1168. KALAGU – KIZE. KAYA YA NG’WISE IDAMALAGA LUGENDO – SUNGWA/MISWA.

Imbuki ya kalagu yiniyo, ilolile Sungwa/miswa. ISungwa jilijisunva ijo jidamalaga lugendo kunguno jigajaga gujusuma jiliwa jagiza jilumile liswa bhuli jene, nulu ginhu josejose ijo jigachala hawikalo bhojo. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, “kaya ya ng’wise idamalaga lugendo – Sungwa/miswa.”

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa ku bhanhu abho bhagatumama milimo yabho bho bhukamu bhutale na guchala kaya yabho, amatwajo gabho, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho bhagajaga gujigulambija gutumama milimo yabho bhuli lushugu na gujichala kukaya jabho ijo bhagajipandika umubhutumami bhobho, kunguno ya bhutungilija bhobho bhunubho. Abhoyi bhagikalaga na sabho ningi aha kaya yabho kunguno ya gwigulambija bho gutumama milimo yabho yiniyo bhuli lushigu na gujichala aha kaya yabho, ijo bhagajipandikaga umubhutumami bhobho bhunubho, umuwikaji bhobho.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga ni Sungwa kihamo ni miswa ijo jigigulambijaga gusuma jiliwa na guchala hawikalo bhojo ijo jigapandikaga, kunguno nabhoyi bhagigulambijaga gutumama milimo yabho bhuli lushigu na gujichala ahawikalo bhobho ijo bhagajikwabhaga, umubhutumami bhobho. Hungwene abhanhu bhagabhawilaga giki, “kaya ya ng’wise idamalaga lugendo – Sungwa/miswa.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gwigulambija gutumama milimo yabho bhuli lushugu, na kujichala kukaya jabho ijo bhagajipandikaga umubhutumami bhobho, kugiki bhadule gupandika sabho ningi imuwikaji bhobho.

Mathayo 10:5-15.

Marko 6:7-13.

Luka 10:1-2.

 

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

FAMILIA YA KWETU HAIMALIZI SAFARI – SIAFU/MCHWA.

Chanzo cha kitendawili hicho huangalia chungu chungu/siafu/ mchwa. Chungu chungu hao ni viumbe wadogo wagodo weusi ambao ni jamii ya siafu na mchwa. Viumbe hao hawamalizi safari kwa sababu huenda kuhemea chakula na kuleta nyumbani kwao kila mmoja kile alichokipata. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, “familia ya kwetu haimalizi safari – siafu/mchwa.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa watu wale wambao hufanya kazi kwa bidii kubwa na kukipeleka nyumbani kwao kile walichokipata, katika maisha yao. Watu hao, huenda kujibidisha kufanya kazi zao kila siku na kupeleka nyumbani kwao kile walichokipata katika kazi zao, kwa sababu ya uaminifu wao huo. Wao hutajirika sana kwenye familia yao, kwa sababu ya kujibidisha kuyatekeleza majukumu yao vizuri kila siku na kukipeleka nyumbani kwao, kile walichokipata, katika kazi zao, maishani mwao.

Watu hao, hufanana na wale siafu na mchwa ambao hujibidisha kuhemea chakula na kukipeleka nyumbani kwao kile walichokipata, kwa sababu nao hujibidisha kufanya kazi zao kila siku, na kukipekeleka nyumbani kwao kile walichokipata, kwenye utekelezaji wa majukumu yao. Ndiyo maana wao husema kwamba, “familia ya kwetu haimalizi safari – siafu/mchwa.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kujibidisha kutekeleza vizuri majukumu yao, na kukipeleka nyumbani kwao, kile wakipatacho kwenye kazi zao hizo, ili waweze kupata mali nyingi za kutosha kutumia maishani mwao.

Mathayo 10:5-15.

Marko 6:7-13.

Luka 10:1-2.

nature-5898812__480

 

 

 

2 comments

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.