Akahayile kenako kalolile munhu uyo oli nikanza lya gujila minzi bhuli lushigu. Umunhu ng’wunuyo, wipunaga diyu aja kumongo gujudaha minzi bhuli lushigu, kunguno osangaga mingi masoga ayo gadayugulilwe na mitugo ahikanza linilo. Uweyi agakumuka nose umuchalo jakwe jinijo kunguno ya wipuni bhokwe bhunubho ubho gujila minzi bhuli lushigu. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “odimaga ikanza.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agajilanijaga na likanza umubhutumami bho milimo yakwe umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agandyaga gulima ulu lyashiga ilikanza ilya jidiku, kunguno ahayile apandike matwajo mingi aha kaya yakwe. Uweyi agapanaga majiliwa mingi aha kaya yakwe yiniyo, kunguno ya gwigulambija gutumama milimo yakwe bho gujilanija ni kanza chiniko, umuwikaji bhokwe.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo wipunaga gujudaha mingi ogapandika minzi masoga bhuli lushigu, kunguno nuweyi agandyaga gulima ahikanza ilya jidiku bho gujilanija ni kanza mpaga opandika sabho ningi, umubhutumami bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “odimaga ikanza.”
Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwigulambija gutumama milimo yabho bho gujilanija ni kanza bhuli lushigu, kugiki bhadule kupandika sabho ja gubhambilija chiza, umukaya jabho jinijo.
Mhubiri 3:1-8.
Yohana 2:1-5.
Luka 22:14-16.
KISWAHILI: AMESHIKA MUDA.
Msemo huo, huangalia mtu aliyekuwa akienda kuchota maji kila siku. Mtu huyo, alikuwa akijilawa asubuhi na mapema kwenda mtoni kuchota maji kila siku kwa sababu ya kutaka kupata maji safi ambayo hajavurugwa na mifugo wakati huo. Yeye alijulikana sana kwenye kijiji chake kwa sababu ya kutoka kwake asabuhi na mapema kwenda kuchota maji. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “ameshika muda.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huendana na muda katika utekelezaji wa kazi zake, maishani mwake. Mtu huyo, huanza kulima kwa bidii sana wakati wa masika, kwa sababu anapenda kupata mafanikio mengi katika familia yake. Yeye hupata mazao mengi kwenye familia yake hiyo, kwa sababu ya kujibidisha kufanya kazi kwa kuendana na muda hivyo, maishani mwake.
Mtu huyo, hufanana na yule aliyejilawa kwenda kuchota maji akayapata yaliyosafi, kwa sababu naye hujibidisha kulima wakati wa masika kwa kuendana na muda mpaga anapata mali nyingi, katika kazi zake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “ameshika muda.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kufanya kazi zao kwa kuendana na muda kila siku, ili waweze kupata mali za kuwasaidia vizuri, katika familia zao.
Mhubiri 3:1-8.
Yohana 2:1-5.
Luka 22:14-16.