhakwe, umukikalile kakwe kenako. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ntolwa alilab’agila mungunda –  lizeti.”

Ikalagu yiniyo yalanga bhitoji higulya ya gubhiza na nhungwa ja gubhalela chiza abhanhu bhabho, kugiki bhadule gwikala chiza, umu kaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

Wimbo ulio bora 3:11.

Wimbo ulio bora 4:1.

Wimbo ulio bora 5:1’

Isaya 61:10-11.

 

KISWAHILI: KITENDAWILI –  TEGA.

BIBI HARUSI ANAMEREMETA SHAMBANI – ALIZETI.

Chanzo cha kitendawili hicho kinaangalia alizeti. Alizeti hiyo, ni mti ule ambao ukichanua hutoa maua ya kumeremereta kama bibi harusi anayeolewa kwa sababu naye huvaa mavazi ya kumetameta vizuri. Ndiyo maana watu husema kwamba, “bibi harusi anameremeta shambani – alizeti.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa bibi harusi yule ambaye huilea vizuri familia yake, katika maisha yake. Mtu huyo, hujibidisha kufanya kazi zake vizuri na kuwafundisha watu wake njia za kuishi vizuri na watu, kwa sababu ya uaminifu wake huo. Yeye huwapatanisha watu waliokosana kwa kuongea nao vizuri, kwa sababu ya tabia hiyo njema aliyo nayo, maishani mwake.

Mtu huyo hufanana na ile alizeti iliyokuwa ikimeremeta shambani, kwa sababu naye ana tabia njema ambayo humsaidia katika kuwalea vizuri watu wake, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “bibi harusi anameremeta shambani – alizeti.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuwa na tabia njema ya kuwalea vizuri watu wao, ili waweze kuishi vizuri katika familia zao, maishani mwao.

Wimbo ulio bora 3:11.

Wimbo ulio bora 4:1.

Wimbo ulio bora 5:1’

Isaya 61:10-11.

sunflower-1627179__480

 

 

 

1154. IGUMA NGOB’O.

Iguma ngob’o bhuli bhugwishi bho ng’wenda bho ng’wa mayu umo uyo oli halibhilinga lya bhanhu bhingi. Umayu ng’wunuyo agaguguma ung’wenda gokwe gunuyo bho nduhu ugumana kunguno bhali bhanhu bhingi noyi aha lubhanza lunulo. Hunagwene abhanhu bhagalwitana ulubhanza lunulo giki, “iguma ngob’o.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adina witegekeleza bhutale ubho gujilanhana chiza ijikolo jakwe. Umunhu ng’wunuyo agajilekanijaga sagala duhu ijikolo jakwe jinijo, kunguno ya gugaiya uwitegeleja ubho gujilanhana chiza isabho jakwe jinijo. Uweyi agajilekanijaga mpaga jajimila ijikolo jakwe jinijo kunguno ya bhulekanija bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nu mayu uyo agaguma ng’wenda gokwe halibhilinga mpaga gujimila, kunguno nuweyi agajilekanijaga sagala ijikolo jakwe, mpaga jajimila, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witana giki, “iguma ngob’o.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gujilabhila chiza ijikolo jabho, kugiki jidule gubhambilija chiza, umuwikaji bhobho.

Kutoka 16: 2-3.

Mathayo 21: 8-9.

KISWAHILI: IDONDOSHA NGUO.

Indodosha nguo ni uangushaji wa nguo uliotokea kwa mama mmoja aliyekuwa kwenye mkusanyiko wa watu. Mama huyo, aliidondosha nguo yake hiyo bila kuelewa kwa sababu ya wingi wa watu waliokusanyika kwenye mkutano huo. Ndiyo maana watu waliuita mkutano huo kuwa ni “idondosha nguo.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hana umakini wa kuvitunza vizuri vitu vyake katika maisha yake. Mtu huyo, huvitelekeza hovyo mali zake kwa kuziacha bila uangalizi mzuri, kwa sababu ya kuukosa huo umakini wa kuzitunza vizuri mali zake hizo. Yeye huviacha kwa kuvisahau sehemu fulani mali zake hizo, mpaka zinapotea kwa sababu ya kutokuzijali vizuri kwake mali zake hizo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule mama aliyeangusha nguo yake kwenye mkusanyiko wa watu mpaka ikapotea, kwa sababu naye huvitelekeza vitu vyake mpaka vinapotea, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humuita jila la “idondosha nguo.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuwawezesha kuzitunza vizuri, mali zao, ili ziweze kuwasaidia vizuri, maishani mwao.

Kutoka 16: 2-3.

Mathayo 21: 8-9.

cloth-1088911__480