1172. KALAGU –  KIZE. UMYAJI ALI NA MAGULU ALIYO UMYALWA ADINA MAGULU – NGOKO NI GI.

Imbuki ya kalagu yiniyo, ililola kikalile ka ngoko na bhulanhani bho bhana bhayo. Ingoko yiniyo ligashigaga likanza yatela bho gunyela magi na gugalela bho gugabhandila mpaga gapya. Ulu gapya amagi genayo gagatandukaga kafuma kana umu bhuli ligi lyene, kunguno ya bhudiliji wiza ubho ngoko yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, “umyaji ali na magulu aliyo umyalwa adina magulu – ngoko ni gi.”

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli myaji uyo agabhalelaga chiza abhana bhakwe mpaga bhakula, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agiyumilila ugubhalela abhana bhakwe bhenabho bho guhoya nabho bhuli lushigu, kunguno ya bhutogwa bhokwe ukubhana bhakwe bhenabho. Uweyi agabhakujaga mpaga bhadula gung’wambilija chiza aha kaya yake kunguno ya gubhalela chiza chiniko, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni nkola iyo iyanyelaga magi yagabhandila chiza mpaga gapya na gufuma kana umu bhuli ligi lyene, kunguno nuweyi agabhalelaga chiza abhana bhakwe mpaga bhadula gung’wambilija chiza aha kaya yake yiniyo, umiwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “umyaji ali na magulu aliyo umyalwa adina magulu – ngoko ni gi.”

Ikalagu yiniyo, yalangu bhabyaji higulya ya kubhalanhana abhana bhabho bho gubhalela chiza, kugiki bhadule gubhambilija chiza umu kaya jabho, umuwikaji bhobho.

Mwanzo 1:24-31.

Hekima ya Sulemani 7:6.

 

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

MZAZI ANA MIGUU LAKINI MZALIWA HANA MIGUU – KUKU NA YAI.

Chanzo cha kitendawili hicho, huangalia maisha ya kuku na utunzaji wa vifaranga vyake. Kuku huyo, hufika muda wa kutaga mayai na kuyalea kwa kuyakumbatia vizuri mpaga yanaiva. Mayai hayo yakiiva hupasuka na kutoa kifaranga kila moja kwa sababu ya utunzaji mzuri wa kuku huyo. Ndiyo maana watu husema kwamba, “mzazi ana miguu lakini mzaliwa hana miguu – kuku na yai.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mzazi yule ambaye huwalea vizuri watoto wake mpaga wanakua, katika maisha yake. Mtu huyo, huvumilia katika kuwalea watoto wake hao kwa kuongea nao kila siku, kwa sababu ya upendo wake huo kwao. Yeye huwakuza vizuri watoto wake hao, mpaka wanaweza kumsaidia vizuri katika familia yake, kwa sababu ya kuwatunza kwa kuwapatia malezi mema, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule kuku aliyetaga mayaji akayatunza vizuri mpaka yakaiva na kutoa mtoto kila moja, kwa sababu naye huwatunza watoto wake kwa kuwalea vizuri mpaka wanaweza kumsaidia vizuri katika familia yake hiyo, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mzazi ana miguu lakini mzaliwa hana miguu – kuku na yai.”

Kitendawili hicho, hufundisha wazazi juu ya kuwatunza watoto wao kwa kuwalea vizuri, ili waweze kuwasaidia vyema katika familia zao, maishani mwao.

Mwanzo 1:24-31.

Hekima ya Sulemani 7:6.

chicken-1867521__480

 

 

 

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.