mother tongue

990. B’AKONGI B’ALIHO B’AB’ULILWA GUDUHU.

Ulusumo lunulo, lwandija kubhanhu abho bhankogaga ng’wana uyo olilaga. Abhanhu bhenabho bhikomejaga ugunhumuja ung’wana ng’wunuyo, bho nduhu uguyimana inguno iyo olililaga, kunguno oliadayiyombaga. Abhoyi bhagagayiwa uogumb’ulila kunguno ya bhuliji bhokwe bhunubho ung’wana ng’wunuyo. Hunagwene bhagayomba giki, “b’akongi b’aliho b’ab’ulilwa guduhu.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agapandikaga makoye ochilwa mpaga wandya gulima, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, ulu upandika amakoye, bhanhu bhingi bhagajaga ugujumkonga kunguno ya bhutogwa bhobho ukuli weyi. Abhoyi bhagadumaga ugunshidaka UMulungu uyo adulile kunsola munhu oseose, kunguno ya bhudula bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu ng’wana uyo okongagwa na bhakongi bhakwe, kunguno nuwei agapandikaga makoye wandya gulila mpaga opandika bhakongi bha gunhumuja. Hunagwene abhakongi bhenabho, bhagayombaga giki, “b’akongi b’aliho b’ab’ulilwa guduhu.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gugabokela amakoye gabho bho kunzunya Mulungu, kugiki bhadule gwilunguja chiza umumayange gabho genabho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 3:1-3.

Luka 21:35-36.

Wafilipi 1:21.

Ayubu 1:21-21.

Ufunuo 14:13.

Ayubu 7:7-9.

Ayubu 7:15-16.

KISWAHILI: WENYE KUMTULIZA WAPO WENYE KULAUMIWA HAWAPO.

Methali hiyo, ilianzia kwa watu waliokuwa wakinyamazisha mtoto aliyekuwa akiliwa. Watu hao, walijibidisha kumtuliza mtoto huyo bila kufahamu sababu ya kulilia kwake kwa sababu ya yeye kutoitaja. Wao walikosa wa kumlaumu kwa sababu ya kuendelea kulia kwake mtoto huyo. Ndiyo maana walisema kwamba, “wenye kumtuliza wapo wenye kulaumiwa hawapo.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hupata matatizo ya msiba na kuanza kulia, katika maisha yake. Mtu huyo, akipata msiba, hupata watu wengi wa kumtuliza kwa sababu ya upendo wao kwake. Wao hukosa wa kumshitaji kwa sababu ya imani yao kwa Mungu mwenye uwezo wa kufanya lolote atakalo kwa viumbe wake.

Mtu huyo, hufanana na yule mtoto aliyepata watulizaji alipokuwa akilia, kwa sababu naye hupata watulizaji hao anapopata matatizo mbalimbali yakiwemo yale ya msiba. Ndiyo maana watulizaji hao husema kwamba, “wenye kumtuliza wapo wenye kulaumiwa hawapo.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kupokea mapenzi ya Mungu kwa kumwamini Yeye aliyewaumba, ili waweze kufarijiana vizuri, katika misiba itokeayo maishani mwao.

Mathayo 3:1-3.

Luka 21:35-36.

Wafilipi 1:21.

Ayubu 1:21-21.

Ufunuo 14:13.

Ayubu 7:7-9.

Ayubu 7:15-16.

boy-11

people-12

ENGLISH: SOOTHERS ARE PRESENT BUT THERE IS NO ONE TO ACCUSE.

This proverb originated from the people who silenced a child who was crying. These people tried to calm the baby down without even being successful. They had no one to blame for its crying. That is why they said that, “soothers are present but there is no one to accuse.”

This proverb is equated to a man who gets into trouble and begins to cry. This person finds many people who comfort him when he gets problems because of their love for him. He does not blame anyone in those problems because of his faith in the will of God who is capable of doing whatever He wants to His creatures.

This person resembles the child who received comfort when he was crying, because he also finds such comforters when he experiences various problems, including those of misfortune in his life. That is why he says that, “soothers are present but there is no one to accuse.”

This proverb instills in people an idea on how to receive God’s will by believing in Him who created them, so that they can comfort each other well in the heartbreaks that befall their lives.

Matthew 3: 1-3.

Luke 21: 35-36.

Philippians 1:21.

Job 1: 21-21.

Revelation 14:13.

Job 7: 7-9.

Job 7: 15-16.

sad-11

989. DUJAGI DUGITUJE MBILU.

Ulusumo lunulo, lwingilile kubhanhu abho bhikomikaga kuja gujituja mbilu. Imbilu jili ng’honge ja bhugali. Ugwituja mbilu mumho gwikumhya ng’honge ulu bhalibhulya ubhugali bhunubho.

Gashinaga lulu, abhanhu bhenabho bhikomikaga gujulya bhugali, kunguno ulu bhalilija ilikubhi jidulile gwikumya ing’honge jabho, iki bhagajilanijaga moyi. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagikomikaga giki, “dujagi dugituje mbilu.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kubhanhu bhanhu abho bhagalyaga jililwa bho gupuganila, umukikalile kabho. Abhanhu bhanebho, bhagabhizaga na nhungwa ja bhulaku bho jiliwa kunguno ya gugayiwa ililange ilya gulwa bho gwishib’ila, chiza. Abhoyi bhagapuganilaga ugulya ijiliwa kunguno ya bhulaku bhobho bhunubho, umuwikaji bhobho.

Abhanhu bhenabho, bhagikolaga nabho bhikomikaga gujituja ng’honge, kunguno nabho bhagitujaga amakono gabho ulu bhalilya bho gupuganila ijiliwa, umukikalile kabho. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagiwilaga giki, “dujagi dugituje mbilu.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gub’iza ni lange lya gulya nilange liza ijiliwa bho nduhu ugupuganila, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho.

Luka 22:14-17.

Yohana 6:26-27.

KISWAHILI: TWENDENI TUKAGONGESHANE TONGE.

Methali hiyo, ilianzia kwa watu waliokuwa wakialikana kwenda  kugonganisha tonge. Tonge ni kipande cha ugali anachokiandaa mlaji kwa ajili ya kuchotea mboga kwenye chombo iliyomo. Kugonganisha tonge ni ulaji wa kutumia tonge hiyo kuchota mboga wakati wa kula ugali. Kumbe watu hao walikuwa wakialikana kwenda kula chakula au kula ugali, kwa sababu wakati huo wanaweza kugonganisha tonge wanapoichota hiyo mboga. Ndiyo maana watu hao waliakana kwa kusema kwamba, “twendeni tukagongeshane tonge.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa watu wale wanaokula chakula kwa kunyang’anyana, katika maisha yao. Watu hao, wana tabia ya ulafi wa kula chakula, kwa sababu ya kukosa maadili ya kula chakula hicho kwa heshima ya kupeana zamu vizuri. Wao hula chakula hicho kwa kunyang’anyana hivyo, kwa sababu ya ulafi wao huo, maishani mwao.

Watu hao, hufanana na wale waliokuwa wakialikana kwenda kugonganisha tonge, kwa sababu nao hula chakula kwa kunyang’anyana hivyo, katika maisha yao. Ndiyo maana hualikina kwa kusema kwamba, “twendeni tukagongeshane tonge.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na maadili ya kula chakula wa heshina bila kunyang’anyana, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Luka 22:14-17.

Yohana 6:26-27.

food--1

woman-22

ENGLISH: LET US GO TO CLASH ONE ANOTHER WITH LUMP OF UGALI.

This proverb began with people who were inviting each other to go to eat. A lump of ugali is a piece of stiff porridge that the consumer prepares for picking vegetables in a container. Hence, classing one another with lump of ugali means eating stif porridge by using such lump of ugali in taking vegetables from container.

These people invited one another to go where food was prepared enough to eat. They ate porridge by swallowing such lump of Ugali after extracting the vegetables. That is why they invited one another saying, “let us go to clash one another with lump of ugali.”

This proverb is compared to the people who eat food by snatching it from one another in their lives. These people have a habit of overeating because of their lack of morals which is needed for eating food with respect. They eat the food by snatching it from one another because of their greed in their lives.

These people are like those who invited one another to go for a meal, because they also eat food by snatching it from one another in their lives. That is why they invite one another by saying, “let us go to clash one another with lump of ugali.”

This proverb teaches people on how to maintain good rituals in eating food without snatching it from one another, so that they can well raise their family members in their lives.

Luke 22: 14-17.

John 6: 26-27.

ghana-1

988. KENAKO HA KAMANILO.

Ulusumo lunulo, luhoyelile higulya ya kamanilo. Akamanilo kenako jili jimanyikijo ja hape iji jigengelekile kunguno jili jagulolela bhuli munhu uyo ulolela koyi. Ijoyi jigang’wambilija nulu munhu uyo alija lugendo bho gwinhiwa lumeng’ho ulo lulihoyi kunguno lugikalaga lumanyikile ukubhanhu abho bhagikalaga koyi. Hunagwene abhanhu bhayombaga giki “kenako ha kamanilo.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina nhungwa ja wiza ijo jili lumeng’ho lukwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga amanyikile uku abhanhu bha umuchalo jakwe, kunguno ya nhung’wa ja gubhagunana abhiye abho bhali na makoye. Uweyi agikalaga na bhageni bhingi aha kaya yakwe, kunguno ya lumeng’ho lokwe lunulo, ulo gwikala na bhanhu chiza, umuchalo jakwe jinijo.

Inhungwa ijawiza jinijo, jikolile nuyo alina jimanyikijo ja gubhambilija bhanhu ugumpandika wangu, kunguno ni joyi jigang’wambilija umunhu uyo alinajo, ugushigilwa wangu na bhageni bhakwe. Hunagwene abhanhu bhagajiyombaga giki, “kenako ha kamanilo.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya kubhiza na nhungwa jawiza bho gubhambilija abho bhalina makoye, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya yabho, umuwikaji bhobho.

Luka 6:43-45.

2Wakorintho 12:12.

KISWAHILI: HIKI NDICHO KIJULISHO.

Methali hiyo, huongelea juu ya kijulisho. Kijulisho hicho, ni kitambulisho cha wazi ambacho kinajulikana kwa sababu ya kumuonesha mtu jinsi alivyo alinayekiona. Chenyewe humsaidia hata mtu aliyeko safarini kukitumia kama alama ya kumfikisha kwa haraka kule aendapo kwa sababu ya kujulikana kwake kwa watu wanaoishi huko. Ndiyo maana watu husema kwamba, “hiki ndicho kijulisho.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana tabia njema ambayo ni kitambulisho chake, katika maisha yake. Mtu huyo, huishi na watu vizuri katika kijiji chake kwa sababu ya tabia yake hiyo ya kuwasaidia wenzake walio na matatizo. Yeye huishi na wageni wengi kwenye familia yake kwa sababu ya kitambulisho chake hicho, cha kuishi na watu vizuri, katika kijiji chake hicho.

Tabia hiyo njema, hufanana na kile kijulisho kilichomsaidia msafiri kufika haraka alikokuwa akienda, kwa sababu nacho, huwasaidia watu kumfikia haraka yule aliye nacho. Ndiyo maana watu husema kwamba, “hiki ndicho kijulisho.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na tabia njema ya kuwasaidia wenzao walioko kwenye matatizo, ili waweze kuziendeleza vizuri, familia zao, maishani mwao.

Luka 6:43-45.

2Wakorintho 12:12.

cow-121

goat-

ENGLISH: THIS IS THE SIGN.

This proverb speaks of a distinctiveness. This distinctiveness is a clear identifier that identifies a person for what he or she sees. It even helps the traveler to use it as a sign to get him to his destination quickly because of his popularity with the people who live there. That is why people say that, “This is the sign.”

This proverb is compared to a person who has a good character that is his identity in his life. This man lives well with the people in his village because of his habit of helping his fellows who are in great need. He lives with many visitors in his family because of his good identity in living well with people in his village.

This positive attitude is similar to that of a traveler who helps a tourist to get to his destination quickly, because it also helps people to reach their destination quickly. That is why people say that, “This is an identity.”

This proverb imparts in people a clue on how to have a good attitude enough to help others who are in great need, so that they can better develop themselves in their families.

Luke 6: 43-45.

2 Corinthians 12:12.

sheep-21

987. NKUB’IJA FULO.

Akahayile kenako kahoyelile higulya ya jisumva ijo jigakub’ijaga fulo. Ijisumva jinijo, jili kihamo na ng’holo na danga ijo jigakub’ijaga minzi ga gung’wa na gwikala moyi ijingi. Hunagwene abhanhu bhagajitanaga giki, “nkub’ija fulo.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agajaga gujisuga ha bhasab’i umukikalile kakwe. Ijikolo ja ha bhasab’i, jigikolanijiyagwa na fulo iyo agipandikaga umunhu uyo wisuga hoyi, kunguno agamanaga ujilya ijiliwa ija ha kaya yiniyo. Umunhu ng’wunuyo, agamanilaga aha kaya yiniyo, bho gutumama milimo ya henaho na gujilya ijiliwa ja hene, kunguno ya fulo iyo agaipandikaga yiniyo, umuwikaji bhokwe. Uweyi agabhizaga guti ng’wana o hakaya iya ha bhasab’i yiniyo.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni jisumva ijo jigakub’ijaga fulo, kunguno nuweyi agakub’ijaga jiliwa a ha kaya ya bhasab’i bho gwisugilija hoyi, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “nkub’ija fulo.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kutumama milimo ya gubheng’hela jikolo ja kutuula hakibha ya gutumila aha shigu ija bhutongi, kugiki bhadule kujilang’hana chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 11:25-30.

Yohana 6:67-69.

Mwanzo 46:1-6.

Luka 12:35-40.

KISWAHILI: MFUATA UNYEVU.

Msemo huo, huongelea juu ya viumbe ambavyo hufuata unyevu. Viumbe hivyo, ni pamoja na kondoo na vyura ambavyo hufuata maji ya kunywa na vingine huishi ndani ya maji hayo. Ndiyo maana watu humuita kiumbe hiyo kwamba ni “mfuata unyevu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huenda kujifuga kwa matajiri, katika maisha yake. Mali za matajiri hao hufananishwa na unyevu anaoupata mtu huyo aliyejifuga hapo, kwa sababu ya kuendelea kula chakula cha kwenye familia hiyo. Mtu huyo, huzoea kwenye familia hiyo kwa kuendelea kufanya kazi za pale na kula chakula cha hapo, kwa sababu ya unyevu huo anaoupata, maishani mwake. Yeye huwa kama mtoto wa kwenye familia hiyo ya matajari.

Mtu huyo, hufanana na vile viumbe vifuatavyo unyevu, kwa sababu naye hufuata chakula kwa kwenda kufugwa kwenye familia ya matajiri hao, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humuita kwamba ni “mfuata unyevu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kufanya kazi ziwezazo kuwaletea mali za kuweka akiba itakayo wasaidia kwenye siku za mbeleni, ili waweze kuzilinda vizuri familia zao, maishani mwao.

Mathayo 11:25-30.

Yohana 6:67-69.

Mwanzo 46:1-6.

Luka 12:35-40.

frog-

sheep-1

ENGLISH: A PERSON WHO IS AFTER GOOD THINGS.

The overhead saying speaks of creatures that follow moisture. These creatures, include: sheep and frogs, because they follow moisture for drinking water and some of them live in water areas. That is why people refer to that creature as being “a person who is after good things.”

This saying is related to a man who goes to stay in families of rich people for eating some food. The wealth of the rich one is likened to the humidity which that man gets because he continued to eat the food of that family. This person becomes familiar to that rich family by continuing to work there and eat local food, because of the moisture which he gets in his life. He becomes like a child in that rich family.

This man is like the creatures that followed moisture, because he also follows the food by going to be raised in the rich families. That is why people refer to him as “a person who is after good things.”

This saying imparts in people a clue on how to do work that can bring them savings enough to help them in the future, so that they can better protect their families in their lives.

Matthew 11: 25-30.

John 6: 67-69.

Genesis 46: 1-6.

Luke 12: 35-40.

faroe-islands-

986. JIDIGWA.

Ujidigwa ali munhu uyo alina matu gachib’ile. Umunhu ng’wunuyo, adinabho ubhudula ubho gwigwa mhayo uyo guliyombwa na bhiye kunguno ya bhuchib’i bho matu gakwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “jidigwa.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina nhungwa ja jab’ub’i, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agahugulagwa ng’hangala ningi na abhiye ulu ohub’a, aliyo ugwigwa nduhu, kunguno agashokelaka gwita mihayo ya bhubhi yiniyo. Uweyi agapandikaga makoye ga guyisalambanya sagala ikaya yakwe, kunguno ya bhudijigwa bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo oli na matu gachib’ile, kunguno nuweyi adigwaga ugujileka inhungwa ija bhub’i jakwe jinijo, ulu ohugulwa na bhiye, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “jidigwa.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuzunya guhugulwa na bhichabho, bho kuleka nhungwa ja bhub’i, umubhutumami bhobho, kugiki bhadule kujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

Wagalatia 3:1-14.

KISWAHILI: ASIYESIKIA.

Asiyesikia ni mtu yule ambaye ana masikio yaliyoziba. Mtu huyo, hana uwezo wa kusikia neno analoambiwa na wenzake, kwa sababu ya kuziba kwa masikio yake hayo. Ndiyo maana watu humuita kwamba ni mtu “asiyesikia.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana tabia mbaya katika maisha yake. Mtu huyo, huwa anatenda maovu na kuonywa wenzake, mara kwa mara, lakini huwa hasikii kwa sababu ya tabia yake hiyo ya kurudia kutenda maovu. Yeye hupata matatizo ya kuisambalatisha familia yake, kwa sababu ya kutokusikia kuacha kutenda maovu hayo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekuwa na masikio yaliyoziba, kwa sababu naye huwa hasikii kwa kuacha kutenda maovu anapoonywa na wenzake, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humuita kuwa ni mtu ‘asiyesikia.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kukubali kuonywa na wenzao, kwa kuacha tabia ya kutenda maovu, katika utekelezaji wa majukumu yao, ili waweze kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.

Wagalatia 3:1-14.

woman-22

market-

ENGLISH: THE ONE WHO DOES NOT HEED.

The deaf is the one whose ears cannot hear. This person is unable to hear the word which is being spoken to him by his companions, because of such disabilities of his ears. That is why people call him “the one who does not heed.”

This saying is compared to a person who has evil habit in his life. This person often does evil things and is warned by others, but he does not listen because of his recurring behavior. He breaks up his family because of his unwillingness to stop doing these evil things in his life.

This person resembles the one who had ears’ disability, because he also does not listen enough to stop doing evil when he is warned by his fellows in life. That is why people call him “the one who does not heed.”

This saying teaches people about accepting warnings of their fellows, by refraining from committing evil deeds in fulfilling their duties, so that they can well raise their families in their lives.

Galatians 3: 1-14.

ferry-1