1169. ALINA NKONO NDITO.

Olihoyi munhu uyo alina nkono ndiko uyo wikalaga muchalo ja Miyuguyu. Umunhu ung’wunuyo agubhuchaga unkono gokwe bho hado hado na witegeleja bhutale kinguno ya bhudito bhogo bhunubho. Uweyi wikalaga chene nose abhanhu bhagandebha kunguno ya kikalile kakwe kenako. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagang’wila giki, “alina nkono ndito.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumamaga milimo yakwe hado hado iyo agayimalaga chiza aliyo wikanza lilihu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agatumama milimo yakwe hado hado mpaka oyimala chiza bho nduhu ugulekela nulu hadoo, kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho, umubhutumami bhokwe. Uweyi agapandikaga matwajo mingi bhuli ng’waka kunguno ugutumama na witegeleja bhutale imilimo yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo ali na nkono ndito uyo otumamaga hado hado mpaga oyimala chiza imilimo yakwe, kunguno nuweyi agatumama na witegeleja bhutale mpaga uyimala chiza imilimo yake yiniyo, umubhutumami bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “alina nkono ndito.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho guyitumama chiza imilimo yabho, kugiki bhadule gupandika, matwajo mingi, umumilimo yabho.

2Wathesalonike 3:7-9.

2Wathesalonike 3:13-16.

Mathayo 12:33.

Yoshua Bin Sira 20:9.

KISWAHILI: ANA MKONO MZITO.

Alikuwepo mtu aliyekuwa na mkono mzito katika kijiji cha Miyuguyu. Mtu huyo, alikuwa akiubeba mkono wake huo kwa umakini mkubwa sana kwa sababu ya uzito wake huo. Yeye aliishi hivyo mwishowe watu walimfahamu kutokana na namna yake hiyo ya kuishi. Ndiyo maana walimwambia kwamba, “ana mkono mzito.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufanya kazi zake pole pole mpaga anazimaliza vizuri bila kuacha sehemu hata ndogo. Mtu huyo, huyatekeleza majukumu yake pole pole mpaga anatumia muda mrefu kuyamaliza vizuri, kwa sababu ya umakini wake huo, katika kazi zake. Yeye hupata mafanikio mengi kila mwaka katika familia yake kwa sababu ya kuwa na umakini huo mkubwa katika kazi zake hizo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekuwa na mkono mzito ambaye aliyatekeleza pole pole mpaga akayamaliza vizuri majukumu yake, kwa sababu naye huzitekeleza kazi zake kwa umakini mkubwa mpaka anazimaliza vizuri, katika utendaji wake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “ana mkono mzito.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini mkubwa wa kuwawezesha kuyakamilisha vizuri majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio mengi katika kazi zao, maishani mwao.

2Wathesalonike 3:7-9.

2Wathesalonike 3:13-16.

Mathayo 12:33.

Yoshua Bin Sira 20:9.

farmer-2832679__480

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.