1167. OBHUGOMOLA NG’WILU ONZWILI CHEYO.

Olihoyi nkima uyo ali nfula umukikalile kakwe nabhiye kunguno oliazunije ugutumama milimo kihamo nabho bho gutung’wa nabho. Unkima ng’wunuyo oli wihanga lya wiza na nzwili ndogoleku guti cheo. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “obhugomola ng’wilu onzwili cheo.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali na widohya bho gubhagola na gubhalanhana chiza abhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agabhagolaga bho gubhazwika jizwalo ja wiza abhanhu bhakwe na gubhalanhana bho gutumama milimo nabho chiza. Uweyi agafunyaga ilange lya wiza ukubhanhu bhakwe ilo ligabhambilija gutumama milimo bho gwiyambilija na gwilanhana chiza kunguno ya widohya bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu nkima unfula uyo obhalanhana chiza abhanhu bhakwe bho gubhagola na gutumama milimo yabho kihamo nabho, kunguno nuweyi agabhalanhanaga abhanhu bhakwe bho gwiyambilija gutumama milimo nabho chiza, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “obhugomola ng’wilu onzwili cheo.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na widohya bho gubhalanhana abhichabho bho gubhagola na gutumama milimo bho gwiyambilija chiza, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhokwe.

Wimbo ulio bora 4:1.

Zaburi 45:3-5.

Zaburi 45:9-10.

KISWAHILI: MWENYE KUJIPANBA MAJI YA KUNDE NYWELE UFAGIO.

Alikuwepo mwanamke aliyekuwa mnyenyekevu katika maisha yake kwa sababu alikubali kufanya kazi pamoja na wenzake kwa kukubali kutumwa nao. Mwanamke huyo, alikuwa na sura nzuri na nywele laini kama mfagio. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “mwenye kujipamba maji ya kunde nywele ufagio.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana unyenyekevu wa kuwalinda wenzake kwa kuwakarimu na kufanya kazi pamoja nao, katika maisha yake. Mtu huyo, huwakarimu watu wake hao kwa kuwavika mavazi mazuri na kuwalinda kwa kufanya kazi vizuri pamoja nao. Yeye hutoa malezi mema kwa watu wake yawawezeshayo kufanya kazi kwa kusaidiana na kutunzana vizuri, kwa sababu ya unyenyekevu wake huo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule mwanamke mnyenyekevu aliyewalinda watu wake kwa kuwakarimu na kufanya kazi pamoja nao, kwa sababu naye huwalinda watu wake kwa kuwakarimu na kufanya kazi kusaidiana pamoja nao, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mwenye kujipamba maji ya kunde nywele ufagio.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na unyenyekevu wa kuwalinda wenzao kwa kukarimu na kufanya kazi kwa kusaidiana pamoja ili waweze kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.

Wimbo ulio bora 4:1.

Zaburi 45:3-5.

Zaburi 45:9-10.

female-4899179__480

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.